Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

Uchaguzi 2020 Serikali ya Marekani yaonya "Vitisho na mabavu dhidi ya upinzani si dalili nzuri ya Uchaguzi Huru Tanzania Oktoba 2020"

Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila mabwana zake wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz

sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?
Huoni police wanachowafanyia wapinzani au unajitoa ufahamu
 
wanakusanya mlolongo wa matukio.

muda ni jibu!

Naona hii ndio inamdangaya huyu mwanasheria msomi na kumpa kiburi na dharau iliyo pitiliza. Mpaka kukejeli vyombo vya ulinzi na usalama na wakuu wake kwa maana hiyo watendaji wote, kudharau na kukebehi kazi na maendeleo ya awamu ya tano. Kudharau wananchi wote waliochagua serikali ya CCM kwamba hawana akili. Lakini kubwa zaidi ni kumdharau Rais na Amiri jeshi mkuu. Na amini tabia hizi za ajabu na ambazo si za heshima, wala asili wala utamaduni wetu zina mwisho wake.
 
Mpaka sasa hakuna ushahidi nan aliyechoma ofisi ya chadema, alafu kwanini ofisi kubwa vile washindwe kuajiri walinzi imara kama suma JKT?

waliorusha mawe ni wananchi wa kawaida tu

yule polisi wa mbeya kama uliona video alitumia upole na hekima ila sugu akajifanya SUGU kweli kweli nguvu ya ziada ikatumika

una lingine?
Na tuendelee na moyo huo wa kutokandamizana. Tuwakemee wale wahuni wachoma ofisi Arusha, watupa mawe Hai, na yule polisi Mbeya.

Tuwakemee wote wa aina hii washindwe na walegee.
 
Tunamulikwa kwa taa yenye mwanga mkali mno.Tulistulia kwa Makonda kufungiwa kwenda USA tukatia kejeli sasa tena tunakumbushwa.
CCM mtashinda uchaguzi huu bila shaka yoyote,ondoeni mikono yenu kwenye vyombo vya dola ili tuwasaidie kushangilia ushindi na kuwazomea walioshindwa.
Mpaka sasa kuna jambo gani lililofanyika baya kwa hao wapinzani.
 
Kwa hiyo ze hegi inaweza muhisu mtu kama damu ikimwagika
Hakuna cha ze hegi wala ze yai.wauwaji akina Bush,Mohammed bin Salman,Museven,Nkuruvinza na Kagame n.k mpaka sasa wangekuwa the haugue.

Lakini hawakuuwa kwa bahati mbaya,wameuwa kwa mslai ya mataifa yao. Ukileta nzi unafyekwa na wamiliki wa ze hegi wanabaki kutoa matamko tu ya kuwafariji wafiwa.
 
Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz

sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?
Hii lugha ya kusema mabeberu/mabwana hii si ya kistaarabu. Halafu wanajua mnawaita hivyo ni dharau, ni dharau ni dharau. Wakileta misaada mnawaita wafadhili. Hamna uhakika huyo Lissu au wapinzani wamesaidiwaje zaidi ya wengi kujua nchi yetu bado inapokea misaada kutoka kwao.

Tujitahidi sana ndugu Zangu Hasa sisi Chama cha mapinduzi kutotumia hizi lugha zisizo na Hadhi/heshima, tunajiharibia. Hata wapiga kura wetu wenye uelewa hata wa Secondari ya kata wanaanza kutuona hatuna utu. Hasa ktk kipindi hiki ambacho wenzetu wamepewa airtime na wanaitumia vizuri. Uelewa utapelekwa huko kama anavyofanya Lissu halafu tutaonekana chenga. Hakuna sababu ya kutumia hayo majina.

Juzi wameshuka Arusha tunawaita watalii. Ni haohao! Huwa namsifu sana Makamu wa Rais na BAADHI kama Kigagwala na Bashe siwajawahi sikia wakiita haya majina ya kubezana. Sio vizuri.
 
USA hana Moral authority kusema hayo. Kiboko yake ni Cuba tu japo amesambaratisha nchi nyingi kama Libya, Iraq, sasa anaivizia Venezuela.

Urusi alimalizana nao kwa kudukua uchaguzi na kumpa Trump ushindi
 
Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila mabwana zake wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz

sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?
Ufungeni ubalozi wao kama mnaweza, kwa nini mnawachelewesha hawa!!
 
Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila mabwana zake wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz

sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?

Hawapewi airtime, hiyo ni dalali ya mwanzo kabisa. Ofisi zao kuchomwa bila uchunguzi. Kupigwa mawe kwa mgombea wao tena kwa utaratibu wa DC na jeshi la polisi.
 
N
Mbona Trump kamnanga yule mama mgombea mwenza wa Bidden
Ndugu yangu ni angalau wao wana demokrasia inayoonekana hata wanawezajivunia mbele ya macho ya dunia sio sisi! Tangu zoezi la kutafta wadhamini lilipoanza matendo na hatua zilizochuliwa na serikali na vikundi vya wahuni ni kielelezo tosha kuwa demokrasia yetu ina shida! Mifano ni kama vile:

1.Kuviba vyombo vya habari midomo visitangaze habari za wapinzani, haya mabo ya kutakiwa kuomba vibali kwanini yaanze leo wakati Tundu Lissu kaanza kufanya mahojiano?? Hivi ni leo ndio tumeanza kusikiliza redio za nje kama BBC, Aljazeera , VoA na nyinginezo?

2.Kuchomwa moto ofisi za CHADEMA mkoani Arusha katika mkesha wa kumpokea Mgombea urais wa CHADEMA, Je kwanini tukio lile lifanywe leo wakati akielekea huko na si siku nyingine zote za nyuma? Je lina lengo la kumpa picha gani yeye na wanachama na wananchi wengine?

3.Kushambuliwa vibaya kwa msafara wa mgombea uraisi wa CHADEMA wilayani Hai na kuharibu hovyo magari yanayotumiwa na chama kwenye shuguli hiyo, Je haya yote yanapangwa na kutekelezwa ili iweje?

4.Hivi leo baada ya kupeleka taarifa mkoani Mbeya kuhusu ujio wa Mgombea urais wa CHADEMA, tayari kumetolewa ruling kwamba kila gari linalojishugulisha na matangazo lazkima lisajiliwe! Je kwanini haya yote yanafanyika baada ya kusikia ujio wa Tundu Lissu je lengo ni lipi?

CCM ilishasema uchaguzi huu ni mwepesi kuliko chaguzi zote zilizopita, sasa mahangaiko yote haya ni ya kazi gani?
 
Amini nawaambieni TL anajua kabisa hawezi kushinda ila mabwana zake wanachotaka ni kuona vurugu za kisiasa tu Tz

sasa mpaka sasa upinzani umekandamizwa wap?

Do u think wazungu wakitaka vurugu zitokee si jambo la dakika moja tu?

Kwanza wanasema tu mbuga zenu Zina virus vya microside haha then hakuna mtaalii anakuja
 
Back
Top Bottom