My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Hicho ndicho anacho hangaikia Mama House, Lakini sio kwa wamarekan. Kasha anza na Bandari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biriani unalipata wapi,nije tujenge vzr hii hojaHili ni wazi la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.
Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu.
Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.
Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.
Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.
Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.
Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
🤣👍Wazi zuri Ila ..utekelezaji ni impossibleHili ni wazi la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.
Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu.
Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.
Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.
Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.
Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.
Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Hawa mashoga waliojaa Magomeni, Kipata na nchi nzima ni Wamarekani ndio walikuwa wanawafukunyuwa vinyeo vyao?Kama unakubali lazima pia ukubali me kufanywa ke maana hiyo ndiyo haki za binadamu!! LGBT kwa kwenda mbele! Naona mashoga wa bongo wanalichangamkia sana hili wazo la kuwa jimbo la USA!!
🤣Jamani usiwaseme CCMJimbo la Alaska lilikuwa ni sehemu ya Urusi.
Kisiwa cha Mayote Commoro ni wilaya ya Ufaransa.
Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman na ndio yalikuwa makao makuu ya Sultan.
Zanzibar ingebaki chini ya Oman wangekuwa na maendeleo makubwa, wilivyotekwa na Ccm tu ndio imekuwa laana kama sisi tu.
Hata sasa mashoga na mabasha wapo nchini.Kama unakubali lazima pia ukubali me kufanywa ke maana hiyo ndiyo haki za binadamu!! LGBT kwa kwenda mbele! Naona mashoga wa bongo wanalichangamkia sana hili wazo la kuwa jimbo la USA!!
Pepo la umaskini limekuganda halafu ukute mtu kama huyu kashatoswa viza ya Marekani Mara kibao tu.Jiunge pekeako kushndwa kwa kiongozi mmoja kutmia rasilimali zilizopo haimanishi kwamba watanzania wote hawana ufahamu.Hyo thread ni ya mtu aliyekata tamaa,tayari ww ushajikatia tamaana hata hvyo mbona viongoz wetu wanatmia vyema rasilima unataka wafanyaje?Hujasoma ecomic phases?Dont give up!Dont compare yourself wth other.You can show wonders even yourself.Marekani hatuwezi tkaungana nae na kuwa jimbo lake asahau kabisa!
🤣🤣🤣Mbona una hoja finyu wewe. South Africa Kuna mashoga na ungeruhusiwa na wabongo wanaenda kuishi. 🤣Leta hoja ya msingi mashoga wapo kila nchi.Kama unakubali lazima pia ukubali me kufanywa ke maana hiyo ndiyo haki za binadamu!! LGBT kwa kwenda mbele! Naona mashoga wa bongo wanalichangamkia sana hili wazo la kuwa jimbo la USA!!
Ccm ni laana kwa Taifa, bora tujiunge na Marekani mtu ataamuwa mwenyewe abaki jimbo la Tanzania au aende kuishi, Chicaco, DC, New York, Missouri, LA, Texas, Las Vegas au vipi, hapo chaguo ni lako maana ni nchi moja na hili sarafu la shilling libaki kwenye jumba la makumbusho pamoja na ule mwenge wa ushirikina wa kuwapumbaza Watanzania.🤣Jamani usiwaseme CCM
Ni mecheka kijinga sana , kwamba tuwe wamarekani ghafla,Hili ni wazi la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.
Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu.
Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.
Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.
Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.
Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.
Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.
Hata nikipinga haitasaidia chochoteWewe hupingi chochote kwako sawa
Basi sawa funga mabegiHata nikipinga haitasaidia chochote
Kila kitu CCM.Mbona hata wewe unaweza ukaandk kweny shati lako CCM.Chama hakna hatia ila watmish waliomo.Ccm ni laana kwa Taifa, bora tujiunge na Marekani mtu ataamuwa mwenyewe abaki jimbo la Tanzania au aende kuishi, Chicaco, DC, New York, Missouri, LA, Texas, Las Vegas au vipi, hapo chaguo ni lako maana ni nchi moja na hili sarafu la shilling libaki kwenye jumba la makumbusho pamoja na ule mwenge wa ushirikina wa kuwapumbaza Watanzania.
Tuende wapi jamani😂😂😂Basi sawa funga mabegi
New York au hujamsikia Dr Matola PhDTuende wapi jamani😂😂😂
Sasa Ccm wameshindwa kuongoza na kuachia Madaraka kwa hiyari hawataki, option rahisi ya maendeleo kwa wote ni hiyo tu, kila mtoto atakayezaliwa ni Mmarekani ataamuwa mwenyewe anaishi jimbo gani.Ni mecheka kijinga sana , kwamba tuwe wamarekani ghafla,
Sawasawa 😃😃😃🙌New York au hujamsikia Dr Matola PhD
Watu mnapenda utumwa na kutawaliwa.Hili ni wazi la ijumaa, kabla sijala biriani wala kwenda kwenye senene za mabibo wine.
Ni hivi suluhisho la kweli la Tanzania kama tunataka kweli maisha bora kwa wote uanze mchakato wa Tanzania kujiunga na United states of America yani total sisi tuwe Wamarekani, na hii proposal Wamarekani hawawezi kukataa ingawa itawagharimu Waafrica wenzetu maana utakuwa ukitaka kuja Tanzania basi uombe viza ya Marekani hukohuko kwenu.
Nitaongelea faida chache tu, kwa wale wanaongaika na viza za Marekani tatizo litakuwa limekwisha maana utakwenda New York kama unakwenda Mbeya tu.
Kwakuwa raslimali alizotupa Mungu tumeshindwa kuzisimamia basi federal government Washington Dc itafanya mabadiriko makubwa na kwakuwa USA ni serikali ya majimbo basi jimbo la Tanzania tutawazidi hata jimbo la Texas.
Kikwazo kikubwa nakiona kwa CCM tu, maana vyama vyote itabidi vifutwe vije Democratic, Republican na vyama vidogo vilivyopo Marekani.
Kwa sababu sioni sababu ya kuwa sovereignty country wakati kila kitu tumeshindwa.
Karibu wadau mwenye wazo la kujazia ajazie hapo kuelekea Tanzania kuwa jimbo la USA.