Wanaopeleka katoto wao best schools sino kuonteshea kauri ya pesa, but giving them, the best education that money can buy, kuna wabongo, wanasomesha watoto wao IST, hawafanyi mitihani ya NECTA na wakimaliza ni straight maiuu, baadhi yao pia kupata ada ni kuvutana mashati, sio kwasababu ya kuonyesha jeuri but in giving them the best education money can buy.
Hakuna wa kushindwa kulipa 50K, ila kama taifa limeamua kutoa elimu bure, then kwa all public services sa elimu ziwe bure kwa wote, including ada za mitihani na sio kufanya ubaguzi, wale wa elimu bure ndio ada ikafutwa lakini wale wa private schools ada inaendelea!. Why?. HESLB ano maano walianza kutoa mikopo kwa ubaguzi, waliokukuwa wanatoka private schools hawakopeshwi!. Baadae ubaguzi hip ukaondoshwa. Na Necta ubaguzi buy uondoshwe!.
P