Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Wewe unataka mirija irudi au uzibiwe mirija? Acha upumbavu eti.Kwa asiyekuelewa wewe ni msaka tonge tu anayeongozwa na maslahi binafsi na ubinafsi-Mirija imerudi unaanza kupangia wengine nini cha kuwaza humu mitandaoni? 😳 😳 😳
Naaam mirija imerudi maana Meko aliua uchumi ikiwemo sekta binafsi kwa sasa tumepata nafuu.
Wewe si zamu yako na Meko imeisha ni wakati wa kutulia badala ya kulia Lia,kutesa kwa zamu ndio maisha.