The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Uandishi tu wa taarifa hii unaonesha dhamira wala siyo kuhangaika na UVIKO 19 bali ni kuzuia movement kali ya madai ya KATIBA MPYA YA WANANCHI...
Na kuna moja wasilojua ambalo ni kuwa, binadamu hazuiliki kwa makatazo na akili za kibinadamu katika kutekeleza natural rights zao...
Na kuna moja wasilojua ambalo ni kuwa, binadamu hazuiliki kwa makatazo na akili za kibinadamu katika kutekeleza natural rights zao...