Haki za binadamu zipi jomba unazosema. ..mbona watanzania wapo free sana kufanya chochote Wanachotaka ili mradi wasivunje sheriaKwa miaka takribani sita sasa serikali ya Tanzania imekosa kabisa heshima mbele ya jumuiya ya kimataifa.
Toka nchi hii ipate uhuru haijawahi kuwa na rekodi mbovu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kama ilivyo leo tatizo ambalo linasababishwa na ccm kukata tamaa kabisa na kukosa mbinu yoyote ya kufanya wananchi wakikubali chama hicho.
Serikali nafikiri imeweka pamba masikioni, haisikii la muadhini wala muumini.
Niambie nchi top ten duniani ambazo hazijawahi kuwa na uvunjwaji wa haki za binadamuKwa miaka takribani sita sasa serikali ya Tanzania imekosa kabisa heshima mbele ya jumuiya ya kimataifa.
Toka nchi hii ipate uhuru haijawahi kuwa na rekodi mbovu ya ukiukwaji wa haki za binadamu kama ilivyo leo tatizo ambalo linasababishwa na ccm kukata tamaa kabisa na kukosa mbinu yoyote ya kufanya wananchi wakikubali chama hicho.
Alianza vibaya wapi?Huyu waziri alianza vibaya nina wasiwasi na uwezo wake
Na hawa jamaa wanapoondoka hata mzunguko wa foreign currency unapunguakiuhalisia huwezi Kuwa na liubalozi lagharama na hakuna biashara yamaana mnafanya zaidi ya kuitwa mabeberu!! balozi nyingi zitahamishiwa Kenya iwapo viongozi wetu watazidi kufail kujenga uchumi na mashirikiano kimataifa
CV na delivarance ni vitu viwili tofauti,kinachojengewa hoja hapa ni delivaranceAlianza vibaya wapi?
she is alone of the most decorated diplomats and her cv huwezi kuimatch
-Kuongoza Great Lakes Initiative tena enzi za vurugu za kagame na wenzake
- elimu
- kuwa Balozi
- kuwa katibu mkuu wa wizara ya nje
- kuwa mkurugenzi wa African studies George Washington university
tupe cv yako sasa
Nyie watoto na vipimbi vya kizazi hiki hamjui kuwa miradi mikubwa sana kama Kibaha Eduction Centre na Shule mahiri na ya vipaji maalum ya Kibaha Secondari School ziizotoa viongozi wengi serikalini zimejengwa kwa msaada wa nchi za Nordic!China ni marafiki zetu wa damu, Wadanish wasitubabaishe. Maroronya yote Kariakoo yanatoka China.
Mh Rais Samia Suluhu Hassan, huyu Mama kaona mbali sana kila hotuba anawaasa vyombo vya ulinzi na usalama kutenda haki kwa raia wake. Demokrasia hakuna, ubambikizaji kesi ndiyo umeshamiri na hili linakera Sana mataifa ya nje. Tusibaki kusikitika tu chukua hatua acha uonevu kwa raia wako.
Huyu waziri alianza vibaya nina wasiwasi na uwezo wake
Nchi zinakuwa na uhusiano wa kibalozi na uhusiano mwingine wa ndani kwa sababu Kuu tatu. Mahusiano makubwa ya kibiashara (Economic linkages), ili kizitawala hatari za kiusalama (strategic Importance) au kuwepo kwa uhusiano wa kinasaba(Ndugu zap wengi wanaoishi huko). Tanzania haina vyote hivyo kwa Denmark. Hatuna hata wakimbizi wengi.
Majukumu hayo asingepewa if she wasn’t deliveringCV na delivarance ni vitu viwili tofauti,kinachojengewa hoja hapa ni delivarance
Sijajua uamuzi wa Hawa wadenmark unaiathiri vipi Tanzania maana ni uamzi wao binafsi na vipaombele vyao kama walivyoeleza.
Mwambie huyo, hata Mugabe alikuwa na CV kiboko lakini yeye ndiye aliyeiua Zimbabwe kabla hawajampindua na baadaye kufariki.CV na delivarance ni vitu viwili tofauti,kinachojengewa hoja hapa ni delivarance
Unaonaje hali ilivyo baada ya chama kutoka kwenye mikono ya washamba na kurudi kwa watoto wa mjinj kina JK? Mambo safi ee?Mimi pia naona kama zimekinzana...
You never know with politicians
Leo anakwambia tupige nyungu, kesho anakuambia tupige chanjo
Iweke hapa hiyo taarifa,hata hivyo wanaweza ondokaHujui kwamba CCM ni watu wa propaganda! Taarifa rasmi ya Denmark imeeleza kwa kina sababu za kufunga Balozi ikiwemo nchi zenye mashinikizo katika kufifisha demokrasia, uhuru wa habari na ukiukwaji haki za binadamu.
Wameona bora wakasaidie nchi zenye migogoro ya vita kuliko sisi wanafiki.