FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ndio hapo sasa, aliyechanjwa anakuwa amejikinga, lakini bado anaendelea kuambukiza wengine kama kawaida, sasa kwa maana hiyo katika suala la usambazaji virusi wote wako sawa, hili katazo halina mantikiHivi chanjo inazuia aliyechanjwa kutoambukiza wengine?
"Kwan nasema uongo ndugu zangu"JPM akiipata hiyo
" Nimesikia ndugu zangu waislamu mmewekewa masharti kwamba mwaka huu hamuwezi kwenda kuhiji mpk uwe umechanjwa, Hao ndiyo viongozi wetu wa kiroho tulio nao leo yaani wanawazuia watu kutekeleza nguzo yao ya imani kisa ugonjwa, nilikuwa nachombeza na Mufti hapa kwani hatuwezi kujenga hiyo sehemu ya kuhiji kama ile ya Makka kule kisarawe kwa Mh Jafo ili na wao huko waje kuhiji hapa Tanzania kwa watani zangu wazaramo na fedha hizo zipo maana mambo mengine aah basi tu nisiendelee sana maana ni mambo ya imani ila ni mambo ya ajabu, ila wakiendelea kuwazuia leteni pendekezo tutajenga nasema tutajenga"
Nikisema hivi "Hakuna ibada hata moja tunayo fanya sisi Waislamu inafanana na ibada wanayo fanya Mashia".Umefupisha nini,mbona sijaona chochote ulichoeleza zaidi ya kusema shia sio waislamu?..
Nimekuuliza sabau ya kusema sio waislamu,unaniambia nikafanye uchunguzi.Wewe mwenye kujua ukweli umeshindwa hata kueleza kwa sentensi mbili kwanini unasema shia sio waislamu?
Hahahahahahahah, avae chupi aende? Duuuuh...., we jamaa weweYanahusiana na ukiukwaji wa haki za binadamu wa saudia.
Hawana uislam kitu..
Watalazimishaje mambo ya chanjo ambayo bado yamekuwa ni sintomfahamu ktk baadhi ya inchi ..
Kama unaona nakuumiza vaa chupi yako nenda..
Warembo wako wengi..
Nakuunga mkonoKila la Mtu ana uono wake mtazamo na maamuzi yake kulingana na utashi wake
Si sawa kulazimisha au kutaka serikari kua na mtizamo sawa na wengine wafanyavyo.
Issue ya Corona sio ya kukurupukia tu na kubugia chanjo kama tuonavyo.
Nashauri kuwepo na utulivu na utaratibu rafiki juu ya maamuzi yeyote ya hiyo chanjo.
N.b chanjo kwangu siafikiani nayo. Kufa nitakufa wakati wangu ukifika iwe Nina chanjo au sina. Nimechagua kutokua na chanjo
Hata ramadhani?Nikisema hivi "Hakuna ibada hata moja tunayo fanya sisi Waislamu inafanana na ibada wanayo fanya Mashia".
Hapo uneelewa nini ?
Yaani hata Ramadhani, haya mambo mbona yako wazi sana. Fatilia utaona, mambo mengine huwa yananoga ukishuhudia mwenyewe.Hata ramadhani?
Amekumbatiwa na marekani hakuna wakumgusa.Mwisho wa alsalul mtawala wa Saudia haupo mbali
Mufti Simba tena?
Tulia bwashee usipaparike Simba alishatangulia mbele ya haki
A reflection of a small mind, if it isn't necessary to talk then it becomes more rational to keep quiet.Mufti Simba tena?
Tulia bwashee usipaparike Simba alishatangulia mbele ya haki.
Out of subject ...!!! Come to your senses please.Mkuu serikali ya saudia ni genge la wahuni,,waliojivika joho la uislam..
Hii serikali ya kifalme hakuna inchi yeyote ya kiislam inayokubaliana nayo zaidi ya mataifa ya magharibi..
Hill genge la wahuni la saudia limekuwa likifanya mambo kadhaa ya kinyume na haki za binadamu kwa Yemeni kwa miaka kadhaa.
--Mfano kuendelea kushambulia Yemen,, haswa kwenye makazi ya raia na kuua watu wasio na hatia.
Bila kujali Wanawake na watoto.
Tena ikipata baraka zote za marekani,, kwa kuwauzia silaha za technology ya hali ya juu,,saudia iendelee kuipiga Yemen na kuikandamiza.
-- kuweka kambi za kijeshi kwnye bandari kadhaa kwenye mpaka kuzuia watu wa haki za binadamu kupeleka misaada Yemen..
Mkuu ukiona kwa macho wanayofanya saudia kwa Yemen,,yanasikitisha sana.
Tena waislam wenzao,,
Dini inasema ndugu wa muislam ni muislam mwenzie,,
Huo udugu upo wapi hapo?
Pasi na shaka huu utawala wa saudia ni genge la wahuni lililojivika joho la waislam.
Ukijumlisha na mauaji ya KASHOGI..
Hawafai hata kidogo..
Wanachokifanya wao ni kufata amri za mabwana zao marekani.
Na kuweka sheria za Mungu pembeni.
Wametoa mambo mengi ya kiislam na kuweka utamaduni wa kimagharibi..
Saudia ile inayopambwa kwenye vitabu vitakatifu. ,,sio hii iliyopo Leo..
Chochote kinachoendelea saudia kimepata baraka zote za mataifa ya magharibi..
Mkuu uislam ni iman,,,Hujajibu swali mkuu....NItajie nchi zenye/yenye uislamu kuliko saudi arabia..Simple tu
Kwenye ramadhani kuna tofauti zipi japo kwa uchache?Yaani hata Ramadhani, haya mambo mbona yako wazi sana. Fatilia utaona, mambo mengine huwa yananoga ukishuhudia mwenyewe.
Nchi ni yao sasa wewe kinachokuuma nini? Very hopeless.Saudi Arabia ni mke wa USA, yani katika mataifa ya kiislamu ni Iran pekee yake ndio mtetezi wa waislamu dhidi ha makucha ya beberu, wengi wote ni wachumba tu.
Haishangazi kuona Saudi ana toa boko kama hili maana ni kibaraka wa USA.
Nikakuuliza unaweza toa mfano ni kwa jinsi gani wanafanya tofauti na nyie waislamu?..Nikisema hivi "Hakuna ibada hata moja tunayo fanya sisi Waislamu inafanana na ibada wanayo fanya Mashia".
Hapo uneelewa nini ?
Acha ujinga wewe Mungu hana diniHii ni kwa mujibu wa tweet ya Zitto Kabwe.
Ameichagiza BAKWATA kuishikiniza serekali ya awamu ya 5 iruhusu chanjo kwa Watanzania ili waweze kutekeleza hii nguzo muhimu sana kwa Waislamu.
Hili ni la kwako mzee wetu Mufti Zuberi.....kabiliana na swahiba wako asiyetaka chanjo ili Mungu aendelee kukupa kibali cha kutumika katika nafasi nyeti uliyo nayo. Ama sivyo utakuwa umeuweka rehani utumishi wako ndani ya dini ya Mungu.
Enyi mawakala wa jokakuu mwovu na mharibifu mnafanya jitihada kubwa kuhakikisha lengo mnalitimiza ilio hasira za Mungu aliye hai awaangamize vizuri.Hii ni kwa mujibu wa tweet ya Zitto Kabwe.
Ameichagiza BAKWATA kuishikiniza serekali ya awamu ya 5 iruhusu chanjo kwa Watanzania ili waweze kutekeleza hii nguzo muhimu sana kwa Waislamu.
Hili ni la kwako mzee wetu Mufti Zuberi.....kabiliana na swahiba wako asiyetaka chanjo ili Mungu aendelee kukupa kibali cha kutumika katika nafasi nyeti uliyo nayo. Ama sivyo utakuwa umeuweka rehani utumishi wako ndani ya dini ya Mungu.
1. Wao hawaruhusu mtu kuamka ukiwa na janaba ule muda wa alfajiri.Kwenye ramadhani kuna tofauti zipi japo kwa uchache?
Sasa huo si mfano tosha na umejitosheleza ? Kwamba hatufanani nao kwa inada yoyote. Mathalani sala, kadhalika itikadi. Wao wanaamini Qur'aan tuliyo nayo haijakamilika iliyo kamilika anayo Mahd huko Pangoni. Mengi sana hatufanani nao Mashia.Nikakuuliza unaweza toa mfano ni kwa jinsi gani wanafanya tofauti na nyie waislamu?..
Wao wanaamini ya kuwa Mama Aisha alizini, kadhalika wanaamini ya kuwa baada ya Mtume kufariki maswahaba wote waliritadi isiokuwa wachache tu kina Abuu Dharri, Bilaal na wengine wachache yaani hawazidi kumi. Yaani maswahaba ambao Allah katika Qur'aan amewaridhia wao wanasema waliritadi.Mkuu nimeshtuka sana wewe kusema mashia sio waislam.
Naomba utuelimishe muislam ni nani , na kwanini mashia sio waislamu , ni hilo tuu mkuu.