Serikali ya Rais Samia ilikuwa haina "option" nyingine zaidi ya kumwachia Mwenyekiti Mbowe kutoka mahabusu

Serikali ya Rais Samia ilikuwa haina "option" nyingine zaidi ya kumwachia Mwenyekiti Mbowe kutoka mahabusu

[emoji16][emoji16][emoji16] Waandishi wa Habari bwana!
Screenshot_20211217-005949_Chrome.jpg
 
Kwa kila mtu anayeifuatilia Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti Mbowe na wenzake 3 huko kwenye Mahakama Kuu, atagundua kuwa hii Kesi ni ya kubambika, kwa maana ya kuwa Majaji wake wanaopangwa ni wa michongo, mawakili wake walioko upande wa Jamhuri, walio upande wa mashitaka nao ni wa michongo hata mashahidi wao waliopangwa kushuhudia "uongo" dhidi ya Mwenyekiti Mbowe, nao ni wa michongo!

Kitu kingine ambacho kimekuwa ni kibaya zaidi na kimeleta taswira mbaya zaidi kwa Taifa letu kwa Jumuiya ya kimataifa, nao wamebaini kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa.

Kulithibitisha hilo ni namna mabalozi wa nchi za Magharibi wanavyoifuatilia kwa ukaribu mno kesi hiyo na hawapendi kukosa hata "session" moja ya Kesi hiyo.

Hii Kesi pia imepata "coverage" kubwa Sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kuvitaja vichache tu Kati ya vyombo hivyo ni BBC World, Al jazeera na CNN.

Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.

Kutokana na Hali hiyo tete, serikali ya Rais Samia, imekuwa ikifikiria namna itakavyoondokana na fedheha hiyo kubwa na ikifikiria namna bora zaidi ya kuifuta Kesi hiyo bila kupata aibu kubwa kutoka kwa watanzania na Jumuiya ya kimataifa.

Ndiyo wamekuja na "Plan A" ya kupanga kikao cha Baraza la vyama vya siasa na msajili wa vyama vya siasa pamoja na Jeshi la Polisi, kujadili kile walichokiita namna bora zaidi ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini, huku wakipanga kumwalika Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kukifungua kikao hicho.

Kitu kingine ambacho "kilipangwa" ni kumteua mwanasiasa Zitto Kabwe, awe ndiyo msemaji mkuu wa kambi ya upinzani nchini na kumomba Rais Samia Ili aweze kuwa na huruma na kumuachia huru.

Hivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?

Hivi kwa walomsikiliza Rais Samia akijibu hoja hiyo ya Zitto, kuwa Mbowe alivunja sheria na anapaswa kuwa mtii kwa mamlaka iliyopo madarakani, hivi hayo majibu yana busara kweli??

Rais Samia kujifanyia kama hayajui majukumu ya wapinzani nchini ndiyo kujenga ile demokrasia anyoiita "vibrant" nchini?

Sasa imefika hatua shinikizo limekuwa kubwa sana kutoka kwa wanasiasa wa vyama vya upinzani na kwa wanaharakati kutoka ndani ya nchi na Jumiya ya kimataifa kuitaka serikali ya Rais Samia, iifute Kesi hiyo ya "kubambika" na serikali imelazimika kuwa haina "option" nyingine zaidi ya kusalimu amri na kufikiria kumwachia Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote!
Samia akitaka kujisafisha na huu uhuni awawajibishe wote waliompotosha hadi kumuingiza mkenge wa kusema uongo na kutoa hukumu kwa mtu asiyekuwa na hatia. Kusema kweli kabisa mojawapo ya mambo yaliyomshushia hadhi na heshima Rais wetu ni hii kesi ya Mbowe.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwa kila mtu anayeifuatilia Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti Mbowe na wenzake 3 huko kwenye Mahakama Kuu, atagundua kuwa hii Kesi ni ya kubambika, kwa maana ya kuwa Majaji wake wanaopangwa ni wa michongo, mawakili wake walioko upande wa Jamhuri, walio upande wa mashitaka nao ni wa michongo hata mashahidi wao waliopangwa kushuhudia "uongo" dhidi ya Mwenyekiti Mbowe, nao ni wa michongo!

Kitu kingine ambacho kimekuwa ni kibaya zaidi na kimeleta taswira mbaya zaidi kwa Taifa letu kwa Jumuiya ya kimataifa, nao wamebaini kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa.

Kulithibitisha hilo ni namna mabalozi wa nchi za Magharibi wanavyoifuatilia kwa ukaribu mno kesi hiyo na hawapendi kukosa hata "session" moja ya Kesi hiyo.

Hii Kesi pia imepata "coverage" kubwa Sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kuvitaja vichache tu Kati ya vyombo hivyo ni BBC World, Al jazeera na CNN.

Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.

Kutokana na Hali hiyo tete, serikali ya Rais Samia, imekuwa ikifikiria namna itakavyoondokana na fedheha hiyo kubwa na ikifikiria namna bora zaidi ya kuifuta Kesi hiyo bila kupata aibu kubwa kutoka kwa watanzania na Jumuiya ya kimataifa.

Ndiyo wamekuja na "Plan A" ya kupanga kikao cha Baraza la vyama vya siasa na msajili wa vyama vya siasa pamoja na Jeshi la Polisi, kujadili kile walichokiita namna bora zaidi ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini, huku wakipanga kumwalika Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kukifungua kikao hicho.

Kitu kingine ambacho "kilipangwa" ni kumteua mwanasiasa Zitto Kabwe, awe ndiyo msemaji mkuu wa kambi ya upinzani nchini na kumomba Rais Samia Ili aweze kuwa na huruma na kumuachia huru.

Hivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?

Hivi kwa walomsikiliza Rais Samia akijibu hoja hiyo ya Zitto, kuwa Mbowe alivunja sheria na anapaswa kuwa mtii kwa mamlaka iliyopo madarakani, hivi hayo majibu yana busara kweli??

Rais Samia kujifanyia kama hayajui majukumu ya wapinzani nchini ndiyo kujenga ile demokrasia anyoiita "vibrant" nchini?

Sasa imefika hatua shinikizo limekuwa kubwa sana kutoka kwa wanasiasa wa vyama vya upinzani na kwa wanaharakati kutoka ndani ya nchi na Jumiya ya kimataifa kuitaka serikali ya Rais Samia, iifute Kesi hiyo ya "kubambika" na serikali imelazimika kuwa haina "option" nyingine zaidi ya kusalimu amri na kufikiria kumwachia Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote!
Wale waliokuwa wanasita kumkabidhi madaraka baada ya kifo cha dikteta walikuwa sahihi kabisa. Ni janga nchi kuongozwa na watu wenye iq ndogo kwa miaka 10 mfululizo
 
Kimsingi wanapaswa kumfutia Mbowe kesi, na sio kumsamehe kama wanavyotaka kuidanganya dunia.
Kwasasa hawana la kufanya tena, kwakua tayari dunia imesha ujua ukweli na tayari aibu imewapata imewalazimu kuchutama...teh😂
Wanaona aibu kubwa sn
 
Nenda Duniani kote uniambie Majority ya Polisi/Majeshi wana elimu gani. 75℅ ni elimu ya kawaida then specialization ni kwenye taaluma husika. Tatizo lenu Tz msomi ni yule anayekwenda elimu hii ya UDSM, MZUMBE, TUMAINI, HURIA nk.

Nendeni China, India, USA nk nk ndipo mtajua hamjui
Sasa failure mnamkabidhi vipi kusimamia sheria na tarativu
 
Kesi haifutwi, ipo inarindima kama kawaida.
Na kituko cha leo Jaji kanyofoa baadhi ya kurasa za kielelezo ili kikidhi vigezo na kukipokea mahakamani.
 
Hv unadhn uongozi kuwa na elimu kubwa???
Wale waliokuwa wanasita kumkabidhi madaraka baada ya kifo cha dikteta walikuwa sahihi kabisa. Ni janga nchi kuongozwa na watu wenye iq ndogo kwa miaka 10 mfululizo
 
Hawa akina Zitto ni "Political Opportunists", hawana lolote wako kwenye siasa kuganga njaa tu ndio maana wanatumiwa na ccm kukidhi matakwa yao.

Yeye nani alimtuma akajipendekeze kwa serikali wakati anafahamu fika kwamba kesi hii ni ya kubumba na Mbowe hawezi kuomba msamaha kwa sababu hana kosa.

Labda kosa kubwa la Mbowe ni kukataa kuwauzia ccm chama kama alivyotaka dikteta John Pombe Joseph Magufuli na ndio sababu ya wao kubumba hii wanayoita kesi toka mwaka jana.

Sijui ni kwa nini watanzania tuna hulka ya unafiki namna hii, yaani rais anasema polisi waache kubambikia watu vyesi feki wakati tayari kesi feki iko mbele yake. Bure kabisa.
 
Kwa kila mtu anayeifuatilia Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti Mbowe na wenzake 3 huko kwenye Mahakama Kuu, atagundua kuwa hii Kesi ni ya kubambika, kwa maana ya kuwa Majaji wake wanaopangwa ni wa michongo, mawakili wake walioko upande wa Jamhuri, walio upande wa mashitaka nao ni wa michongo hata mashahidi wao waliopangwa kushuhudia "uongo" dhidi ya Mwenyekiti Mbowe, nao ni wa michongo!

Kitu kingine ambacho kimekuwa ni kibaya zaidi na kimeleta taswira mbaya zaidi kwa Taifa letu kwa Jumuiya ya kimataifa, nao wamebaini kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa.

Kulithibitisha hilo ni namna mabalozi wa nchi za Magharibi wanavyoifuatilia kwa ukaribu mno kesi hiyo na hawapendi kukosa hata "session" moja ya Kesi hiyo.

Hii Kesi pia imepata "coverage" kubwa Sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kuvitaja vichache tu Kati ya vyombo hivyo ni BBC World, Al jazeera na CNN.

Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.

Kutokana na Hali hiyo tete, serikali ya Rais Samia, imekuwa ikifikiria namna itakavyoondokana na fedheha hiyo kubwa na ikifikiria namna bora zaidi ya kuifuta Kesi hiyo bila kupata aibu kubwa kutoka kwa watanzania na Jumuiya ya kimataifa.

Ndiyo wamekuja na "Plan A" ya kupanga kikao cha Baraza la vyama vya siasa na msajili wa vyama vya siasa pamoja na Jeshi la Polisi, kujadili kile walichokiita namna bora zaidi ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini, huku wakipanga kumwalika Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kukifungua kikao hicho.

Kitu kingine ambacho "kilipangwa" ni kumteua mwanasiasa Zitto Kabwe, awe ndiyo msemaji mkuu wa kambi ya upinzani nchini na kumomba Rais Samia Ili aweze kuwa na huruma na kumuachia huru.

Hivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?

Hivi kwa walomsikiliza Rais Samia akijibu hoja hiyo ya Zitto, kuwa Mbowe alivunja sheria na anapaswa kuwa mtii kwa mamlaka iliyopo madarakani, hivi hayo majibu yana busara kweli??

Rais Samia kujifanyia kama hayajui majukumu ya wapinzani nchini ndiyo kujenga ile demokrasia anyoiita "vibrant" nchini?

Sasa imefika hatua shinikizo limekuwa kubwa sana kutoka kwa wanasiasa wa vyama vya upinzani na kwa wanaharakati kutoka ndani ya nchi na Jumiya ya kimataifa kuitaka serikali ya Rais Samia, iifute Kesi hiyo ya "kubambika" na serikali imelazimika kuwa haina "option" nyingine zaidi ya kusalimu amri na kufikiria kumwachia Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote!
Mbona mnajitoa ufahamu mapema? Huko kutokuwa na options ni kwa Mama Samia tu au yake ya Magufuli mmeyasahau? Kama iliwezekana kujaribu kumtoa uhai Lissu na mpaka leo hakuna aliyekamatwa, kama iliwezekana Ben Saanane "kupotea" na mpaka leo hakuna maelezo, na kama hadi leo mmekubali matokeo kwenye ishu ya akina Halima Mdee, hiyo jeuri ya kudai Mama Samia hana option mnapata wapi? Tungependa haki itendeke lakini ukweli mchungu ni kwamba hata wakimfunga mtaishia tu kujazana upepo kwenye spesi za Maria.
 
Sasa failure mnamkabidhi vipi kusima

Ninachoamini POLISI wapo tu wengi hao wasomi wa diploma/ degree nk wa elimu za kawaida hizi lakini hata hii kada ya form 4/form 6 ni wasomi ktk field zao

Kila mtu ni msomi ktk specialization yake. Ingekuwa anachukuliwa tu Form 4 na kuambiwa Fanya kazi bila mafunzo hapo sawa. Lakini wanapelekwa mafunzoni tena ya aina tofauti na wasiofikia standard automatic wanatolewa.

Jamani msijifungie chumba cha Giza. Tokeni mtajua mengi. Nenda hapo tu Israel au USA , China, India nk nk.
 
Kwa kila mtu anayeifuatilia Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti Mbowe na wenzake 3 huko kwenye Mahakama Kuu, atagundua kuwa hii Kesi ni ya kubambika, kwa maana ya kuwa Majaji wake wanaopangwa ni wa michongo, mawakili wake walioko upande wa Jamhuri, walio upande wa mashitaka nao ni wa michongo hata mashahidi wao waliopangwa kushuhudia "uongo" dhidi ya Mwenyekiti Mbowe, nao ni wa michongo!

Kitu kingine ambacho kimekuwa ni kibaya zaidi na kimeleta taswira mbaya zaidi kwa Taifa letu kwa Jumuiya ya kimataifa, nao wamebaini kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa.

Kulithibitisha hilo ni namna mabalozi wa nchi za Magharibi wanavyoifuatilia kwa ukaribu mno kesi hiyo na hawapendi kukosa hata "session" moja ya Kesi hiyo.

Hii Kesi pia imepata "coverage" kubwa Sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kuvitaja vichache tu Kati ya vyombo hivyo ni BBC World, Al jazeera na CNN.

Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.

Kutokana na Hali hiyo tete, serikali ya Rais Samia, imekuwa ikifikiria namna itakavyoondokana na fedheha hiyo kubwa na ikifikiria namna bora zaidi ya kuifuta Kesi hiyo bila kupata aibu kubwa kutoka kwa watanzania na Jumuiya ya kimataifa.

Ndiyo wamekuja na "Plan A" ya kupanga kikao cha Baraza la vyama vya siasa na msajili wa vyama vya siasa pamoja na Jeshi la Polisi, kujadili kile walichokiita namna bora zaidi ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini, huku wakipanga kumwalika Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kukifungua kikao hicho.

Kitu kingine ambacho "kilipangwa" ni kumteua mwanasiasa Zitto Kabwe, awe ndiyo msemaji mkuu wa kambi ya upinzani nchini na kumomba Rais Samia Ili aweze kuwa na huruma na kumuachia huru.

Hivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?

Hivi kwa walomsikiliza Rais Samia akijibu hoja hiyo ya Zitto, kuwa Mbowe alivunja sheria na anapaswa kuwa mtii kwa mamlaka iliyopo madarakani, hivi hayo majibu yana busara kweli??

Rais Samia kujifanyia kama hayajui majukumu ya wapinzani nchini ndiyo kujenga ile demokrasia anyoiita "vibrant" nchini?

Sasa imefika hatua shinikizo limekuwa kubwa sana kutoka kwa wanasiasa wa vyama vya upinzani na kwa wanaharakati kutoka ndani ya nchi na Jumiya ya kimataifa kuitaka serikali ya Rais Samia, iifute Kesi hiyo ya "kubambika" na serikali imelazimika kuwa haina "option" nyingine zaidi ya kusalimu amri na kufikiria kumwachia Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote!
Kesi ime Backfire kinomaa
 
Mbona mnajitoa ufahamu mapema? Huko kutokuwa na options ni kwa Mama Samia tu au yake ya Magufuli mmeyasahau? Kama iliwezekana kujaribu kumtoa uhai Lissu na mpaka leo hakuna aliyekamatwa, kama iliwezekana Ben Saanane "kupotea" na mpaka leo hakuna maelezo, na kama hadi leo mmekubali matokeo kwenye ishu ya akina Halima Mdee, hiyo jeuri ya kudai Mama Samia hana option mnapata wapi? Tungependa haki itendeke lakini ukweli mchungu ni kwamba hata wakimfunga mtaishia tu kujazana upepo kwenye spesi za Maria.
Hivi na wewe Jasusi hiyo Spesi ya Maria una ugomvi nayo?? Huwezi kuongea jambo lolote bila kuitaja? Tatizo ni nini Kaka Chahali? Sasa tutaanza kukufikiria una jambo lako.

Spesi ni kama ilivyo kitandao mingine ya kijamii
 
Back
Top Bottom