Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Kuna miradi mingi ambayo imeshafanyika nusu. Hiyo nusu iliyosalia ni lazima imalizike.Baada ya Mwendazake kuingiza nchi kwenye mzigo wa madeni,Samia hakua na options zaidi ya tozo ..
Ghana nayo iko hoi kwa madeni kwa hiyo lazima walipe.Hali iko hivi π
View attachment 2052739
JPM alikuwa ni mbishi, mwenye kujua kila kitu hata yale masuala ambayo wapo wataalam kwa ajili ya kumsaidia.Wewe ni mchumi wa makaratasi tu! Kuna uwezekano hata kibanda huna! Unasema Magufuli tungeendelea na sera sake nchi ingekufa kiuchumi,sasa onesha tofauti ya mama na Magufuli kwa uchumi wa watu mmoja mmoja na pia vip kuhusu kupanda kwa gharama za maisha? Pia miradi imesimama hiyo bibi ako yuko kuzurula na kulialia hata waziri wake kaenda uarabu wiki takribani mbili akitembeza bakuri lakini matokeo zero! Nyingi mliokariri makaratasi ya uchumi feki ndo mnajidai kutoa ishauri mfu!
Any way, it is typical of all Opposition Parties in Africa to oppose any GOOD IDEA by the Ruling Parties under the guise that IT WILL HURT THE POOR! This is CHEAP POLITICS!Hii ndo maana sahihi ya Muongoza njia. Hatimaye Serikali ya Ghana imemuiga Mama asiye na maneno mengi bali matendo mengi, asiye na mbwembwe za kujitangaza hovyo na promo za kijinga anayependa vitu kwenda kwa usahihi na kupata matokeo sahihi, Si mwingine ni Rais Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha tozo ya miamala ya simu
Piga kazi Samia. Unayofanya Tanzania sasa yanaanza kuigwa nje. Afrika bila kujitoa Kweli hatuwezi kufika. Hata Ghana tozo zinapingwa na upinzani Ila Serikali wameona ndo njia sahihi.
Lazima tulipe kodi kwa maendeleo yetu!
View attachment 2052727
Ninajiuliza je upande wa pili nao hili tozo wanalo isije ikawa pesa za tozo kwa ajili ya vituo vya afya tunazotozwa zikapelekwa pia upande mwingine. Ningeona kila upande ukutumia tozo walizokusanya kuwa ndio sawa.Hii ndo maana sahihi ya Muongoza njia. Hatimaye Serikali ya Ghana imemuiga Mama asiye na maneno mengi bali matendo mengi, asiye na mbwembwe za kujitangaza hovyo na promo za kijinga anayependa vitu kwenda kwa usahihi na kupata matokeo sahihi, Si mwingine ni Rais Wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuanzisha tozo ya miamala ya simu
Piga kazi Samia. Unayofanya Tanzania sasa yanaanza kuigwa nje. Afrika bila kujitoa Kweli hatuwezi kufika. Hata Ghana tozo zinapingwa na upinzani Ila Serikali wameona ndo njia sahihi.
Lazima tulipe kodi kwa maendeleo yetu!
View attachment 2052727
HahahaBungeni ni uwanja wa mapambano... Hakuna kukubali vitu kiholela! #KudosView attachment 2053259
Tatizo vijana wengi wa Tanzania ni washamba sana na wanakosa exposure ya mambo hata madogo madogo,Watu wanasifia as if Tanzania haijawahi kuwa na kodi ya miamala ya simu wakati kiuhalisia alichofanya samia ni kuongeza viwango vilichokuwa kinatozwa huko nyumaKuiga ni upumbavu wao tu hao walioiga, kodi inatakiwa iwe imposed katika maeneo na kiwango ambacho hakiwi sensitive kiasi cha kukera! Kodi iko kwenye kila bidhaa ununuayo ila huwezi sikia mtu analalamikia kodi ya pipi au sigara! Na katika kitu kinachoingiza kodi nchini miaka yote ilikuwa ni sigara na bia.
Hizo tozo ni kero tu na ni vile tuna polisi form 4 failures ambao matumizi ya akili, busara na weledi kwao ni 0.5% ila mabavu na kukomoana ni 99.5% wanaweza kukufyatulia risasi wakakudhuru na kulindwa na network yao ya maaskari! Sehem yenye unafuu walau jf hutarushiwa risasi
Mkuu, hebu mtag kabisa Mnyika ili aje aone post yako, maana asipoiona hawezi kukutumia bando lako.Hizo sifa zakijinga zanamsaidiaje mwananchi wa kawaida.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kodi ya miamala ilikuwapo ila kilichotokea ni serikali kutaka faida kubwa kwa mara moja!Tatizo vijana wengi wa Tanzania ni washamba sana na wanakosa exposure ya mambo hata madogo madogo,Watu wanasifia as if Tanzania haijawahi kuwa na kodi ya miamala ya simu wakati kiuhalisia alichofanya samia ni kuongeza viwango vilichokuwa kinatozwa huko nyuma
Na haya ndo mambo ya msingi ambayo mleta mada na baadhi ya wengineo hata hawaelewi kazi kuleta propaganda hata kwenye mambo yanayotuumiza wenyewe kwa wenyewe ,Hii nchi ngumu sana kaka- Watu wanasifia watawala kwa mambo ya kijinga huku wanaumia kimya kimyaKodi ya miamala ilikuwapo ila kilichotokea ni serikali kutaka faida kubwa kwa mara moja!
Huku ni kuumiza watu makusudi na ndo kitu ambacho hakikubaliki mbaya zaidi anayefanya hivyo yeye tabu haijui maana analipwa mshahara na marupurupu na analipiwa nyumba na usafiri pamoja na bima za afya! Its our stupidiness kuachilia watu wa aina hii kutupangia namna ya kuishi! Yani anaishi maisha ya peponi katikati ya jangwa
Wanajua sana ila wanajifanya wana wazimu sababu wao wanaenda seminar kujipigia per diems sahizi hutaskia kelel za mishahara kutopanda daraja never..Hutakaa usikie π maana seminar zipoNa haya ndo mambo ya msingi ambayo mleta mada na baadhi ya wengineo hata hawaelewi kazi kuleta propaganda hata kwenye mambo yanayotuumiza wenyewe kwa wenyewe ,Hii nchi ngumu sana kaka- Watu wanasifia watawala kwa mambo ya kijinga huku wanaumia kimya kimya
Wewe ni mburura hakuna unachojua Kuhusu uchumi.Uliposema Hata kibanda huna sijui mchumi was makaratasi nakajua umebobea kwenye umburula..Economics na kumiliki vibanda wapi na wapi?..Wewe ni mchumi wa makaratasi tu! Kuna uwezekano hata kibanda huna! Unasema Magufuli tungeendelea na sera sake nchi ingekufa kiuchumi,sasa onesha tofauti ya mama na Magufuli kwa uchumi wa watu mmoja mmoja na pia vip kuhusu kupanda kwa gharama za maisha? Pia miradi imesimama hiyo bibi ako yuko kuzurula na kulialia hata waziri wake kaenda uarabu wiki takribani mbili akitembeza bakuri lakini matokeo zero! Nyingi mliokariri makaratasi ya uchumi feki ndo mnajidai kutoa ishauri mfu!
Kama miradi imesimama ilikuaje hamkukamilisha kwa miaka yote 6? Mlitaka aje awakamiliehie Samia kwa miezi 8? Pumbavu sana viazi wakubwa nyie.Nyingi wajinga wajinga na serkali yenu ya mazuzu kila siku kusingizia Magufuli miradi umesimama mnatuletea ngonjera!
Hapa tatizo siyo tozo kwenye miamala ya simu,hata huko Ghana ipo hapa tatizo ni viwango vikubwa vinapitishwa bungeni bila mbunge yeyote kuhoji huu mzigo mkubwa kubebeshwa wananchi na waziri kujibu wananchi wanapolalamika tozo kubwa anawajibu kwa kejeli na matusi kuwa wasiotaka kulipa wahamie Burundi halafu bunge wanacheka bila kukerwa na mambo ya ovyo kama haya wala kukemea hapo sasa kuna bunge au kijiwe fulani cha chama cha kijaniTatizo vijana wengi wa Tanzania ni washamba sana na wanakosa exposure ya mambo hata madogo madogo,Watu wanasifia as if Tanzania haijawahi kuwa na kodi ya miamala ya simu wakati kiuhalisia alichofanya samia ni kuongeza viwango vilichokuwa kinatozwa huko nyuma
Kwa hiyo haha inapigwa ngumi sio!? We bwege sana! Jibu hoja sio kutetea bibiako huyo! Hujaona nimeorodhesha hapo miradi inayosuasua!Kama miradi imesimama ilikuaje hamkukamilisha kwa miaka yote 6? Mlitaka aje awakamiliehie Samia kwa miezi 8? Pumbavu sana viazi wakubwa nyie.
By the way taja hiyo miradi iliyosimama.
Lipa Kodi,muone aibu nchi kukopaKuna taifa lengine zaidi ya Tanzania ambapo wananchi wake wanashangilia ongezeko la tozo na kodi?!
Kama kwa rasilimali zilizopo bado unaona ni ufahari kujenga vitu vya msingi kwa tozo basi wewe huna unachokijua.Ila unatakiwa ujue uwezo wako wakufikiri umefika ukingoni.Huoni shule na hospitali zinazojengwa kwa Tozo?
Unajichekesha kama unakunywa,hoja zipi we bwega ambazo sijajibu.Kwa hiyo haha inapigwa ngumi sio!? We bwege sana! Jibu hoja sio kutetea bibiako huyo! Hujaona nimeorodhesha hapo miradi inayosuasua!