kwa hiyo ukabila ni kitu cha kupambana nacho kuliko ufisadi???Ukabila upo sn
yani haya yote hayawezi kubadilika kama Mwigulu bado yupo palee... mama aanze upyaa kwenye wizara ya fedha hata kama analipa fadhilaa huu ni upuuzi huwezi kuwa na waziri yeye kazi yake kukwapua hela kwa kutumia KODI ZA OVYOO kila sikuuu... kuna siku hadi makanisa yatatozwa kodi kwenye sadaka tunazotoamimi kwa mtazamo wangu; Kodi zikiwa nyingi sana kwa watu masikini , uchumi unadumaa ( watu/wafanya biashara hawakui) na hivyo hawawezi kuongeza uigo wa kuajiri
Natamani serikali ijikite kwenye miradi Mkubwa ya kimkakati ya kuongeza ajira direct ili ipate kodi kubwa na ambazo haziadhiri ukuaji wa uchumi wa watu mmoja mmoja
Mfano; Ifufue viwanda portentail kwa kuchangia kiasi kama 70% ya share nk (mf: Kiwanda cha matairi,, kiwanda cha kuchakata Petrol, cha kuchakata gas ifae kutumia majumbani, kiwanda cha madawa soko la uhakika lipo nknknknk
Hivi kweli unamtoza kodi mtu anayotoa bank shs 3000???
Ni mtazamo wangu!
Dah Mkuu, punguza ukali wa maneno maana hujafa hujaumbika!Hapa huwezi kumuona yule CHIZI WA UBELGIJI akibwabwaja.
Kashapewa mafao anakula taratibu huku akiuguza MADONDA YA RISASI alizopigwa na MBOWE.
Hii ingelikuwa enzi za awamu ya tano, angeshatoka hadharani kubwabwaja na kutoa mapovu huku AMEJITWIKA MAGONGO.
Chezea pesa wewe! Njaa tupu.
Kama hizo tozo zinafanya kitu cha maana mbona KUKOPA HAKUISHII??? Mbona tunakopa kuliko hata kipindi hizi tozo hazikuwepo?? magu angekuwa anakopa hivi sawa...tumbili kabisaWacheni kulalamikia vitu vya kipuuzi, mnafurahia kupokea misaada kutoka nchi za watu tu, hamjui hizo na zenyewe ni kodi/tozo za wenzenu.
Msipo lipa kodi kwenye nchi yenu mnataka mkailipie wapi????
Tuna nchi moja tu 🏴🏴🏴🏴🏴🏴, tulipe kodi/tozo kwa maendeleo ya nchi yetu.
Katika hizo kodi/tozo umechangia TZS ngapi???Kama hizo tozo zinafanya kitu cha maana mbona KUKOPA HAKUISHII??? Mbona tunakopa kuliko hata kipindi hizi tozo hazikuwepo?? magu angekuwa anakopa hivi sawa...tumbili kabisa
Ungekuwa na kipato duni usingefungua account bankKwani pesa zetu kukaa bank hazikatwi service charges?
Tozo ya nini kwa raia wenye kipato duni?
Mzigo wa kodi na bado zinatungwa sheria kukwapua kidogo unachobakinacho. State bulgary
wee takatakaaaaaa..Katika hizo kodi/tozo umechangia TZS ngapi???
Hana jibu..mwambie alinganishe Makati yake ya mwaka mzima wa transactions kama yatafikia elfu 20,000 ya Kitambuliwho cha Machinga..Katika hizo kodi/tozo umechangia TZS ngapi???
Wananchi: Tuna njaaUngekuwa na kipato duni usingefungua account bank
... the worst case ni kuvuta hela yako kutoka benki ikaingia kwenye mobile-money then ikaenda kutolewa kwa wakala kwa wale wavivu wa kwenda ATM; utalizwa hadi ukome. Makato yatakuwa hivi kwa mfano wa Tigo-Pesa;Ukitoa kwa wakala makato (serikali + bank +wakala) yaani ni hatari sn
Hakuna mwananchi mwenye njaa akawa na account bank,hayupo..Wananchi: Tuna njaa
Mfalme: Kuleni mikate......
Ndo majibu yako. Ushalewa madaraka na damu za kafara sasa unatiririka huku ukiuweka lock ubongo wako
Keyboard warrior mpaka leo hujui matumizi ya kodi/tozo????wee takatakaaaaaa..
sasa hiyo reli imeanza kujengwa jana??? hizo ndege mama kanunua ngapi?? wee jamaa hujitambui kabisaaKeyboard warrriors mpaka leo hujui matumizi ya kodi/tozo????
View attachment 2299457View attachment 2299458
View attachment 2299461
View attachment 2299462
View attachment 2299465
View attachment 2299466
Wewe na elimu uliyonayo kidogo, hujiulizi hao walimu uliopita kwenye mikono yao walikuiwa wanajitolea bure???sasa hiyo reli imeanza kujengwa jana??? hizo ndege mama kanunua ngapi?? wee jamaa hujitambui kabisaa
Kodi inakotumika 👇sasa hiyo reli imeanza kujengwa jana??? hizo ndege mama kanunua ngapi?? wee jamaa hujitambui kabisaa
Wacha utahira watu wanaongezeka na huduma haziongezeki mpaka ziongezwe.sasa hiyo reli imeanza kujengwa jana??? hizo ndege mama kanunua ngapi?? wee jamaa hujitambui kabisaa
Unatetea ujinga kwa malipo ya kuliwa takoWacha utahira watu wanaongezeka na huduma haziongezeki mpaka ziongezwe.
Kujengwa kwa madarasa 15,000/- kwa wakati mmoja hakumalizi tatizo la madarasa nchi nzima, bado yatahitajika tu ili mradi watu wanaendelea kuzaana, miundo mbinu ya barabara, maji, umeme, vituo vya afya hivyo hivyo.
Kama wewe una bahati ya kuishi sehemu yenye huduma zote, serikali inapambana kuhakikisha na ambao hawajabahatika kupata hizo huduma wanazipata, na wenye huduma duni wanaboreshewa.
As long as kodi na tozo zinasaidia watanzania wenzangu, nitalipa kodi kwa ufahari kabisa bila kinyongo.