Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Huyo wa Africa haonekani pichani hii mitandao hii.[emoji1787]
ubaguzi upo popote , waafrika tusijidanganye et upande fulan unatupendaHuyo wa Africa haonekani pichani hii mitandao hii.[emoji1787]
Bosonaro huyo juzi juzi tu ametoka kula Bata Marekani wakati nchi yake ndio wabongo wanaiamini kwenye hiyo BRICS.. Najiuliza kwanini jamaa hakwenda kula bata Russia au India ?ubaguzi upo popote , waafrika tusijidanganye et upande fulan unatupenda
Nahiyo ndio tafsiri ya Multipolar, usimpangie mtu adui, watu wawe huru ilimradi hawavunji Sheria.Bosonaro huyo juzi juzi tu ametoka kula Bata Marekani wakati nchi yake ndio wabongo wanaiamini kwenye hiyo BRICS.. Najiuliza kwanini jamaa hakwenda kula bata Russia au India ?
Alikuwa self exile bada ya kushindwa uchaguzi.wafuasi wake wakifanya fujo.amerudi siku chache zilizopitaBosonaro huyo juzi juzi tu ametoka kula Bata Marekani wakati nchi yake ndio wabongo wanaiamini kwenye hiyo BRICS.. Najiuliza kwanini jamaa hakwenda kula bata Russia au India ?
wahuni hao na watumia siasa chafu kuwateka wajingaBosonaro huyo juzi juzi tu ametoka kula Bata Marekani wakati nchi yake ndio wabongo wanaiamini kwenye hiyo BRICS.. Najiuliza kwanini jamaa hakwenda kula bata Russia au India ?
kuna mtu alikupangia adui?Nahiyo ndio tafsiri ya Multipolar, usimpangie mtu adui, watu wawe huru ilimradi hawavunji Sheria.
Ndio.kuna mtu alikupangia adui?.
Kuna mijinga fulani pro-russia, yenyewe huwa inajifanya ina akili nyingi kuliko watu wote, yenyewe ndio inapata taarifa sahihi za kinachoendelea kwenye vita vya ukraine ila wengine hawapati taarifa sahihi wakati huo huo wote tunategemea sites za wamagharibi kupata hizo taarifa zote, yenyewe ndio inaijua vizuri historia ya Ukraine kuliko hata raia wa ukraine.wahuni hao na watumia siasa chafu kuwateka wajinga
Ameshakujibu ?kuna mtu alikupangia adui?
Kwanini hakwenda kwenye nchi za BRICS wenzao, akaamua kwenda Usa.Alikuwa self exile bada ya kushindwa uchaguzi.wafuasi wake wakifanya fujo.amerudi siku chache zilizopita
Inakuwaje viongozi wa anc wanaishi kibepari ?ANC kwa sera zake za ukomusti wameiharibu sana South Africa
Ao wenye siasa safi wako wapi? Hawa wanaotaka kuziwekea vikwazo nchi ambazo zitatumia currency zao badala Dolla?wahuni hao na watumia siasa chafu kuwateka wajinga
Hao wenye siasa safi wanasababisha raia wa nchi nyingi wanapanga kukimbia mataifa yao kwenda kuishia huko kwenye siasa safi..Ao wenye siasa safi wako wapi? Hawa wanaotaka kuziwekea vikwazo nchi ambazo zitatumia currency zao badala Dolla?