Serikali ya Umoja South Africa: Je Huu Ndiyo Mwanzo wa Mwisho wa ANC?

Serikali ya Umoja South Africa: Je Huu Ndiyo Mwanzo wa Mwisho wa ANC?

NIwakati sasa ANC na DA waungane kiwe chama kimoja kwa maendeleo mapana ya SA na africa kwa ujumla
Haiwezekani!! Hao DA ni wazungu tupu, na hata kura zao zote hupatikana toka sehemu moja tu ya nchi!! Na sera zao bado ni zile za kuwabagua waafrika!! Hapo ANC wamekubali tu ili wapate kumuapisha rais, tu ila huko mbeleni watavulugana sana
 
Haiwezekani!! Hao DA ni wazungu tupu, na hata kura zao zote hupatikana toka sehemu moja tu ya nchi!! Na sera zao bado ni zile za kuwabagua waafrika!! Hapo ANC wamekubali tu ili wapate kumuapisha rais, tu ila huko mbeleni watavulugana sana
Hawa wana mji unaitwa Orania. Full Apartheid

Screenshot_20240616_130311_Google.jpg
Screenshot_20240616_130341_Google.jpg
Screenshot_20240616_130216_Wikipedia.jpg
 
Back
Top Bottom