joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Ungekuwa na akili usingelaumu Tanzania ambayo imefanya exactly kama ilivyofanya Kenya, unapaswa kuilaumu Kanya kwa provocation, sio Tanzania kwa retaliationNijinyonge for what masikini mwenzangu wewe?
Imeamuliwa na hao,mimi my money always is the same.
Nipo hapa nawachana mlivyo na akili za mchwa kwa kutoa maamuzi ambayo hata kichaa wa mirembe anafanya!
Tumieni akili zaidi sio majawabu marahisi namna hii.
Bure kabisa nyie!
Y'all make y'all seen light weight
Good riddance!