Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
We are all equal before God!
Mbona nao wanakufa so ya nn kuuwa wenzao.Yote ni kuukimbiza upepo.
Kumwaga damu za watu kungekuwa ni Kinga hakika hakuna dikteta asingekufa.
U kill people then u die also shida yote ya nn hii.
Angalau ndugu za marehemu watafutika machozi.
Hakuna Mkubwa mbele ya kifo wote ni sawa.