Serikali yapiga marufuku matumizi ya vitabu 16 vikiwemo Wimpy Kid ili kulinda mila, desturi na tamaduni za Kitanzania

Hivyo vitambu vitakuwa
IST
ISM
HOPAC
St C
DIA


Nimejaribu google ila sijaona sehemu kama kina maudhui tajwa.

Kama kuna mzazi ana ushahidi aweke hapa tuone, sio wa karatasi moja bali achukue video

Hizi ndo argument za hovyo kabisa, ushahidi kwamba hili katazo halina maana au?
 
Huwa nashangaa sana nyimbo zilizojaa maudhui yasiyofaa kuachwa ziende hewani. Mamlaka husika Huwa hazisikilizi hizi nyimbo?
 
Vile viongozi wetu wanashangaa shangaa baada ya kuambiwa kuwa wamepiga vitabu marufuku kwa sababu ya fake news kutoka huko whatsapp👇😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…