Serikali yampa ajira Mwanamke anayekumbatia Watoto njiti hospitali ya Amana

Serikali yampa ajira Mwanamke anayekumbatia Watoto njiti hospitali ya Amana

Huyo dada atakuwa na nyuzijoto 40C mwilini.
Na huko kwenye papuchi kutakuwa na 50C
Just Joking 😂
 
Zawadi na ajira ni stahiki yake kwa wema alio fanya. Tusiishie kusifia, yapo ya kujiuliza. Serikali inashindwa kuweka vyumba vya joto katika hospitali walau ngazi ya wilaya? Na hapo ni dar, mikoani hali ikoje? Tutapata kina Mariamu kila hospitali? Njiti wangapi wamekufa kwa kukosekana kina Mariamu? Mariamu akiugua inakuaje? Kuna njiti waliuawa na kunyofolewa viungo wakiandaliwa kusafirishwa hospitali wilaya, kisa kituo hakuna huduma ya kutunza njiti. Ni vema rais(serikali) akatatua chanzo, tatizo ni kubwa.
 
Huu nao ni upumbavu.
Kama hana sifa kwanini aruhusiwe kutoa huduma?
Kwanini apewe kazi ya mkataba kama hana sifa?
Kigezo hicho kilichotumika kumpa temporary contract kitumike hichohicho kumpa permanent contact
 
Hizo nguvu si wangewekeza kwenye kununua incubators za kutosha.

Wabongo wapo busy kutetea Dp kisa inatumia mashine lakini wapo busy tena kumpongeza Rais kwa kutoa pesa za kukumbatia watoto badala ya kushauri zinunuliwe mashine za kutosha
Watanzania tumedumazwa akili. Serikali inashindwa kuwajibika, bado inatetewa.
 
Hizo nguvu si wangewekeza kwenye kununua incubators za kutosha.

Wabongo wapo busy kutetea Dp kisa inatumia mashine lakini wapo busy tena kumpongeza Rais kwa kutoa pesa za kukumbatia watoto badala ya kushauri zinunuliwe mashine za kutosha
Imagine dunia ya leo tunatumia.mtu kukumbatia watoto, hygenically naona haipo sawa jamani, tunarudi nyuma wakati dunia inasonga mbele
 
Joto la binadamu ni nzuri zaidi.
Hata km atawekwa kwenye incubator kuna muda atahutajo joto la mama.
 
mashine ndio zipo lakini hazitoshi Sasa Kuna shida gani dada kujitolea kuokoa maisha ya hao watoto ambao walikosa nafasi katika hizo mashine
Kwahiyo serikali inapaswa kuongeza mashine za kuokoa watoto au kumpongeza Mariamu?
Kama Mariamu ameokoa watoto watatu, je, kabla yake wangapi wamekufa?. Je hospital zingine ambazo Mariamu hayupo hakuna tatizo la upungufu wa mashine?
 
Kuna makala niliwahi kuangalia, ilisema kwa watoto njiti joto linalofaa zaidi ni la mwanadamu, linasaidia kwa haraka kuliko hizo incubator, sasa mnaomnanga huyu dada hebu tafuteni maarifa msiwe mnakurupuka tu
Usikariri. Joto la mwanadamu linajulikana, machine za joto zinasawazishwa kuwa sawa na joto hilo. Uzembe wa usimamizi unaweza leta majanga, lakini kwa technology iliopo heat sensors na automation zina ondoa madhara yote . Mariamu akiugua joto linapanda, inabidi uwe nao wa akiba na ni kuongeza gharama.
 
mashine ndio zipo lakini hazitoshi Sasa Kuna shida gani dada kujitolea kuokoa maisha ya hao watoto ambao walikosa nafasi katika hizo mashine
Ficha ujinga wako. atawakumbatia wangapi? hao watoto wanazaliwa wangapi kwa siku?? akiwaambukiza magonjwa ya ngozi inakuwaje???

Serikali inatakiwa kununua mashine za kutosha za kulea watoto nditi. siyo kutafuta kiki ya watoto kukumbatiwa.
 
Haya kwa wale wavivu wa kusoma.

Kangaroo mother care started immediately after birth critical for saving lives, new research shows
Immediate kangaroo mother care for preterm and low birthweight babies requires dedicated Mother-Newborn Intensive Care Units
  • Kangaroo mother care, which involves skin-to-skin contact and exclusive breastfeeding, significantly improves a premature or low birthweight baby’s chances of survival
  • Starting kangaroo mother care immediately after birth has the potential to save up to 150,000 more lives each year, compared with the current recommendation of starting it only once a baby is stable
  • Mother-Newborn Intensive Care Units (ICUs) will be critical to support the mother, or a surrogate, in providing this immediate, ongoing skin-to-skin contact from birth.
The results of a new clinical trial published today in the New England Journal of Medicine, show that immediate kangaroo mother care, which involves skin-to-skin contact with the mother and exclusive breastfeeding, started as soon as a preterm or low birthweight baby is born, dramatically improves survival.

Current World Health Organization (WHO) recommendations indicate starting kangaroo mother care only after the baby is stabilized in an incubator or warmer, which can take on average 3-7 days. This new study suggests that, when compared with the existing practice, starting kangaroo mother care immediately after birth can save up to 150,000 more lives each year.

“Keeping the mother and baby together right from birth with zero separation will revolutionize the way neonatal intensive care is practiced for babies born early or small,” said Dr Rajiv Bahl, Head of the Newborn Unit at WHO, and the coordinator of the study. “When started at the soonest possible time, kangaroo mother care can save more lives, improve health outcomes for babies and ensures the constant presence of the mother with her sick baby.”

The results of the immediate kangaroo mother care study indicate the need for a global paradigm shift in the care of small babies with zero separation of babies from their mothers by having dedicated Mother-Newborn ICUs. “The best way to nurture the newly born low birthweight baby, including in high-income countries, is through ongoing skin-to-skin contact with the mother, in a mother-newborn couplet care unit that provides care and medical treatment for both,” said Dr Bjorn Westrup, of the Karolinska Institute, Sweden, and a technical expert for the study.

Kangaroo mother care is already known to be effective, reducing mortality by 40% among hospitalized infants with a birth weight less than 2.0 kg when started once they are clinically stable. However, this important new study provides new evidence to show a further 25% reduction when it is initiated immediately after birth, either with the mother or a surrogate.
Mother and baby skin contact...
 
Usikariri. Joto la mwanadamu linajulikana, machine za joto zinasawazishwa kuwa sawa na joto hilo. Uzembe wa usimamizi unaweza leta majanga, lakini kwa technology iliopo heat sensors na automation zina ondoa madhara yote . Mariamu akiugua joto linapanda, inabidi uwe nao wa akiba na ni kuongeza gharama.
Nadhani wewe ndie mbumbumbu hasa anaesemwa
 
Imagine dunia ya leo tunatumia.mtu kukumbatia watoto, hygenically naona haipo sawa jamani, tunarudi nyuma wakati dunia inasonga mbele

Punguzeni ujuaji jamani!

Sio vibaya pia mkatafiti japo kidogo kuhusu kinachojadiriwa hapa na sio kuweka mapingamizi na ukosoaji kwa kila kitu Kisa tu mnauhuru wa kufanya hivyo!

Eti “hygenically”?!?
Ni aibu kwa kweli, Aibu!
 
Back
Top Bottom