Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673

Tiss waongeze umakini wa vetting Kwa viongozi.vetting ya huyu kiongozi tuliyenaye haikufanywa Kwa weledi.Huyu ni mamlumi wa Dubai ndiyo maana ngorongoro kawauzia waarabu wa Dubai na kuwafukuza wenyeji .
Mkuu,ni ukarimu kwa wageni huo.
NB;Hivi,bucha za nyamapori ziliishia wapi?
 
Nilisema humu na bado naendelea kusema. Hii kasi aliyokuja nayo, iko siku itafika. Kila unapokanyaga unaambiwa hili eneo huruhusiwi kufika, ni la nchi/mtu fulani ndani ya TZ. Tuendelee kuwachekea tu, tutakuja kushtuka too late.
πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Wafute kote mpaka Kizimkazi ibaki Butiama tu
 
Acha kupotosha jamii
 
Yere yere! Karibuni msomera, maji, umeme, mashule, internet, mabwawa, sehemu za kuchungia ngombe zimejaa tele, ngombe mpaka anafikisha kilo 200 ndani ya muda mfupi
 
OMBI langu kwa serikali iboreshe mazingira kule mvomero ya Barbara, hospitali maji ,maeneo ya malisho na ufugaji, umeme na malazi Bora kwa Hawa wamasai
Haiko hivyo ndugu. Binadamu hakamilishwi na hivi pekee.!!

Soma na sikiliza historia hiiπŸ‘‡πŸ‘‡

Wa- Israel walihamishwa kwa nguvu toka ktk ardhi ya asili maelfu ya miaka iliyopita matukio yaliyofanyika mara mbili.

Mara ya kwanza: Mamilioni ya Wa - Israel walikuwa evicted kule Misri ya Kale. Baada ya kuishi miaka 430 Misri finally walirudi ktk nchi yao ya Asili na Mungu aliwaunga mkono..

Mara ya pili: Wa - Israel hawahawa kwa hila na kwa nguvu walihamishwa kwa mara nyingine tena toka ktk nchi ya asili yao na kupelekwa nchi ya kigeni ya Babel (Iraki ya leo). Wakaishi kule miaka 70 huku wakiwa na huduma zote muhimu..

Lakini baada ya miaka 70 walirudi ktk nchi ya asili yao..
===================================
Hata hawa Wamasai serikali inaweza kufanikiwa KUWAHAMISHA ktk nchi na ardhi yao ya asili kwa nguvu, ulaghai na udanganyifu...

Lakini baada ya muda fulani, nakuhakikishia kuwa wata trace asili yao na watakuja kurudi kwenye ardhi na nchi ya baba na babu zao huku Bi. Samia Suluhu Hassan mtekelezaji wa mpango huu mwovu akiwa amegeuka kuwa udongo na mavumbi ktk ardhi - yaani akiwa alishajufa na kuoza..

Asili ya mtu haipptei. Kama wewe uko huko uliko na hukumbuki kwenye asili yako, then wewe ni mfu na pengine siyo binadamu wa kawaida..!
 
Nilisema humu na bado naendelea kusema. Hii kasi aliyokuja nayo, iko siku itafika. Kila unapokanyaga unaambiwa hili eneo huruhusiwi kufika, ni la nchi/mtu fulani ndani ya TZ. Tuendelee kuwachekea tu, tutakuja kushtuka too late.
Labda atakayekuja atabadilisha
 
JK bhana hapo Tosa alikuwa anaingia hadi church πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

JK ni Mtu na Nusu πŸ˜„πŸ˜„
Hii shida yote inayotupata chanzo ni yeye mzee wa kukenua kenua, iliyobakia ni kumsomea kurjuan tu maana imeshakuwa ujinga huu sasa.
 
JK bhana hapo Tosa alikuwa anaingia hadi church πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

JK ni Mtu na Nusu πŸ˜„πŸ˜„
Church huwa halina nongwa.Na wewe uingie pale masjid Miyomboni kwa wamanyema ukiwa umetinga bunango zako na nyanyapuza uone watakavyokutoa unyoya!🀣
 
Hai kwa Mbowe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…