Serikali ya Umoja South Africa: Je Huu Ndiyo Mwanzo wa Mwisho wa ANC?

Serikali ya Umoja South Africa: Je Huu Ndiyo Mwanzo wa Mwisho wa ANC?

Hao makabur wamewezaje kuwa chama namba 2 baada ya ANC na wakati wazungu ni wachache sana South Africa? Wamewazije EFF ya Malema?
Democratic Alliance (DA) kina shabikiwa pia na Wa Africa ngozi nyeusi. Kina wanachama Wazungu 80% na Weusi 20%, huwa kinapata Matokeo mazuri kila Uchaguzi wa South Africa na kuwa Wa pili. Wana msimamo sana kwenye uchumi ( Capitalist Liberal Economy) wanataka South Africa ifuate sera za nchi za Magharibi ili kuufungua uchumi wa soko huria. DA walikua wanautaka huo muungano ili kuwafunga kitanzi kizito Wanasiasa wa South Africa, 1. Kuwapunguza kasi ya kiherere waachane na Bricks na Urusi, 2. Warudi kuzifuata nchi za Magharibi na kuipenda Israel baada ya kuisimanga. 3. Kuachana na Sera za kuwapokonya ardhi wazungu na kuwapa wa South Africa, bali ni kuujenga uchumi ili wa South Africa wafaidike kwa njia nyingine. Kiufupi ANC imekwama tayari.
 
Ni matusi makubwa mno kwa Nyerere, Kaunda, Samora, Mandela, Mugabe, na wapinga ukaburu duniani kote!

Sipati picha Solomon Mahlangu akifufuka leo itakuwaje? ANC walitakiwa waungane na DA katika mazingira ya kawaida wangeeleweka ila sio kwa kuwa hawana njia mbadala baada ya kushindwa kufikisha idadi ya viti!
ANC si wazuri kwenye Uchumi, Uchumi wa South Africa unakua kwa 1.5% au 2% kwa mwaka miaka 15 iliyopita, ambayo ni uchumi mfu kwa nchi zinazoendelea, miundombinu ya Umeme ni dhaifu toka mzungu aondoke madarakani 1994, nchi ina watu milioni 44, na miji iliondelea lakini ajira ni ngumu kupata 48% hawana ajira miaka nenda rudi, maji na umeme kukatika ni kila dakika. Maana ya kupata uhuru 1994 imepotea kulingana na ANC inavyoongoza nchi kwa rushwa na uzembe.
 
Democratic Alliance (DA) kina shabikiwa pia na Wa Africa ngozi nyeusi. Kina wanachama Wazungu 80% na Weusi 20%, huwa kinapata Matokeo mazuri kila Uchaguzi wa South Africa na kuwa Wa pili. Wana msimamo sana kwenye uchumi ( Capitalist Liberal Economy) wanataka South Africa ifuate sera za nchi za Magharibi ili kuufungua uchumi wa soko huria. DA walikua wanautaka huo muungano ili kuwafunga kitanzi kizito Wanasiasa wa South Africa, 1. Kuwapunguza kasi ya kiherere waachane na Bricks na Urusi, 2. Warudi kuzifuata nchi za Magharibi na kuipenda Israel baada ya kuisimanga. 3. Kuachana na Sera za kuwapokonya ardhi wazungu na kuwapa wa South Africa, bali ni kuujenga uchumi ili wa South Africa wafaidike kwa njia nyingine. Kiufupi ANC imekwama tayari.
Wa Argentina nao walimini hivohivo wakampa nchi yule Mzayuni ila mwisho wa siku wameingia barabarani wao wenyewe.
 
Hapo ndo uone akili za Mzungu.

Kwenye negotiations za kuwakabidhi Weusi nchi mwaka 1994, wazungu walijua tu kuwa kwa kuwa wao population yao ni ndogo, lazima watengeneze mfumo wa kisiasa ambao utawapa chance ya kushika nchi au kuingia madarakani tena one day.

Wakaweka mfumo kuwa Rais hapigiwi kura ya moja kwa moja

Wakaweka mfumo kuwa usipofikisha viti kadhaa basi lazima uunde coalition. Kupitia njia hii wakajua watakuwa na chance ya kuingia ktk serikali, then baadae wataaminiwa na then wanaweza kukubalika polepole kuwa wanafaa kuongoza hata watu weusi ktk serikali mpya
Bora hilo taifa liongozwe na whites ,
Ngedere weusi wa kizulu wameshindwa kuongoza nchi ,nchi imekuwa shithole kabisa , crime , corruption , poverty
Yaani south Afrika imekuwa nchi ya ovyo kabisa .
Taifa ambalo lilikuwa bora kuzidi nchi nyingi za ulaya kuanzia kipato cha mwananchi , miundombinu ,huduma za kijamii , ajira na living conditions ..
Botha alikuwa sahihi , kwa jinsi nikiangalia washenzi wale walivyoharibu ile nchi .
The same case kwa Zimbabwe
 
Democratic Alliance (DA) kina shabikiwa pia na Wa Africa ngozi nyeusi. Kina wanachama Wazungu 80% na Weusi 20%, huwa kinapata Matokeo mazuri kila Uchaguzi wa South Africa na kuwa Wa pili. Wana msimamo sana kwenye uchumi ( Capitalist Liberal Economy) wanataka South Africa ifuate sera za nchi za Magharibi ili kuufungua uchumi wa soko huria. DA walikua wanautaka huo muungano ili kuwafunga kitanzi kizito Wanasiasa wa South Africa, 1. Kuwapunguza kasi ya kiherere waachane na Bricks na Urusi, 2. Warudi kuzifuata nchi za Magharibi na kuipenda Israel baada ya kuisimanga. 3. Kuachana na Sera za kuwapokonya ardhi wazungu na kuwapa wa South Africa, bali ni kuujenga uchumi ili wa South Africa wafaidike kwa njia nyingine. Kiufupi ANC imekwama tayari.
Asante mkuu kwa ufafanuzi mzuri.
 
South Africa imeharibika, DA hawana Jema na hiyo nchi, haiwezekani kuingia coalition na hao wahuni
Uhuni gani? Hao Mk Si ndio wako chini ya fisadi Zuma na huyo Malema alitaka mipaka iwe wazi kwa wageni ili wasauzi wazidi kukosa ajira!!

Makaburu wataibadilisha nchi wait and see
 
Ngoja tuone kama SA itaendelea kuwakomalia wayahudi
Ukizingatia DA kwenyewe kuna akina
Hellen Zille wayahudi.
 
Hao makabur wamewezaje kuwa chama namba 2 baada ya ANC na wakati wazungu ni wachache sana South Africa? Wamewazije EFF ya Malema?
EFF angezoa kura kuliko DA tatizo MK akaja kugawa kura za Malema. So basically EFF bila MK ingepata 24% so ingekua chama cha pili kwa ukubwa.

Ila pia maeneo yote yanayoongozwa Na makaburu ndio yenye maendeleo kuliko ya blacks.

Pia Malema alitaka mipaka ifunguliwe yaani nchi iwe pan African so waafrika wakaona bora wamnyime kura.

Pia Zuma amepata kura kutoka kwa waZulu wenzie so ni kikabila zaidi kuliko sera.

All in all kama angeungana na EFF mataifa ya ulaya yangeondoa biashara zao sababu Malema angetaifisha kila kitu.
 
Hapo ndo uone akili za Mzungu.

Kwenye negotiations za kuwakabidhi Weusi nchi mwaka 1994, wazungu walijua tu kuwa kwa kuwa wao population yao ni ndogo, lazima watengeneze mfumo wa kisiasa ambao utawapa chance ya kushika nchi au kuingia madarakani tena one day.

Wakaweka mfumo kuwa Rais hapigiwi kura ya moja kwa moja

Wakaweka mfumo kuwa usipofikisha viti kadhaa basi lazima uunde coalition. Kupitia njia hii wakajua watakuwa na chance ya kuingia ktk serikali, then baadae wataaminiwa na then wanaweza kukubalika polepole kuwa wanafaa kuongoza hata watu weusi ktk serikali mpya
Jamaa waliona mbali sana,nw wanaenda kufanikisha malengo yao.
 
Hao makabur wamewezaje kuwa chama namba 2 baada ya ANC na wakati wazungu ni wachache sana South Africa? Wamewazije EFF ya Malema?
DA walionyesha dira ya nchi, wakavuta hia za wengi.
Ikumbukwe idadi kubwa ya vijana hata baadhi ya watu wakongwe, hawaikubali ANC kwa kuwa imeshindwa hadharani kwa vitendo, imebaki na legacy za Mandela kwenye makaratasi.
 
Jamaa waliona mbali sana,nw wanaenda kufanikisha malengo yao.
I thought ANC angeweza kuunda Serikali. But i think i was wrong kutoona damage ambayo ANC amefanya over the last 30 years.
Kwa mabovu aliyofanya ANC, haswa under Zuma. anahitaji kuwa mpole na kupunguza shutuma na sabotage za Wazungu, kwa kuwa-incorporate kwenye utawala.

SOUTH AFRICA NEEDS TO REORIENT AND UNITE. OTHERWISE ITAPOROMOKA, BEYOND REPAIR.

South Africa ni economy ya 'capital market', na part kubwa ya Stock Exchange iko kwa Wazungu.
Secondly, very few anticipated strong showing ya MK Party.

Na MK Party ni very diversionary kwa South African politics.

Ndiyo Maana Inkatha Party 'amekubali' kuingia kwenye GNU. MK Party atawapoteza sana Wazulu.

Desperate times require desperate measures. ANC had no option.

Na uzuri wa DA, anajijua kuwa Blacks wana ugwadu naye, kwa hiyo hawezi kuwa na ngebe kwenye GNU kama EFF.

DA will be pushing hard for efficiency ili kuwaonyesha Waafrika kuwa they are good economic managers. That is a plus for the economy. Na huenda hata wakasikiliza issue ya land, especially land owned by absentee landlords.

Sema, the beginning is going to be tough kwa ANC. While DA ni chama cha Wazungu, lakini siamini kuwa DA ni ufufuo wa National Party. Lakini DA ina changamoto kujikimu kuishi kama chama cha South Africa, kisicho na ambition za separatism. Otherwise, wakiwa accused of such ambitions, huo unaweza kuwa mwisho wao. Na sasa, itakuwa rahisi hata kuzungumzia issues kama za ORANIA.
 
Back
Top Bottom