Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Huoni shule na hospitali zinazojengwa kwa Tozo?Hizo sifa zakijinga zanamsaidiaje mwananchi wa kawaida.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni shule na hospitali zinazojengwa kwa Tozo?Hizo sifa zakijinga zanamsaidiaje mwananchi wa kawaida.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kuiga ni upumbavu wao tu hao walioiga, kodi inatakiwa iwe imposed katika maeneo na kiwango ambacho hakiwi sensitive kiasi cha kukera! Kodi iko kwenye kila bidhaa ununuayo ila huwezi sikia mtu analalamikia kodi ya pipi au sigara! Na katika kitu kinachoingiza kodi nchini miaka yote ilikuwa ni sigara na bia.Kama sio ubunifu basi hakuna Taifa lingeiga
Bora wangekuwa ni wavuta bangi! Ilo kundi limemezwa na u Kabila na chuki tu dhidi ya SamiaNabii hakubaliki kwao. Tuna raisi bora, mwenye maono, mpenda maendeleo na mtatuaji wa kero na shida za Watanzania. Ila kuna kundi la wavuta bangi, wanywa gongo na viloba wanajaribu kumchafua, kisa tu mshika akili wao kawekwa ndani.
Wewe nani wa kuita upumbavu? Muhuni wa ufipa au sukuma gang?Kuiga ni upumbavu wao tu hao walioiga
Fedha za tozo zinaenda kuendeleza miundombinu ya barabara, mashule na mahospitali.Kwa ajili ya kununulia mavieitee.
Nini hicho alichokopa Sana?Ikiwa nchi ina madeni makubwa imekuwaje tena Samia ndani ya muda mfupi kakopa sana, tena kwa miezi 7 kakopa nusu ya alichokopa jiwe
Endelea na chuki zako wakati Mataifa yanaanza kuiga ubunifu wa SamiaTanzatozo wanasifia ujinga Sana
Kwani hiyo Kodi imeanzia Tanzakiza? Hivi uko Lumumba huwa mnajifunza ujinga?Endelea na chuki zako wakati Mataifa yanaanza kuiga ubunifu wa Samia
Imeanzia wapi? Weka ushahidi hapa acha maneno matupuKwani hiyo Kodi imeanzia Tanzakiza? Hivi uko Lumumba huwa mnajifunza ujinga?
Tupe huo ushahidi wa Congo Brazaville na CameroonTanzania sio nchi ya kwanza kuwa na tozo za miamala. Huko Cameroon wanatoza siku nyingi. Congo Brazzaville pia
Tulia kenge wa Lumumba weweWewe nani wa kuita upumbavu? Muhuni wa ufipa au sukuma gang?
Najua englisha hujui, Ila tafuta mtu akusomeeLeta ushahidi kuwa kakopa sana ndani ya miezi 6
Kakopa trillion 8 ndani ya miezi 7.Nini hicho alichokopa Sana?
Tatizo mwendazake alikopa mikopo ya kipumbavu yenye riba kubwa na onayoivw kwa mda mfupi,ndio hiyo imeitumbukiza nchi kwenye mzigo wa madeni walioyotaga MKapa na JK
Wapi kuna iyo trilioni 8 we kilaza?Najua englisha hujui, Ila tafuta mtu akusomee
Trillion 8 ndani ya miezi 7View attachment 2052871View attachment 2052872
Ndio maana nimekuambia tafuta mtu akusomee, nilijua huwezi kuelewa.Wapi kuna iyo trilioni 8 we kilaza?
Anatakiwa Kukopa til.10 kwa mujibu wa bajeti ya serikali ko hapo bado til.2.Kakopa trillion 8 ndani ya miezi 7.
Alafu pia huko CCM mnashindana kukopa? Maana naona speed zenu sio za kitoto
Ndio maana nimekuambia tafuta mtu akusomee, nilijua huwezi kuelewa.
Dola bilion 3.6 ni sawa na shilingi ngapi?
Hata ingekuwa til.100 sio kesi ilimradi ilipitishwa kwenye mpango wa bajeti..kila mwaka lazima serikali ikope,,chukua bajeti utaonaNajua englisha hujui, Ila tafuta mtu akusomee
Trillion 8 ndani ya miezi 7View attachment 2052871View attachment 2052872