Unaweza ukawa na chuki binafsi, lakini namba hazidanganyi, Kama angekua anakusanya nusu ya alichokua anakusanya mkwere jiulize haya;
Jk kwa mwezi alikua anakusanya takribani bil. 700, kwa maana hiyo JPM alikua anakusanya nusu yake yaani bil. 350
Mishahara peke yake inafikia ni takribani bil. 650, sasa JPM alikua anapata wapi fedha ya kulipa mshahara tena kwa wakati tarehe 22 kila mtumishi wa umma mzigo umeingia. Wakati JK watu walikua wanalipwa mshahara mpaka tarehe 35 tena kwa kukopa kwenye mabenki.
Miradi mikubwa yote aliitekelezaje? SGR, Ndege zimenunuliwa cash, barabara mpaka mitaani, vituo vya Afya, Madaraja na Vivuko, Elimu Bure, Mikopo ya Wanafunzi. Vyote hivi JK aliekua anakusanya fedha nyingi alishindwa kuvifanya.
Ndugu yangu huoni aibu?
Sent from my SM-A730F using
JamiiForums mobile app