NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
du *****,,,bango ni nyoko.Mboga na ugali vyote vimemwagwa tuone sasa nani mjanja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du *****,,,bango ni nyoko.Mboga na ugali vyote vimemwagwa tuone sasa nani mjanja...
Kwahio wewe ulitaka au ungefurahi kuona Kenya imefanya uamuzi sahihi?
Halafu ulitaka Tanzania ianze kuomba mazungumzo?
Don't be a pleb man, I trust you on this one.
Ila ule wa Kenya utafanya mfurahi?
Kisa ni fedha. Kwa mfano, watalii wakiingia nani anapokea pesa?Mbona una hasira sana wewe? Ulitaka tz ifanyaje? Wao wamezuia za kwetu kwenda kwao alafu unataka wao wavinjari tu hapa kwetu kisa nini?
Ugali mnaokula Nairobi na mombasa unatoka wapi? Subiri jumatatu kibano kina kuja mpaka muombe poo. JK aliwahi kuwapiga pini na KQ mbona mlikimbia faster kuomba poo.sema kujidanganya! Munapenda kujidanganya watanzania. KQ ilikuwa inakuja dar mara 14 kwa wiki hiyo ni mara mbili kwa siku kuanzia 2015. Linganisha hiyo na KQ mara 5 kwa siku kuenda entebbe, Jambo jet mara 3 kwa siku kuenda Entebbe.
Hata kibiashara, Kenya inafanya biashara mingi na uganda na rwanda kushinda Tanzania. Biashara kati ya kenya na uganda ni karibu mara tatu kati ya kenya na Tanzania.
It has the license to operate flights to dar but was stretched due to capacity with high demand in the entebbe, kigali and bujumbura routes.Jambo jet inatua TZ? Kwanza ulishawahi kupanda ndege au unahadithiwa tu?
Yeah hii ni habari njema kabisa wamezoea kutuona sisi mafala this time ukiweka ugoko sie tunaweka chuma hakuna muda wa kulea upumbavu
Tulivyoingia uchumi wa kati kiwewe kimewazidi zaidi. Kenya miaka yote inasimamia agenda za Magharibu za kuidhibiti Tanzania. Mwaka huu wamekutana na mtata!Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imefuta kibali cha ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua katika viwanja vya ndege vya Zanzibar, Dar es Salaam na Kilimanjaro kuanzia tarehe 1 Agosti 2020. Maamuzi haya yametolewa kama majibu (reciprocal basis) kutokana na maamuzi yaliyochukuliwa na serikali ya Kenya ya kuzuia ndege kutoka shirika la ATCL (Air Tanzania Company Limited) kuingia nchini Kenya kwa madai ya kuanza kuruhusu nchi zenye maambukizi madogo ya corona.
Maelezo zaidi yametolewa kwenye barua hii iliyoambatanishwa.
View attachment 1523057