Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Kwa hiyo yeye hatumii hizo huduma au? Vya kwake vinashushwa na mvua au? Usiwe mjinga.
 
Wewe ni chawa mpumbavu zaidi hapa jukwani na kila mtu anakujua!

Yani katika vyanzo vyote vya kodi huyo mama ameona hivyo vitozo ndio vya kumletea mpato?

Hayo mamikopo mnayoenda kuomba kila siku huko nje mnafanyia kazi sasa?

Umejaz mavi kichwani mwako
 
Kwa
Kama unajua hivyo Kwa nini u transact mara Kwa mara Kwa hivyo vihela?
Mbona siku zote ukiwa unatoa pesa mara Kwa mara ATM lazima ukatwe mara nyingi?

Nyie si ndio mlisema kwamba wakiweka tozo za miamala ya Simi watu watakilimbia banks,vipi tenanapiga makelele?
 
Hizi ndo kodi marehemu aliziita ni za kipu...mb..vu
Harafu akawa anawalipisha elfu 20 kwa kununua kitambuliwho feki na yeye akizipiga hizo pesa 😆😆..

Kuna mnyonge gani ana account bank? Na Alikuwa analipa hiyo 20,000.

Ukiwa huna akili unakuwa mpumbavu tuu kama wewe na yule taahira mwenzako marehemu..
 
Mil.2 Kwa buku 8 kuna shida gani? Mbona kwenye salary increase wakisema waongese elfu 10 mnatukana kwamba haina maana ila hiyo hiyo ikikatwa mnapanua Domo lenu?
 
Watakuita chawa 🤣🤣
 
soon zitakuja kodi za
1. Kutembea usk
2. kuvaa kofia, tai
3. Kuvaa miwani
4. Kushangilia kwa sauti
5. Kodi ya kuoga wakati wa joto
6. Kodi ya kutokuoga wakati wa baridi etc

Na soo watakuja na kodi kwa watu wenye Upaa
 
Kuna majitu ni mapumbavu Sana,mwka Jana wakati tozo za miamala zikiansishwa zilikuwa za kote kuanzia banks hadi simu na Kuna nyuzi humu Ndani zikiansishwa kwa malalamiko..

Hizi tozo pendekezwa ni tozo baada ya kupunguzwa kwa 43% lakini wapumbavu bado wanaolalamika kwa kitu hata wasichokijua..

Hapo zimepunguzwa na sio tozo mpya.
 
Nimelalamika juu ya uwezo wa mwigulu nimechokoka huu usomi wake Ni wa mashaka sana
 
Kila hatua lazima ulipe Kodi..Hamia ambako hakuna wapumbavu
Kodi zina utaratibu wake wewe kibwengo. Huo utaratibu unaitwa KANUNI ZA UTOZAJI WA KODI.

Kwa kikerewe wanaita PRINCIPLES OF TAXATION.

Na mojawapo ya kanuni ni zuio la kutoza kodi mara mbili kwenye pato lile lile.

Lakini naamini wewe haya huyajui kwa sababu elimu huna.

Unachoweza ni kuwaabudu wafalme ili upate chochote kitu ukale na wanao.

Ajira ngumu.
 
Hayo MAGEUZI hayakuwepo kabla ya TOZO?

Halafu unamaanisha nini ukisema MAGEUZI?

Maana isije ukawa unajiandikia tu maneno usiyo na ufahamu nayo?

Kwahiyo unasema kwamba tozo zimeleta MAGEUZI?
Kwa hiyo yalikuwepo? Una akili timamu kweli wewe?

Mlipokuwa mnaingiza watoto shule kwa mafungu ndioageuzi?

Mlipositisha ajira na kuzalishaachinga ndioageuzi?

Mlipo Jenga vituo vya afya 350 kwa miaka 5 out of kata zaidi ya3,000 zijazotakiwa ndio mageuzi?

Kila kitu kioivhokuwa kimesimama tukielekea Zimbabwe Ndio mageu? Mlikuwa mnatunga Sheria za kufungua vyombo vya habari kutekana,kukamata wakosoaji na ujinga kama huo ndio mageuzi?
 
Nimelalamika juu ya uwezo wa mwigulu nimechokoka huu usomi wake Ni wa mashaka sana
Uwezo wake uko vizuri sana na tunaangalia namba na performance ya Uchumi sio chuki zako binafsi..

Leta Takwimu zinazoonesha hatua zake zimeleta hasara kwenye Nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…