Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi saana umeanza kutumia akili na sio mihemkosawa.... tusubiri!
Mwenye masikio na asikie!Tangia kuanza kutafuta wadhamini kwa wagombea urais wapi imetumika nguvu mkuu. Au ndiyo mabeberu wanataka kutimiza adhima yao waliyokubaliana na kibalaka wao ya kuhakikisha amani inavurugika Tanzania.
Huyo shoga wenu anawatukana viongozi wa serikali atakavyo wapi amezuia kutoa hizo lugha zake za kifedhuri
muda utajibu!
Lazima wakuingilie sababu wao ndio wanakulisha. Kila siku mnapeleka bakuli huko halafu mnataka wawaache tu mfanye upuuzi?Ukishakuwa muumini wa ushoga hata akili zinapukutika. USA linaendelea kuwa taifa kubwa na la hovyo sana dunia, kila siku kutoa matamko ya siyo kuwa na kichwa wala miguu...
Isingekuwa wao hata iyo simu au Laptop uliyotumia kuandika hapa JF usingeweza.Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila mabwana zake wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz
sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?
Kwnn lisifanikishe?? Unabwabwaja tu humu lkn wenzio wanajua nn kinaendeleasafi saana umeanza kutumia akili na sio mihemko
unafikiri hilo Onyo la USA litafanikisha TL kwenda ikulu ?
Isingekuwa wao hata iyo simu au Laptop uliyotumia kuandika hapa JF usingeweza.
Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila mabwana zake wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz
sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?
Kwnn lisifanikishe?? Unabwabwaja tu humu lkn wenzio wanajua nn kinaendelea