TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Sasa mwenye geti badala ya kutumia diplomacy nadhani analeta ubabe wa huyo waziri. mahakamani atawashinda labda kwa vile mahakama zetu ni compromised
Sasa tabu yote ya nini mpaka kuanza kupelekana mahakamani kwa ishu ndogo hiyo? Hivi hata ukishinda kesi, unaishije na huyo jirani? Kumbuka kuna maisha baada ya huo ukuta.. kuna majanga kama moto nk unaweza kujikuta unaenda kuomba hifadhi kwa huyo huyo jirani..