CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Aliejenga ukuta hana kosa, huyo alie elekeza geti kwenye barabara bila kuuliza hiyo barabara ni halali au lah ndio aliekosea.
Haya umeelekeza geti kwenye kiwanja cha mtu kisa una hela umejenga chap chap umemaliza,mwenyewe karudi unaongeleshwa unajibu nyodo.
acha watu wapandishe tofali tu,unaleta u faru wako kwenye maeneo ya watu!
Haya umeelekeza geti kwenye kiwanja cha mtu kisa una hela umejenga chap chap umemaliza,mwenyewe karudi unaongeleshwa unajibu nyodo.
acha watu wapandishe tofali tu,unaleta u faru wako kwenye maeneo ya watu!