Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,934
- 10,206
Atakuwa mfiristiDuh we utakuwa mkuda au mkomonisti
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa mfiristiDuh we utakuwa mkuda au mkomonisti
Ova
Acha UHAYA.Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi.
Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama.
Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo.
1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na passport ya huyo mtu anayekwenda kumpokea.
2. Mtu anayesafiri asiruhusiwe kuingia airport bila visa, tiketi na passport.
Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
Ushamba mzigo.Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi.
Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama.
Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo.
1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na passport ya huyo mtu anayekwenda kumpokea.
2. Mtu anayesafiri asiruhusiwe kuingia airport bila visa, tiketi na passport.
Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
na airport ipo mbali na mji aise
Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi.
Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama.
Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo.
1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na passport ya huyo mtu anayekwenda kumpokea.
2. Mtu anayesafiri asiruhusiwe kuingia airport bila visa, tiketi na passport.
Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
Hii hatujawahi kusikia katika airport zote duniani.Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi.
Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama.
Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo.
1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na passport ya huyo mtu anayekwenda kumpokea.
2. Mtu anayesafiri asiruhusiwe kuingia airport bila visa, tiketi na passport.
Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
Naona akina dada mmezidi kwenda kupiga picha uchwara na mabegi mnajirudia vingunguti😂Kumezuka wimbi la watanzania ambao wamekua wakijiingilia aiport utadhani ni stendi ya basi.
Hili limekua ni tatizo kubwa muda mwingine linapunguza hata usalama.
Sasa tufanye yafuatayo ili kutokomeza tatizo hilo.
1. Mtu anayeenda kumpokea mgeni wake awe na kopi ya visa, tiketi ya kusafiria na passport ya huyo mtu anayekwenda kumpokea.
2. Mtu anayesafiri asiruhusiwe kuingia airport bila visa, tiketi na passport.
Airport za wenzetu huwezi kuingia kienyeji kienyeji bila hizo documents nilizotaja.
😂😂😂Kwamba hayana miiba ila ukikanyaga lazima uchechemee😂😂kweli tumezidi kwa roho mbayaDuuu,...wanawake mna roho mbaya kama mavi yaani...