Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Yeye analipa hiyo kodi? bwege wewe. Alipe kodi kwanza ya mshara wa ubunge, posho, mafuta. Alipe hata kodi mpaka hizo rushwa wanazobeba kila kukicha, makodi lukuki lakini hata kujenga matundu ya vyoo tumesubiri hela za uviko. Mbona kila siku wanakopa mabilion ya dola hizi kodi zinafanya nini? Subiri Srilanka hiyo
Kwa hiyo yeye hatumii hizo huduma au? Vya kwake vinashushwa na mvua au? Usiwe mjinga.
 
Mpumbavu ni wewe,siwezi onea huruma ya buku 2 wakati hawana Maji fala wewe..

Mwaka huu Serikali inaanza kutoa ruzuku ya Mbolea unadhani utakunya mavi yako ndio yatumike?

Lazima vihela vidogo vidogo mtakavyokata ndio vikawape nafuu ya kununua Mbolea..Hii ndio huruma yenye tija sio upumbavu wako unaousemea..

Kutokana na tozo tumepata vituo vya afya maeneo yetu unadhani ni sawa na kama visingekuwepo tutumie maelfu ya hela kufuata huduma mbali? Acha ujinga wewe mburula short sighted.
Wewe ni chawa mpumbavu zaidi hapa jukwani na kila mtu anakujua!

Yani katika vyanzo vyote vya kodi huyo mama ameona hivyo vitozo ndio vya kumletea mpato?

Hayo mamikopo mnayoenda kuomba kila siku huko nje mnafanyia kazi sasa?

Umejaz mavi kichwani mwako
 
Kwa
Sheria ni mpya na imekuja kuwaumiza zaidi wale wanaofanya transactions za viwango vya chini.

Kutoka kwenye lile jedwali, nimeona watakaoumia ni wale watakaotuma au kutoa kuanzia shilingi 5000/= mpaka 30,000/=

Mfano, kutoka shilingi 10,000/= mpaka 14,999/= wanakata.

Lakini pia, kutoka shilingi 15,000/= mpaka 19,999/= napo wanakata, wamefanya hivi makusudi wakijua watanzania wengi hivi ndivyo viwango vyao vya kutoa na kupokea pesa.

Hali ni tofauti kwa yule atakayetoa mfano kuanzia 100,000 -200,000/= huyu atakatwa mara moja pekee, wamefanya hivi wakijua hawa ni wachache na wanaojiweza.
Kama unajua hivyo Kwa nini u transact mara Kwa mara Kwa hivyo vihela?
Mbona siku zote ukiwa unatoa pesa mara Kwa mara ATM lazima ukatwe mara nyingi?

Nyie si ndio mlisema kwamba wakiweka tozo za miamala ya Simi watu watakilimbia banks,vipi tenanapiga makelele?
 
Hizi ndo kodi marehemu aliziita ni za kipu...mb..vu
Harafu akawa anawalipisha elfu 20 kwa kununua kitambuliwho feki na yeye akizipiga hizo pesa 😆😆..

Kuna mnyonge gani ana account bank? Na Alikuwa analipa hiyo 20,000.

Ukiwa huna akili unakuwa mpumbavu tuu kama wewe na yule taahira mwenzako marehemu..
 
Kwa kuwa wafanyakazi wote wanachukulia mishahara benki, maana yake wameongezewa kodi. Ile PAYE waliodaiwa kupunguziwa sasa wanailipa indirectly kupitia benki. Kwa wastani mfanyakazi anayelipwa net salary shilingi milioni mbili atakatwa benki sh. 8,160 kwa sababu arachukua katika ATM mara tano maana ATM zinatoa hela maximum shilingi laki nne. Kumbuka pia kila ukitoa hela kwq ATM benki nao wanakata jana shilingi 1,500 hivyo mfanyakazi kuchukua milioni mbili atakatwa jumla 15, 660 hivi.

Ni heri kodi ya PAYE ingebakia lilivyokuwa lakini kodi za ATM zisingekuwepo.
Mil.2 Kwa buku 8 kuna shida gani? Mbona kwenye salary increase wakisema waongese elfu 10 mnatukana kwamba haina maana ila hiyo hiyo ikikatwa mnapanua Domo lenu?
 
Hamna namna yani ni kama wewe unavyopambana kujenga nyumba yako, ukope, uibe, ukate mshahara wa dada wa kazi au usilipe kabisa, uue, ukimbie madeni n.k ndivyo wanaoongoza nchi nao wanaona hivyo...ni kwa faida yetu watanzania hata hata hivyo nchi za ulaya watu wanakatwa mpaka 40% ya mshahara, halafu zinaletwa huku kama Aid, lakini haikuzuii kuhonga
Watakuita chawa 🤣🤣
 
soon zitakuja kodi za
1. Kutembea usk
2. kuvaa kofia, tai
3. Kuvaa miwani
4. Kushangilia kwa sauti
5. Kodi ya kuoga wakati wa joto
6. Kodi ya kutokuoga wakati wa baridi etc

Na soo watakuja na kodi kwa watu wenye Upaa
 
Kuna majitu ni mapumbavu Sana,mwka Jana wakati tozo za miamala zikiansishwa zilikuwa za kote kuanzia banks hadi simu na Kuna nyuzi humu Ndani zikiansishwa kwa malalamiko..

Hizi tozo pendekezwa ni tozo baada ya kupunguzwa kwa 43% lakini wapumbavu bado wanaolalamika kwa kitu hata wasichokijua..

Hapo zimepunguzwa na sio tozo mpya.
 
Nimelalamika juu ya uwezo wa mwigulu nimechokoka huu usomi wake Ni wa mashaka sana
 
Kila hatua lazima ulipe Kodi..Hamia ambako hakuna wapumbavu
Kodi zina utaratibu wake wewe kibwengo. Huo utaratibu unaitwa KANUNI ZA UTOZAJI WA KODI.

Kwa kikerewe wanaita PRINCIPLES OF TAXATION.

Na mojawapo ya kanuni ni zuio la kutoza kodi mara mbili kwenye pato lile lile.

Lakini naamini wewe haya huyajui kwa sababu elimu huna.

Unachoweza ni kuwaabudu wafalme ili upate chochote kitu ukale na wanao.

Ajira ngumu.
 
Hayo MAGEUZI hayakuwepo kabla ya TOZO?

Halafu unamaanisha nini ukisema MAGEUZI?

Maana isije ukawa unajiandikia tu maneno usiyo na ufahamu nayo?

Kwahiyo unasema kwamba tozo zimeleta MAGEUZI?
Kwa hiyo yalikuwepo? Una akili timamu kweli wewe?

Mlipokuwa mnaingiza watoto shule kwa mafungu ndioageuzi?

Mlipositisha ajira na kuzalishaachinga ndioageuzi?

Mlipo Jenga vituo vya afya 350 kwa miaka 5 out of kata zaidi ya3,000 zijazotakiwa ndio mageuzi?

Kila kitu kioivhokuwa kimesimama tukielekea Zimbabwe Ndio mageu? Mlikuwa mnatunga Sheria za kufungua vyombo vya habari kutekana,kukamata wakosoaji na ujinga kama huo ndio mageuzi?
 
Nimelalamika juu ya uwezo wa mwigulu nimechokoka huu usomi wake Ni wa mashaka sana
Uwezo wake uko vizuri sana na tunaangalia namba na performance ya Uchumi sio chuki zako binafsi..

Leta Takwimu zinazoonesha hatua zake zimeleta hasara kwenye Nchi.
 
Back
Top Bottom