Kwanza sisi wenyewe tunabaguanaubaguzi upo popote , waafrika tusijidanganye et upande fulan unatupenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza sisi wenyewe tunabaguanaubaguzi upo popote , waafrika tusijidanganye et upande fulan unatupenda
BosoN, sio Rais wa Sasa wa BrazilBosonaro huyo juzi juzi tu ametoka kula Bata Marekani wakati nchi yake ndio wabongo wanaiamini kwenye hiyo BRICS.. Najiuliza kwanini jamaa hakwenda kula bata Russia au India ?
Hao wenye siasa safi wanasababisha raia wa nchi nyingi wanapanga kukimbia mataifa yao kwenda kuishia huko kwenye siasa safi..
Ndiyo si kwakuwakea vikwazo na kutishia mataifa mengine wasifanyenao biashara? Na ikibidi kuwavamia kijeshi kabisa ili kwenda kuwatinulia nchi yao alafu badae wanakuja wanasema tulifanya makosa kuivamia Libya wakati taifa wameshalibomoa! Kama hizi ndiyo siasa safi basi ni watanzania uwezo wetu wa kufikiri ni sifuri.Hao wenye siasa safi wanasababisha raia wa nchi nyingi wanapanga kukimbia mataifa yao kwenda kuishia huko kwenye siasa safi..
Wakati S. A tayari mashoga ruksa watatuambia kitu gani?Hakuna jipya hapo
Hiyo sio Habari, kila mtu anajua. Rudi kwenye context. Kesho ikitokea Putin ameenda kupumzika San Fransisco wakati Russia ikiwa na Rais mwingine , utasema tena Putin sio Rais wa Sasa wa Russia ?BosoN, sio Rais wa Sasa wa Brazil
Watawapiga na nukesWakati S. A tayari mashoga ruksa watatuambia kitu gani?