Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Serikali yaanzisha kodi mpya kwenye miamala ya fedha kupitia Benki

Naona wameona chance ya kurudi 2025 ni ndogo wanatuminya ili wajilimbikizie fedha kabisa
 
Ndugu zangu hali si hali kwa mimi tajiri nayeanza kugawa mshahara wangu kabla sijaushika na itabidi niachane na chai ya asubuhi.

Ni mimi wenu tajiri masikini mgawa pesa.
 
Sheria ni mpya na imekuja kuwaumiza zaidi wale wanaofanya transactions za viwango vya chini.

Kutoka kwenye lile jedwali, nimeona watakaoumia ni wale watakaotuma au kutoa kuanzia shilingi 5000/= mpaka 30,000/=

Mfano, kutoka shilingi 10,000/= mpaka 14,999/= wanakata.

Lakini pia, kutoka shilingi 15,000/= mpaka 19,999/= napo wanakata, wamefanya hivi makusudi wakijua watanzania wengi hivi ndivyo viwango vyao vya kutoa na kupokea pesa.

Hali ni tofauti kwa yule atakayetoa mfano kuanzia 100,000 -200,000/= huyu atakatwa mara moja pekee, wamefanya hivi wakijua hawa ni wachache na wanaojiweza.
Jamaa wanakaba kila kona kuhakikisha pesa zinapigwa, bahati mbaya pesa wanaenda kulipana posho tupu
 
Kuna hii sheria ya miamala ya kieletroniki inayoanza kutumika July 01,2022.

Kuna mkanganyiko wa mjadala hapa JF.

Kuna watu wanasema hii ni tozo mpya haikuwepo kabisa.

Kuna watu wanasema ni tozo ambayo inaenda kugusa Transaction mpaka za ATMs.

Tujadili miamala na maeneo ambayo hizi tozo zitagusa kwa mujibu wa sheria mpya.

Sheria imeambatanishwaView attachment 2299324
Kwanza imechelewa maana ilikuwa ianze mwaka wa Fedha uliopita ila haikuanza..

Lipa Kodi Mzee kwani kwenye miamala ya simu ilivyowekwa umeleta madhara gani?
 
Sijawahi ona nchi yenye viongozi wapumbavu kama Tanzania, nimefanya kazi

Nchi hii ina viongozi wapumbavu sana, nimefanya kazi nimelipwa mshahara umekatwa kodi, naenda kuchukuwa kilichobaki unanikata kodi, nikija ku fanya manunuzi kodi, nikitaka kumtumia mzazi wangu hela ya kula kodi. Nimefanya biashara nimelipa kodi, nasema kuna balance ngoja nikahifadhi benki siku nikienda kutoa kodi, benki nao wanataka service charge
Kila hatua lazima ulipe Kodi..Hamia ambako hakuna wapumbavu
 
Kwanza imechelewa maana ilikuwa ianze mwaka wa Fedha uliopita ila haikuanza..

Lipa Kodi Mzee kwani kwenye miamala ya simu ilivyowekwa umeleta madhara gani?
Wewe chawa acha upumbavu!

Waonee huruma ukoo wako wanaoliwa na umasikini kule kijijini!

Huoni aibu kutetea upumbavu kama huu?
 
... inaumiza sana! Hizo PAYE waajiriwa wanazolipa tayari ni kodi; kodi nyingine inakuwa imposed kwa mlango wa uani kwa kivuli cha tozo kwenye kuchukua mshahara ule ule ambao ulishalipiwa kodi.

Na huo mshahara ukichukua kidogo kidogo utalipa tozo hadi ukome; bora kuchukua wote kwa mkupuo kupunguza mitozo.
 
Transactions zitapungua na uchumi utadorora
😆😆 Haya maneno ya kijinga mliwahi sema hata kwenye tozo za miamala ya simu.. Uchumi sio hisia ni hesabu..

Matokeo yake yakawa hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-154358.png
    Screenshot_20220719-154358.png
    58.6 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220719-154324.png
    Screenshot_20220719-154324.png
    105.6 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220628-202235.png
    Screenshot_20220628-202235.png
    165.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220521-213837.png
    Screenshot_20220521-213837.png
    129.5 KB · Views: 7
Kila hatua lazima ulipe Kodi..Hamia ambako hakuna wapumbavu
Yeye analipa hiyo kodi? bwege wewe. Alipe kodi kwanza ya mshara wa ubunge, posho, mafuta. Alipe hata kodi mpaka hizo rushwa wanazobeba kila kukicha, makodi lukuki lakini hata kujenga matundu ya vyoo tumesubiri hela za uviko. Mbona kila siku wanakopa mabilion ya dola hizi kodi zinafanya nini? Subiri Srilanka hiyo
 
Wewe chawa acha upumbavu!

Waonee huruma ukoo wako wanaoliwa na umasikini kule kijijini!

Huoni aibu kutetea upumbavu kama huu?
Mpumbavu ni wewe,siwezi onea huruma ya buku 2 wakati hawana Maji fala wewe..

Mwaka huu Serikali inaanza kutoa ruzuku ya Mbolea unadhani utakunya mavi yako ndio yatumike?

Lazima vihela vidogo vidogo mtakavyokata ndio vikawape nafuu ya kununua Mbolea..Hii ndio huruma yenye tija sio upumbavu wako unaousemea..

Kutokana na tozo tumepata vituo vya afya maeneo yetu unadhani ni sawa na kama visingekuwepo tutumie maelfu ya hela kufuata huduma mbali? Acha ujinga wewe mburula short sighted.
 
Back
Top Bottom