Serikali ya Kenya Yatangaza Hali ya Hatari (Civil Danger)Yaamrisha Rasmi Jeshi la kenya (KDF) Kuingia Mtaani na Kutuliza Raia Wanaofanya maandamano

Yaani unatumia katiba ya Tanzania kutafasiri mambo ya Kenya.

Uko serious kweli.?
 
Nikikumbuka KDF walivyovyamia Westgate ili kukabiliana na magaidi wakaishia kuiba bidhaa kwenye maduka. Sasa wakiiingia mtaani hali itakuaje? RUSHWA na UKABILA ni sumu Kenya.

ISOMEKE : ni ya badala ya NINYA
 
Ulikuwa ni mtego sasa nae kajaa!!




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mkuu unataka kusema vijana wataendelea kuingia barabarani licha ya jeshi kumwagwa barabarani? Na Ruto ataachia kiti kweli?
Kwa jinsi wakenya walivyo lazma wataingia barabarani,
Huwa wanaprefer Kufa kuliko kukosa haki yao ni tofauti na Tanzania Tulivyolelewa..

Neno 'Funika Kombe mwanaharamu apite" ni neno lililopo Tanzania Pekee
 
Usicheze na watoto wa mjini kama Uhuru,kuna watu wako behind this issue
 
Ngoja tuone kama kutakuwa na ongezeko la watalii zaidi Tanzania.

Likitokea msije mkatupanga ni matokeo ya Royal Tour, mseme wazi ni madhara ya maandamano hapo Kenya.
 
Huku kwetu kuna mtu anaitwa kawaida
Mungu tusaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ