Kitendo cha kulindima Risasi nyingi ktk makazi ya kiserikali( Makazi maalum) kilipaswa kuiamusha security system kwa namna yoyote ile.Hebu jiulize hivi Taifa lililo "civilized" linaweza kutopeleleza Kesi ya kumiminiwa risasi, mchana kweupe, tena kwenye makazi ya waheshimiwa, tena kwenye CCTV camera, kama alivyofanyiwa Tundu Lissu?
Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.[emoji1534][emoji1534][emoji1534]Kwa kila mtu anayeifuatilia Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti Mbowe na wenzake 3 huko kwenye Mahakama Kuu, atagundua kuwa hii Kesi ni ya kubambika, kwa maana ya kuwa Majaji wake wanaopangwa ni wa michongo, mawakili wake walioko upande wa Jamhuri, walio upande wa mashitaka nao ni wa michongo hata mashahidi wao waliopangwa kushuhudia "uongo" dhidi ya Mwenyekiti Mbowe, nao ni wa michongo!
Kitu kingine ambacho kimekuwa ni kibaya zaidi na kimeleta taswira mbaya zaidi kwa Taifa letu kwa Jumuiya ya kimataifa, nao wamebaini kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa.
Kulithibitisha hilo ni namna mabalozi wa nchi za Magharibi wanavyoifuatilia kwa ukaribu mno kesi hiyo na hawapendi kukosa hata "session" moja ya Kesi hiyo.
Hii Kesi pia imepata "coverage" kubwa Sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kuvitaja vichache tu Kati ya vyombo hivyo ni BBC World, Al jazeera na CNN.
Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.
Kutokana na Hali hiyo tete, serikali ya Rais Samia, imekuwa ikifikiria namna itakavyoondokana na fedheha hiyo kubwa na ikifikiria namna bora zaidi ya kuifuta Kesi hiyo bila kupata aibu kubwa kutoka kwa watanzania na Jumuiya ya kimataifa.
Ndiyo wamekuja na "Plan A" ya kupanga kikao cha Baraza la vyama vya siasa na msajili wa vyama vya siasa pamoja na Jeshi la Polisi, kujadili kile walichokiita namna bora zaidi ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini, huku wakipanga kumwalika Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kukifungua kikao hicho.
Kitu kingine ambacho "kilipangwa" ni kumteua mwanasiasa Zitto Kabwe, awe ndiyo msemaji mkuu wa kambi ya upinzani nchini na kumomba Rais Samia Ili aweze kuwa na huruma na kumuachia huru.
Hivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?
Hivi kwa walomsikiliza Rais Samia akijibu hoja hiyo ya Zitto, kuwa Mbowe alivunja sheria na anapaswa kuwa mtii kwa mamlaka iliyopo madarakani, hivi hayo majibu yana busara kweli??
Rais Samia kujifanyia kama hayajui majukumu ya wapinzani nchini ndiyo kujenga ile demokrasia anyoiita "vibrant" nchini?
Sasa imefika hatua shinikizo limekuwa kubwa sana kutoka kwa wanasiasa wa vyama vya upinzani na kwa wanaharakati kutoka ndani ya nchi na Jumiya ya kimataifa kuitaka serikali ya Rais Samia, iifute Kesi hiyo ya "kubambika" na serikali imelazimika kuwa haina "option" nyingine zaidi ya kusalimu amri na kufikiria kumwachia Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote!
Huwa namtafakari sana. Ndio maama Ulaya na marekani pamoja na kwamba hawana Mfumo dume bado nafasi za juu za uongozi mwanamke amepewa kiduchu.It started with Jinsia fragility na Umugia wa cheo chake watu wakaitumia fursa kumpa ushauri wa kipopoma ili wafaidi yao. Kila Mara anatia neno anasahau ni shauri la mahakama.
njia waliyotumia kumzima imebackfireHivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?
Mkuu siku mbowe anaachiwa(kinyume na utaratibu) ndo siku ambayo siku tutaanzisha safari ya sabaya kuachiwa, haiwezekani 1 aachwe mwingine aonekane na kosa, na wote Ni wahanga wa kisiasa, mbowe na sabaya wapambane tu na Hali zao, kila mmoja atapata kulingana na stahiki yao..Kwa kila mtu anayeifuatilia Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti Mbowe na wenzake 3 huko kwenye Mahakama Kuu, atagundua kuwa hii Kesi ni ya kubambika, kwa maana ya kuwa Majaji wake wanaopangwa ni wa michongo, mawakili wake walioko upande wa Jamhuri, walio upande wa mashitaka nao ni wa michongo hata mashahidi wao waliopangwa kushuhudia "uongo" dhidi ya Mwenyekiti Mbowe, nao ni wa michongo!
Kitu kingine ambacho kimekuwa ni kibaya zaidi na kimeleta taswira mbaya zaidi kwa Taifa letu kwa Jumuiya ya kimataifa, nao wamebaini kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa.
Kulithibitisha hilo ni namna mabalozi wa nchi za Magharibi wanavyoifuatilia kwa ukaribu mno kesi hiyo na hawapendi kukosa hata "session" moja ya Kesi hiyo.
Hii Kesi pia imepata "coverage" kubwa Sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kuvitaja vichache tu Kati ya vyombo hivyo ni BBC World, Al jazeera na CNN.
Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.
Kutokana na Hali hiyo tete, serikali ya Rais Samia, imekuwa ikifikiria namna itakavyoondokana na fedheha hiyo kubwa na ikifikiria namna bora zaidi ya kuifuta Kesi hiyo bila kupata aibu kubwa kutoka kwa watanzania na Jumuiya ya kimataifa.
Ndiyo wamekuja na "Plan A" ya kupanga kikao cha Baraza la vyama vya siasa na msajili wa vyama vya siasa pamoja na Jeshi la Polisi, kujadili kile walichokiita namna bora zaidi ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini, huku wakipanga kumwalika Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kukifungua kikao hicho.
Kitu kingine ambacho "kilipangwa" ni kumteua mwanasiasa Zitto Kabwe, awe ndiyo msemaji mkuu wa kambi ya upinzani nchini na kumomba Rais Samia Ili aweze kuwa na huruma na kumuachia huru.
Hivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?
Hivi kwa walomsikiliza Rais Samia akijibu hoja hiyo ya Zitto, kuwa Mbowe alivunja sheria na anapaswa kuwa mtii kwa mamlaka iliyopo madarakani, hivi hayo majibu yana busara kweli??
Rais Samia kujifanyia kama hayajui majukumu ya wapinzani nchini ndiyo kujenga ile demokrasia anyoiita "vibrant" nchini?
Sasa imefika hatua shinikizo limekuwa kubwa sana kutoka kwa wanasiasa wa vyama vya upinzani na kwa wanaharakati kutoka ndani ya nchi na Jumiya ya kimataifa kuitaka serikali ya Rais Samia, iifute Kesi hiyo ya "kubambika" na serikali imelazimika kuwa haina "option" nyingine zaidi ya kusalimu amri na kufikiria kumwachia Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote!
ujinga wa mwisho wa mwaka 2021Mkuu siku mbowe anaachiwa(kinyume na utaratibu) ndo siku ambayo siku tutaanzisha safari ya sabaya kuachiwa, haiwezekani 1 aachwe mwingine aonekane na kosa, na wote Ni wahanga wa kisiasa, mbowe na sabaya wapambane tu na Hali zao, kila mmoja atapata kulingana na stahiki yao..
Nashukru mkuu unaakili ya mwisho kabisa 2021[emoji3][emoji3],ujinga wa mwisho wa mwaka 2021
Habari ya Mh Mbowe ni moja kati ya maelfu ya kesi za kubambikiana Tanzania. Sheria na wasimamiaji wake wote wamekuwa mstari wa mbele kuvunja sheria hizo. Hakuna haki kuanzia ngazi ya chini kabisa huku hadi ngazi za juu huko. Mfano kuna jamaa yangu aliwahi kukamatwa na polisi, sasa eti wakamuuliza unataka tukupe kesi gani?? Au una chochote hapo tukuache huru?Kwa kila mtu anayeifuatilia Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti Mbowe na wenzake 3 huko kwenye Mahakama Kuu, atagundua kuwa hii Kesi ni ya kubambika, kwa maana ya kuwa Majaji wake wanaopangwa ni wa michongo, mawakili wake walioko upande wa Jamhuri, walio upande wa mashitaka nao ni wa michongo hata mashahidi wao waliopangwa kushuhudia "uongo" dhidi ya Mwenyekiti Mbowe, nao ni wa michongo!
Kitu kingine ambacho kimekuwa ni kibaya zaidi na kimeleta taswira mbaya zaidi kwa Taifa letu kwa Jumuiya ya kimataifa, nao wamebaini kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa.
Kulithibitisha hilo ni namna mabalozi wa nchi za Magharibi wanavyoifuatilia kwa ukaribu mno kesi hiyo na hawapendi kukosa hata "session" moja ya Kesi hiyo.
Hii Kesi pia imepata "coverage" kubwa Sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kuvitaja vichache tu Kati ya vyombo hivyo ni BBC World, Al jazeera na CNN.
Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.
Kutokana na Hali hiyo tete, serikali ya Rais Samia, imekuwa ikifikiria namna itakavyoondokana na fedheha hiyo kubwa na ikifikiria namna bora zaidi ya kuifuta Kesi hiyo bila kupata aibu kubwa kutoka kwa watanzania na Jumuiya ya kimataifa.
Ndiyo wamekuja na "Plan A" ya kupanga kikao cha Baraza la vyama vya siasa na msajili wa vyama vya siasa pamoja na Jeshi la Polisi, kujadili kile walichokiita namna bora zaidi ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini, huku wakipanga kumwalika Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kukifungua kikao hicho.
Kitu kingine ambacho "kilipangwa" ni kumteua mwanasiasa Zitto Kabwe, awe ndiyo msemaji mkuu wa kambi ya upinzani nchini na kumomba Rais Samia Ili aweze kuwa na huruma na kumuachia huru.
Hivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?
Hivi kwa walomsikiliza Rais Samia akijibu hoja hiyo ya Zitto, kuwa Mbowe alivunja sheria na anapaswa kuwa mtii kwa mamlaka iliyopo madarakani, hivi hayo majibu yana busara kweli??
Rais Samia kujifanyia kama hayajui majukumu ya wapinzani nchini ndiyo kujenga ile demokrasia anyoiita "vibrant" nchini?
Sasa imefika hatua shinikizo limekuwa kubwa sana kutoka kwa wanasiasa wa vyama vya upinzani na kwa wanaharakati kutoka ndani ya nchi na Jumiya ya kimataifa kuitaka serikali ya Rais Samia, iifute Kesi hiyo ya "kubambika" na serikali imelazimika kuwa haina "option" nyingine zaidi ya kusalimu amri na kufikiria kumwachia Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote!
Habari ya Mh Mbowe ni moja kati ya maelfu ya kesi za kubambikiana Tanzania. Sheria na wasimamiaji wake wote wamekuwa mstari wa mbele kuvunja sheria hizo. Hakuna haki kuanzia ngazi ya chini kabisa huku hadi ngazi za juu huko. Mfano kuna jamaa yangu aliwahi kukamatwa na polisi, sasa eti wakamuuliza unataka tukupe kesi gani?? Au una chochote hapo tukuache huru?Kwa kila mtu anayeifuatilia Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti Mbowe na wenzake 3 huko kwenye Mahakama Kuu, atagundua kuwa hii Kesi ni ya kubambika, kwa maana ya kuwa Majaji wake wanaopangwa ni wa michongo, mawakili wake walioko upande wa Jamhuri, walio upande wa mashitaka nao ni wa michongo hata mashahidi wao waliopangwa kushuhudia "uongo" dhidi ya Mwenyekiti Mbowe, nao ni wa michongo!
Kitu kingine ambacho kimekuwa ni kibaya zaidi na kimeleta taswira mbaya zaidi kwa Taifa letu kwa Jumuiya ya kimataifa, nao wamebaini kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa.
Kulithibitisha hilo ni namna mabalozi wa nchi za Magharibi wanavyoifuatilia kwa ukaribu mno kesi hiyo na hawapendi kukosa hata "session" moja ya Kesi hiyo.
Hii Kesi pia imepata "coverage" kubwa Sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kuvitaja vichache tu Kati ya vyombo hivyo ni BBC World, Al jazeera na CNN.
Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.
Kutokana na Hali hiyo tete, serikali ya Rais Samia, imekuwa ikifikiria namna itakavyoondokana na fedheha hiyo kubwa na ikifikiria namna bora zaidi ya kuifuta Kesi hiyo bila kupata aibu kubwa kutoka kwa watanzania na Jumuiya ya kimataifa.
Ndiyo wamekuja na "Plan A" ya kupanga kikao cha Baraza la vyama vya siasa na msajili wa vyama vya siasa pamoja na Jeshi la Polisi, kujadili kile walichokiita namna bora zaidi ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini, huku wakipanga kumwalika Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kukifungua kikao hicho.
Kitu kingine ambacho "kilipangwa" ni kumteua mwanasiasa Zitto Kabwe, awe ndiyo msemaji mkuu wa kambi ya upinzani nchini na kumomba Rais Samia Ili aweze kuwa na huruma na kumuachia huru.
Hivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?
Hivi kwa walomsikiliza Rais Samia akijibu hoja hiyo ya Zitto, kuwa Mbowe alivunja sheria na anapaswa kuwa mtii kwa mamlaka iliyopo madarakani, hivi hayo majibu yana busara kweli??
Rais Samia kujifanyia kama hayajui majukumu ya wapinzani nchini ndiyo kujenga ile demokrasia anyoiita "vibrant" nchini?
Sasa imefika hatua shinikizo limekuwa kubwa sana kutoka kwa wanasiasa wa vyama vya upinzani na kwa wanaharakati kutoka ndani ya nchi na Jumiya ya kimataifa kuitaka serikali ya Rais Samia, iifute Kesi hiyo ya "kubambika" na serikali imelazimika kuwa haina "option" nyingine zaidi ya kusalimu amri na kufikiria kumwachia Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote!
Hivi huu ujasusi wako ulisomea Soviet union? Jaribu kusoma ujasusi wa zama hizi huko uliko ili uondokane na mitazamo mfu! Wenye Nia njema na taifa lao unawakatisha tamaa Kwa mtazamo wako wa kimarx uliokwisha jifia zama za Mikael Gorbachev! Wenye kuijua haki hawakati tamaa Kama unavyodhani! Rejea ukombozi wa Wana wa Israel dhidi ya pharaoh kabla ubwabwaje hapa! Naamini Bado unatumika na ccm Kama mwenzako mlawa but hamtakaa mshinde!Mbona mnajitoa ufahamu mapema? Huko kutokuwa na options ni kwa Mama Samia tu au yake ya Magufuli mmeyasahau? Kama iliwezekana kujaribu kumtoa uhai Lissu na mpaka leo hakuna aliyekamatwa, kama iliwezekana Ben Saanane "kupotea" na mpaka leo hakuna maelezo, na kama hadi leo mmekubali matokeo kwenye ishu ya akina Halima Mdee, hiyo jeuri ya kudai Mama Samia hana option mnapata wapi? Tungependa haki itendeke lakini ukweli mchungu ni kwamba hata wakimfunga mtaishia tu kujazana upepo kwenye spesi za Maria.
Umeamua kulisafisha fuvu lako ili lisianze na uchafu uliokuwemo mwakani? Comparison Iko wapi Kati ya kesi hizo? Ccm mmejazana malimbukeni watupu hakuna mweñye afadhali hata mmoja!Mkuu siku mbowe anaachiwa(kinyume na utaratibu) ndo siku ambayo siku tutaanzisha safari ya sabaya kuachiwa, haiwezekani 1 aachwe mwingine aonekane na kosa, na wote Ni wahanga wa kisiasa, mbowe na sabaya wapambane tu na Hali zao, kila mmoja atapata kulingana na stahiki yao..
Kabisa Mkuu, wale jamaa HAKIKA WALIONA MBALI SANA. Basi wakajikuta wamezidiwa nguvu na hatimaye kufurushwa kwenye meza ya duara.Wale waliokuwa wanasita kumkabidhi madaraka baada ya kifo cha dikteta walikuwa sahihi kabisa. Ni janga nchi kuongozwa na watu wenye iq ndogo kwa miaka 10 mfululizo
Hahaaaaa.......Habari ya Mh Mbowe ni moja kati ya maelfu ya kesi za kubambikiana Tanzania. Sheria na wasimamiaji wake wote wamekuwa mstari wa mbele kuvunja sheria hizo. Hakuna haki kuanzia ngazi ya chini kabisa huku hadi ngazi za juu huko. Mfano kuna jamaa yangu aliwahi kukamatwa na polisi, sasa eti wakamuuliza unataka tukupe kesi gani?? Au una chochote hapo tukuache huru?
Hakuna haki kabisa nchini hapa.
Ukifikilia Sana watz toka vyama mbadala , CCm halisi baadhi , na watanzania wengi wasio kuwa na vyama ila wenye MAPENZI mema na nchii hii, ndo wazalendo wa wakweli,Kwa kila mtu anayeifuatilia Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti Mbowe na wenzake 3 huko kwenye Mahakama Kuu, atagundua kuwa hii Kesi ni ya kubambika, kwa maana ya kuwa Majaji wake wanaopangwa ni wa michongo, mawakili wake walioko upande wa Jamhuri, walio upande wa mashitaka nao ni wa michongo hata mashahidi wao waliopangwa kushuhudia "uongo" dhidi ya Mwenyekiti Mbowe, nao ni wa michongo!
Kitu kingine ambacho kimekuwa ni kibaya zaidi na kimeleta taswira mbaya zaidi kwa Taifa letu kwa Jumuiya ya kimataifa, nao wamebaini kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa.
Kulithibitisha hilo ni namna mabalozi wa nchi za Magharibi wanavyoifuatilia kwa ukaribu mno kesi hiyo na hawapendi kukosa hata "session" moja ya Kesi hiyo.
Hii Kesi pia imepata "coverage" kubwa Sana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, kuvitaja vichache tu Kati ya vyombo hivyo ni BBC World, Al jazeera na CNN.
Imefikia hatua Kesi hiyo imepiga hodi hadi kwenye viunga vya Bunge la Ulaya na imejadiliwa kwa kina, kuwa Kesi hiyo ni ya kisiasa na Bunge hilo limemtaka Rais Samia, aifute Kesi hiyo bila masharti yoyote yale, ama sivyo nchi yetu iwe Katika "risk" ya kibano cha kukosa misaada mikubwa inayotoka kwenye Jumuiya hiyo ya Ulaya.
Kutokana na Hali hiyo tete, serikali ya Rais Samia, imekuwa ikifikiria namna itakavyoondokana na fedheha hiyo kubwa na ikifikiria namna bora zaidi ya kuifuta Kesi hiyo bila kupata aibu kubwa kutoka kwa watanzania na Jumuiya ya kimataifa.
Ndiyo wamekuja na "Plan A" ya kupanga kikao cha Baraza la vyama vya siasa na msajili wa vyama vya siasa pamoja na Jeshi la Polisi, kujadili kile walichokiita namna bora zaidi ya kuendesha shughuli za kisiasa nchini, huku wakipanga kumwalika Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kukifungua kikao hicho.
Kitu kingine ambacho "kilipangwa" ni kumteua mwanasiasa Zitto Kabwe, awe ndiyo msemaji mkuu wa kambi ya upinzani nchini na kumomba Rais Samia Ili aweze kuwa na huruma na kumuachia huru.
Hivi kwa Mwenyekiti Mbowe kutekeleza wajibu wake kama kiongozi mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini cha Chadema, kuwashawishi wananchi Ili kuishinikiza serikali ikubali kuwa na Katiba mpya ya nchi, nalo ni kosa hadi abambikiwe Kesi ya ugaidi?
Hivi kwa walomsikiliza Rais Samia akijibu hoja hiyo ya Zitto, kuwa Mbowe alivunja sheria na anapaswa kuwa mtii kwa mamlaka iliyopo madarakani, hivi hayo majibu yana busara kweli??
Rais Samia kujifanyia kama hayajui majukumu ya wapinzani nchini ndiyo kujenga ile demokrasia anyoiita "vibrant" nchini?
Sasa imefika hatua shinikizo limekuwa kubwa sana kutoka kwa wanasiasa wa vyama vya upinzani na kwa wanaharakati kutoka ndani ya nchi na Jumiya ya kimataifa kuitaka serikali ya Rais Samia, iifute Kesi hiyo ya "kubambika" na serikali imelazimika kuwa haina "option" nyingine zaidi ya kusalimu amri na kufikiria kumwachia Mwenyekiti Mbowe bila masharti yoyote!