sawa aende tu vaticanHivi mandela angesema awafukuze wale wazungu wote wangekwenda wapi manake sio kwao kule, wangerudi uholanzi nan angewapokea na wangekaa wapi, keshokutwa mtamsikia yuko vatican na cheo kikubwa tu jiwe lenu litaenda na kuomba kw huyo huyo aombewe
lete ushahidi tumvue,maana hata mama yake yupo haiMbona wa kwetu kajichanganya na uraisi tukampa
kwani huyo mungu ni wenu peke yenu?Hatafikisha hiyo 7,Mungu atakuwa kafanya yake, Anataka kupimana ubavu na Mungu, subirini mtaona.
wenye uraia tata utawajua tuAcha unafiki we punguani.
povu la nini si angejitetea kuwa babu na bibi walikufa kwenye mv bukoba?Uelewa finyu, waliozama na MV bukoba takribani watu 1000 na MV Spice Islander iliyoua karibu watu 200 unaweza kutuonyesha makaburi yao yako wapi, acheni ushabiki maandazi.
Story za vijiweniNyerere asili yake ni Rwanda, mzee Mwinyi Asili yake ni Comoro , mkapa kwao ni Msumbiji, kikwete Asili yake ni congo wakahamia Tabora baadae Bagamoyo, huyo wa sasa asili yake ni Burundi baadae akaja kuwa wa chato, viongozi wa Tanzania wote kwa kiwango kikubwa Asili zao si Tanzania bali ni Nchi jirani.
Jini ulilonunua wewe mwenyewe kukulinda, likijakumaliza kuwaua na simba, chui na adui wengine, litaendelea kula mifugo zizini, kwani ndio chakula chake.Msaidie kupata asylum nae aishi huko ughaibuni!
acha mawazo finyu waliofariki kwenye safari ya MV Bukoba na miili yao haikuonekana unaenda kuonedha kabuli gani?kama wewe ni mtanzania,huwezi kushindwa kuonesha walipozikwa wazee wako,muite Helsinki nae awe mkimbizi wa kiuchumi
Aende mahakamani,kama alivyofanya Jenerali UlimwenguKuna tetesi kuwa Serikali inapanga au imemvua Padre fulani uraia kisa walaka wa TEC. Nataka niseme kuwa kanisa huwa halichezewi na walevi wa madaraka, ulimweni kote kanisa linaheshimika. Nataka niwaombe viongozi kanisa Katoliki, huyo Padre wanaemuandama msiruhusu aende popote, baada ya hapo tupe taarifa sisi waumini tuone mtu yeyote kama atamgusa.
Mbona huwa hamdhubutu kusema fulani ni raia wa Rwanda? Kila anasiyesingiziwa kutokuwa raia wa Tanzania, Burundi husingiziwa, mnaogopa nini kutaja Rwanda?unaweza kua sahihi,lakini huyo padri ni mrundi,hapo hata akipiga novena itamrudia hakuna dhulma hapo,ametendewa haki
Tanzania ndio nchi pekee dunia,mgeni anaweza kujichanganya na raia,akapata pasi na kadi ya kura akajifanya mtanzania