Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

Status
Not open for further replies.
We are all equal before God!
Mbona nao wanakufa so ya nn kuuwa wenzao.Yote ni kuukimbiza upepo.
Kumwaga damu za watu kungekuwa ni Kinga hakika hakuna dikteta asingekufa.
U kill people then u die also shida yote ya nn hii.
Angalau ndugu za marehemu watafutika machozi.
Hakuna Mkubwa mbele ya kifo wote ni sawa.
 
Siku zote Watu husema MUNGU HAMFICHI MNAFIKI.....!!!Kurunzinza kalazimisha Uchaguzi wa Magumashi Katikati ya Janga la Corona ili mtu wake ashinde....! Just Stay tuned....huenda Mnafiki mwingine toka nchi jirani yuko kwa foleni!
Mbona inasemakana alikuwa amekata muda tu
 
Halafu madikteta wote wamesoma au wamewahi ishi Tanzania,M7,pk,nkuru,kabila,mnanga,Ina maana tz ni chuo cha udikteta? Only Kenya tu ndo awajawahi ishi au soma tz.
Amani ikizidi woga hupanga hapo Tanzanian tumejazwa woga kiasi kwamba kiongozi anakuwa na uwezo wa kukufanyia ukiritimba autakao
 
Basi RIP . Tuombe Mungu Corona isitupate wakati tuna magonjwa mengine.
 
Poleni.sana.Burundi.kwa.kuondokewa na Raid mstaafu.Alikuwa handsome.
 
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia.

===

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo.

Serikali ya Burundi imetangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza (55). Mshtuko wa moyo umetajwa kuwa chanzo cha kifo chake.

Imeelezwa alilazwa Hospitali Jumamosi na alikuwa anaendelea vizuri hadi Jumatatu ambapo hali yake ilibadilika ghafla na jitihada za madaktari kuokoa maisha yake hazikufanikiwa.

Rais Nkurunziza alizaliwa Desemba 18, 1964 na ameongoza nchi hiyo kuanzia mwaka 2005 (takribani miaka 15) hadi mauti ilipomfika.

Serikali imesema kutakuwa na kipindi cha maombolezo ya kitaifa kwa siku saba na bendera zitapepea nusu mlingoti.

Kuna Dude jingine hapa nchinilinatakiwa life kama huyo alivyokufa huyo mwonevu.
 
Ameuwa watu wengi Sana,lkn ameshindwa zuia kifo chake, kupitia killing house zake chemba za maji zilikuwa zikimwaga damu badala ya maji.Ndo mjue Hawa wakoloni weusi wanafanyia waafrika ukatili wa Hali ya juu kuliko hata ukatili mkoloni mweupe alivomtendea mwafrika.
Ukiingia BBC eyes on Africa utashuhudia ukatili anaotendewa mwafrika dhidi ya mwafrika mwenzake.
 

Attachments

  • Screenshot_20200609_193303.jpg
    Screenshot_20200609_193303.jpg
    86.2 KB · Views: 1
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom