Serikali yaeleza kusikitishwa na uamuzi wa Denmark kufunga ubalozi wake

Serikali yaeleza kusikitishwa na uamuzi wa Denmark kufunga ubalozi wake

Mbona sababu za kufunga ubalozi zilizoelezwa kwenye hii taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ni tofauti na zile zilizoelezwa kwenye taarifa iliyotoka jana kwenye vyombo vya habari?
Ndiyo serikali ya Tanzania ilipofikia mkuu.
 
Tumekuwa Matonya wa Kudumu... kila siku omba omba tu... ifike mahali tutathimi misaada yote tuliyopewa na nchi wahisani , imefanya nini na imetumikaje kabla ya kulia lia humu kwamba wanaondoka... wana sababu zao na tuziheshimu, hawakusema kwamba kuondoa ubalozi ndio mwisho wa misaada yao... labda hilo walikewe wazi ili Matonya Tanzania ajue namna ya kujikimu miaka 2 baada ya sasa...
 
Mh Rais Samia Suluhu Hassan, huyu Mama kaona mbali sana kila hotuba anawaasa vyombo vya ulinzi na usalama kutenda haki kwa raia wake. Demokrasia hakuna, ubambikizaji kesi ndiyo umeshamiri na hili linakera Sana mataifa ya nje. Tusibaki kusikitika tu chukua hatua acha uonevu kwa raia wako.
Yule nae anaongea haya publicly huko ndani anaagiza mengine.

Bibi tozo.
 
Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imeeleza kusikitishwa na hatua ya Serikali ya Denmark kuamua kufunga shughuli za Ubalozi wake nchini Tanzania ifikapo mwaka 2024.

Denmark jana ilitangaza uamuzi huo ambao ulihusishwa na mkakati wao mpya wa masuala ya mambo ya nje. Mbali na Tanzania pia nchi hiyo itafunga ubalozi wake nchini Argentina, Ubalozi mdogo wa Chongqing nchini China na ujumbe wa biashara huko Barcelona (Uhispania).

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula leo Jumamosi Agosti 28, 2021 amesema hatua hiyo ya Denmark inasikitisha ikizingatiwa kuwa hivi karibuni Serikali ya Awamu ya Sita imekuwa ikifanya jitihada za kufufua na kuimarisha diplomasia na uhusiano wa nchi rafiki ikiwemo Denmark.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo imeeleza kulikuwa na jitihada za kuimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini pamoja na kuimarisha demokrasia na utawala wa sheria.

Aidha taarifa hiyo inaeleza Balozi Mulamula jana alifanya mazungumzo kwa njia ya mtandao na Waziri wa Ushirikiano wa Maendeleo wa Denmark, Flemming Mortensen ambapo walikubaliana kuendelea kushirikiana na Mortensen anatarajia kuzulu nchini siku zijazo.
Democrasia na utawala bora!
 
Endeleeni kuendesha nchi kama Jahazi
Tatizo ni kwamba mzimu wa Magufuli Bado uko ikulu
Mama Bado Hana dira yake binafsi
 
Ukipanda bangi,huwezi vuna mahindi.
Huku kwetu huwa tunapanda mpunga majarubani lakini unakuta majani tunayaita 'nachipunga' yameota pamoja na mpunga. Ni majani yanayofanana sana na mpunga usipokuwa makini unaweza usiyatoe wakati wa palizi ukidhani ni mpunga!
 
With all those credentials, she is failing in the diplomatic field, pathetic!
She is not../ if anyone failed our foreign diplomacy, then atakua may fab president- JPM - we reap what we saw

waswede hawa kaamua overnight hii kitu

wao sio kama sisi tunakurupuka tu

Na ndio maana wametoa 2 years notice

they are also closing one consular in China , Argentina and one more country

these things Kwa wenzetu sio shoddy shoddy

wanapanga, wanachagua na wanatekrleza

their purpose hapa is no longer the same
 
Hujui kwamba CCM ni watu wa propaganda! Taarifa rasmi ya Denmark imeeleza kwa kina sababu za kufunga Balozi ikiwemo nchi zenye mashinikizo katika kufifisha demokrasia, uhuru wa habari na ukiukwaji haki za binadamu.

Wameona bora wakasaidie nchi zenye migogoro ya vita kuliko sisi wanafiki.
Kaaa
 
Huyu waziri alianza vibaya nina wasiwasi na uwezo wake
Danmark waliamua kujiondoa Tanzania kabla mama Mulamula hajaota kuwa siku moja anaweza kuukwaa uwaziri. Uamuzi wa Danmark hauna uhusiano na uwezo wa mama Mulamula. Watanzania tu wavivu wa kufikiri.
 
Danmark waliamua kujiondoa Tanzania kabla mama Mulamula hajaota kuwa siku moja anaweza kuukwaa uwaziri. Uamuzi wa Danmark hauna uhusiano na uwezo wa mama Mulamula. Watanzania tu wavivu wa kufikiri.
Ungetuletea details uamuzi wao ni wa lini na kwa sababu zipi siyo kukimbilia kusema watanzania ni wavivu wa kufikiri. So what ?
 
This is typical ubinafsi aliokuwa anapambana nao Magu- Crimea ndo maana akasema ubinafsi wa watu wachache kama nyie ndo unaliangamiz taifa.sasa hv ule wizi wa kwenye construction sector umerudi na mnafaidika ndo mnatoa ujinga humu mitandaoni
Wewe ambae sio mbinafsi umelisaidiaje Taifa fala wewe.

Kwa hiyo ukiona wizi unaendea kuukenulia meno bila kuchukua hatua,huoni ulivyo mjinga?

Popoma kama wewe zaidi ya kuropoka huna kingine ukiambiwa weka ushahidi hapa utaishia kutoa mimacho kama kabudi anamuabudu Meko.
 
Wewe ambae sio mbinafsi umelisaidiaje Taifa fala wewe.

Kwa hiyo ukiona wizi unaendea kuukenulia meno bila kuchukua hatua,huoni ulivyo mjinga?

Popoma kama wewe zaidi ya kuropoka huna kingine ukiambiwa weka ushahidi hapa utaishia kutoa mimacho kama kabudi anamuabudu Meko.
Wewe ni mshamba tu kulio hata MEKO
 
Jibu swali wewe mjanja na ambae sio mbinafsi umelisaidiaje Taifa? Kaya maskini mna shida sana za stress aisee.
Anayemjibu mjinga ni zaid ya mjinga mwenyewe. Tatizo vijana wadogo mkishakuwa na mentality za kijani mnakuwa rubbish kabisa.Sasa wewe akili zako na MEKO zinatofautiana nn zaid ya maujinga?
 
Wewe jamaa ni hopeless sana-Full ujuaji na ubinafsi.Meko ndo maana alikuwa anawakomesha hopeless na wabinafsi kama nyie.Kisa MEKO kuibana construction sector na kuzuia upigaji mliokuwa unafanya ndo kulikufanya umchukie??? Sasa hv unabwabwaja tu kwa sababu fursa za upigaji wa kijinga kwenye construction zimerudi-Huu ubinafsi wa kishamba utaisha lini Tanzania 😕😕 Elli M denooJ Jidu La Mabambasi

Aliibana Construction sector ipi?Yeye si ndio alikua anajipa tenda na MAYANGA Co. yake?
 
Back
Top Bottom