Bosonaro huyo juzi juzi tu ametoka kula Bata Marekani wakati nchi yake ndio wabongo wanaiamini kwenye hiyo BRICS.. Najiuliza kwanini jamaa hakwenda kula bata Russia au India ?
Ndiyo si kwakuwakea vikwazo na kutishia mataifa mengine wasifanyenao biashara? Na ikibidi kuwavamia kijeshi kabisa ili kwenda kuwatinulia nchi yao alafu badae wanakuja wanasema tulifanya makosa kuivamia Libya wakati taifa wameshalibomoa! Kama hizi ndiyo siasa safi basi ni watanzania uwezo wetu wa kufikiri ni sifuri.
Hiyo sio Habari, kila mtu anajua. Rudi kwenye context. Kesho ikitokea Putin ameenda kupumzika San Fransisco wakati Russia ikiwa na Rais mwingine , utasema tena Putin sio Rais wa Sasa wa Russia ?