Mbona nao wanakufa so ya nn kuuwa wenzao.Yote ni kuukimbiza upepo.
Kumwaga damu za watu kungekuwa ni Kinga hakika hakuna dikteta asingekufa.
U kill people then u die also shida yote ya nn hii.
Angalau ndugu za marehemu watafutika machozi.
Hakuna Mkubwa mbele ya kifo wote ni sawa.
Aya mambo haya magumu
Mbona inasemakana alikuwa amekata muda tuSiku zote Watu husema MUNGU HAMFICHI MNAFIKI.....!!!Kurunzinza kalazimisha Uchaguzi wa Magumashi Katikati ya Janga la Corona ili mtu wake ashinde....! Just Stay tuned....huenda Mnafiki mwingine toka nchi jirani yuko kwa foleni!
Mshtuko wa moyo unamahusiano ya moja kwa moja na matatizo ya upumuaji.
Na daktari yeyote haruhusiwi kuandika corona kama sababu ya kifo hata uwe na dalili zote.Nasikia tunataka kutangaziwa kuwa hapa kwetu hakuna tena corona imekimbia maombi
Amani ikizidi woga hupanga hapo Tanzanian tumejazwa woga kiasi kwamba kiongozi anakuwa na uwezo wa kukufanyia ukiritimba autakaoHalafu madikteta wote wamesoma au wamewahi ishi Tanzania,M7,pk,nkuru,kabila,mnanga,Ina maana tz ni chuo cha udikteta? Only Kenya tu ndo awajawahi ishi au soma tz.
Dah ushawaza kipochi manyoya..... Damn... Bongo nyosoSasa akishakua mjane,ndo hitaji lake la tendo linaisha au??..
Kifo akikimbiwi jamaa alikuwa akiishi ikulu tu ili asipinduliwe ajawahi toka nje ya nchi yake.Still kushindwa zuia kifoWe are all equal before God!
Ataandikaje corona record ya mwisho inaonesha Tanzania tumetokomeza corona labda amripoti mgonjwa kama raia wa nchi jiraniNa daktari yeyote haruhusiwi kuandika corona kama sababu ya kifo hata uwe na dalili zote.
Mke wake si yupo Kenya anatibiwa Corona?
Mbona alikuwa anatembea nchi nyingi tu mkuu.. Mfano Tz, SA, USA nkKifo akikimbiwi jamaa alikuwa akiishi ikulu tu ili asipinduliwe ajawahi toka nje ya nchi yake.Still kushindwa zuia kifo
Kuna Dude jingine hapa nchinilinatakiwa life kama huyo alivyokufa huyo mwonevu.Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia.
===
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo.
Serikali ya Burundi imetangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza (55). Mshtuko wa moyo umetajwa kuwa chanzo cha kifo chake.
Imeelezwa alilazwa Hospitali Jumamosi na alikuwa anaendelea vizuri hadi Jumatatu ambapo hali yake ilibadilika ghafla na jitihada za madaktari kuokoa maisha yake hazikufanikiwa.
Rais Nkurunziza alizaliwa Desemba 18, 1964 na ameongoza nchi hiyo kuanzia mwaka 2005 (takribani miaka 15) hadi mauti ilipomfika.
Serikali imesema kutakuwa na kipindi cha maombolezo ya kitaifa kwa siku saba na bendera zitapepea nusu mlingoti.
Ameua wengi, Justice for him Sir God!We are all equal before God!