Vitabu Gani vipo kwenye syllabus hapo? Nachosema kama mmeamua kuzuia content za magharibi basi muache vyote sio kuchagua Moja na kuacha njia zingine 10.
Mfano ukiskiliza bongo fleva 90% zinaimba kuchuma mchicha, kusafisha mtaro, Kwa mpalange n.k watoto wanaziimba bila kukosea verse unadhani ukiondoa vitabu pekee inasaidia?
Ushauri wangu ni kwamba watoto wafundishwe ubaya wa mambo hayo maana watayasikia tu at some point in life. Ila kuzuia haiwezekani maana mmeachia bongo fleva waimbe matusi hayo hayo mnayopinga kwa vitabu. And bongo fleva inasikilizwa zaidi kuliko vitabu kusomwa!!