Serikali ya South Afrika imetuma maafisa wake Urusi kujadiliana namna ya kurekebisha 'global order' ili kuwe na multipolar world

Serikali ya South Afrika imetuma maafisa wake Urusi kujadiliana namna ya kurekebisha 'global order' ili kuwe na multipolar world

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Chama tawala cha South Africa cha ANC kimesema kuwa kimewatuma maafisa wake kwenda Russia ku-discuss na chamade tawala cha Urusi juu ya kurekebisha 'global order' ili mataifa yawe huru kufuata tamaduni zao, tusilazimishane kufuata tamaduni za kimagharibi (ndoa za mashoga na wasagaji) na pia kila nchi zifanye biashara na mataifa mengine kwa kutumia sarafu zao, sio kutegemea US Dollars 💵.

====

SmartSelect_20230402-173021_Chrome.jpg

Screenshot_20230402-173049_Chrome.jpg
 
Hii picha inaumiza sana na kuchekesha sana hasa kuhusu huyo wa Africa kusini 🤣 😀
 
Bosonaro huyo juzi juzi tu ametoka kula Bata Marekani wakati nchi yake ndio wabongo wanaiamini kwenye hiyo BRICS.. Najiuliza kwanini jamaa hakwenda kula bata Russia au India ?
Alikuwa self exile bada ya kushindwa uchaguzi.wafuasi wake wakifanya fujo.amerudi siku chache zilizopita
 
ANC kwa sera zake za ukomusti wameiharibu sana South Africa
 
wahuni hao na watumia siasa chafu kuwateka wajinga
Kuna mijinga fulani pro-russia, yenyewe huwa inajifanya ina akili nyingi kuliko watu wote, yenyewe ndio inapata taarifa sahihi za kinachoendelea kwenye vita vya ukraine ila wengine hawapati taarifa sahihi wakati huo huo wote tunategemea sites za wamagharibi kupata hizo taarifa zote, yenyewe ndio inaijua vizuri historia ya Ukraine kuliko hata raia wa ukraine.
 
Alikuwa self exile bada ya kushindwa uchaguzi.wafuasi wake wakifanya fujo.amerudi siku chache zilizopita
Kwanini hakwenda kwenye nchi za BRICS wenzao, akaamua kwenda Usa.

Au aliogopa kwenda kukutana na vibaka huko Moscow akaoneka bora atulie zake states ale maisha.
 
wahuni hao na watumia siasa chafu kuwateka wajinga
Ao wenye siasa safi wako wapi? Hawa wanaotaka kuziwekea vikwazo nchi ambazo zitatumia currency zao badala Dolla?
 
Ao wenye siasa safi wako wapi? Hawa wanaotaka kuziwekea vikwazo nchi ambazo zitatumia currency zao badala Dolla?
Hao wenye siasa safi wanasababisha raia wa nchi nyingi wanapanga kukimbia mataifa yao kwenda kuishia huko kwenye siasa safi..
 
Back
Top Bottom