Serikali ya Tanzania ifanye mazungumzo na Marekani ili tuwe jimbo lao. Hiyo ndio dawa

Biriani unalipata wapi,nije tujenge vzr hii hoja
 
Naunga mkono hoja. Nalo mkaliangalie na kulifanyia kazi
 
πŸ€£πŸ‘Wazi zuri Ila ..utekelezaji ni impossible
 
Kama unakubali lazima pia ukubali me kufanywa ke maana hiyo ndiyo haki za binadamu!! LGBT kwa kwenda mbele! Naona mashoga wa bongo wanalichangamkia sana hili wazo la kuwa jimbo la USA!!
Hawa mashoga waliojaa Magomeni, Kipata na nchi nzima ni Wamarekani ndio walikuwa wanawafukunyuwa vinyeo vyao?
 
🀣Jamani usiwaseme CCM
 
Kama unakubali lazima pia ukubali me kufanywa ke maana hiyo ndiyo haki za binadamu!! LGBT kwa kwenda mbele! Naona mashoga wa bongo wanalichangamkia sana hili wazo la kuwa jimbo la USA!!
Hata sasa mashoga na mabasha wapo nchini.
Tatizo wale ni wawazi, ila nyinyi ni wanafki sana!
 
Pepo la umaskini limekuganda halafu ukute mtu kama huyu kashatoswa viza ya Marekani Mara kibao tu.
 
Kama unakubali lazima pia ukubali me kufanywa ke maana hiyo ndiyo haki za binadamu!! LGBT kwa kwenda mbele! Naona mashoga wa bongo wanalichangamkia sana hili wazo la kuwa jimbo la USA!!
🀣🀣🀣Mbona una hoja finyu wewe. South Africa Kuna mashoga na ungeruhusiwa na wabongo wanaenda kuishi. 🀣Leta hoja ya msingi mashoga wapo kila nchi.
 
🀣Jamani usiwaseme CCM
Ccm ni laana kwa Taifa, bora tujiunge na Marekani mtu ataamuwa mwenyewe abaki jimbo la Tanzania au aende kuishi, Chicaco, DC, New York, Missouri, LA, Texas, Las Vegas au vipi, hapo chaguo ni lako maana ni nchi moja na hili sarafu la shilling libaki kwenye jumba la makumbusho pamoja na ule mwenge wa ushirikina wa kuwapumbaza Watanzania.
 
Ni mecheka kijinga sana , kwamba tuwe wamarekani ghafla,
 
Kila kitu CCM.Mbona hata wewe unaweza ukaandk kweny shati lako CCM.Chama hakna hatia ila watmish waliomo.
 
Ni mecheka kijinga sana , kwamba tuwe wamarekani ghafla,
Sasa Ccm wameshindwa kuongoza na kuachia Madaraka kwa hiyari hawataki, option rahisi ya maendeleo kwa wote ni hiyo tu, kila mtoto atakayezaliwa ni Mmarekani ataamuwa mwenyewe anaishi jimbo gani.

Hizi Ng'ombe za Ccm haziwezi Kuku elewa kwa sababu wanawaza kupoteza Madaraka na ile unanijuwa Mimi nani hakuna, na hawa Polisi wala rushwa wote hawana kazi tunatawanya Sherrif kutoka Texas waende Mbeya, Iringa, Singida na kwingineko.
 
Watu mnapenda utumwa na kutawaliwa.
Mkuu nenda ukatumike Uarabuni, wana pesa nje nje kuliko Markani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…