Lovebird
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 6,383
- 9,337
Na hivi tunaelekea SIKUKUU pendwa za Chrismass na mwaka mpyaa unalala kwa gari usiku kucha unaamkia mkoa mwingineEwaaaa.... hapa sasa ligi zitapendeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hivi tunaelekea SIKUKUU pendwa za Chrismass na mwaka mpyaa unalala kwa gari usiku kucha unaamkia mkoa mwingineEwaaaa.... hapa sasa ligi zitapendeza
tunajaribu kutoa maoni yetu.Wewe ukisafiri mchana inatosha.
Sure,katika hili serikali imejitahidi sana kwenye miundombinu...sio siku nyingi Kigomq nao wataunganishwa na mtandao wa barabara za lami bado kilometa chache sana..ifike hatua sio tunapinga kila kitu.Miundombinu ya nchi zote EA haina tofauti na tena kwa barabara za kuunganisha mikoa Tanzania imepiga hatua kubwa kuliko majirani.
Kama wanavamiwaga kituoni mwao wewe msafiri wa usiku je..?Jeshi la polisi limeweka utaratibu wa Naman ya kusafiri usiku.
Ndiyo, coz ata kwetu yanatoka saa 9 na kuingia dar saa 2.Sio kila basi litasafiri usiku. Ni Kama Mwanza to Dar. Ni mabasi matati tu Ally's, Katarama na Happy Nation wameruhusiwa kusafiri saa tisa usiku. Halafu safari za usiku mbona zimeanza zamani.
Hakuna barabara nyembamba kama za KenyaMbona na Rwanda ni nyembamba usiku usafiri Kama kawaida. Tena kule Kuna milima na kona nyingi.
Ishapita hiyo, lawama zako hazitasaidia kituSawa sawa kwa hio majarbio na roho za watu watalipa fidia?
Huwezi kutatua changamoto ulizo nazo kwa kuzikwepa kwamba hazipo.Kwasababu kufa kupo pale pale.sasa kipi bora kati ya wewe mwenye akili timamu kutumia akili zako kuboresha mambo yawe vizuri kwa vizazi vingi vijavyo au usubiri ukisha kufa kizazi chako kije kufanya kwa namna mbaya?.Hivi unajua mjinga mmoja barabarani anaweza kusababisha ajali hata kwa mtu mwenye akili zake timamu.
Ndiyo maana nikasema safari za usiku wataua watu wengi sana chanzo inaweza kuwa hayo malori speed au barabara mbovu jumlisha magari mabovu.
uhai ukitoka harudi
Itakuza uchumi sana ,mshindwe wenyewe.Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeruhusu Mabasi ya abiria kufanya usafirishaji wa Saa 24, baaada ya kujiridhisha kiusalama, mwamko wa wananchi, huduma za mawasiliano pamoja na miundombinu ya usafirishaji.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi, Jumanne Sagini wakati anaongea na Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na kusema kuwa wamefikia maamuzi hayo baada ya Serikali kuimarisha shughuli za uchumi wa wananchi wake wa maeneo ya mjini na Vijijini.
Akiongeza kuwa wamezingatia maoni ya Wadau mbalimbali wakiwemo Wabunge, wamiliki wa mabasi, madereva wa mabasi, wasafiri, Wafanyabiashara na Wananchi kwa ujumla.
Aidha, Serikali imetoa maagizo kwa wadau wote wa usafirishaji kuzingatia Sheria, Kanuni na utaratibu wa leseni zao.
Pia madereva wametakiwa kuthibitishwa na LATRA, ambayo itatoa ratiba za safari kwa saa 24, TANROADS kuhakikisha ubora wa miundombinu, Serikali za Mitaa kuhakikisha zinasimamia usalama wa abiria kwenye huduma wanazosimamia pamoja na Jeshi la Polisi kusimamia Usalama wa watu na mali zao.
Ahsante ndugu, yaani nilikoma kupanda IT usiku. Ni risk sana mnaweza kufa kizembe.Duuh pole aseeh...... Mm nipo ndani akn nilivosoma hii km ndo tumevamiwa
Yaani safar za usiku ni ile tuu unakuta huezi kukwepa kwa baadhi ya Mambo yanayotusubri Ila sio nzuri kabisaa.....Ahsante ndugu, yaani nilikoma kupanda IT usiku. Ni risk sana mnaweza kufa kizembe.
Mbele tulikuta ajali IT nyingine ilikuwa inaenda Malawi dereva na abiria wawili walikufa palepale kapona mdada.
Basi na lile wenge la kuuponea kufa akaanza kuropoka,
Katoka Dar hajamuaga mume wake alikuwa anaenda Iringa kwenye graduation ya mchepuko wake, na mumewe kasafiri nje ya nchi akaanza kulia kinyachu pale hadi huruma. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anasema, “Gwe Kyala umalaya huu mimi basi Ee joba, ningekufa hii aibu familia yangu wangeficha wapi sura zao??”
Mimi pamoja na yote lakini sijakoma nikisikia dili la pesa nasali najikabidhi kwa Sir God mwendoo 🤣🤣Yaani safar za usiku ni ile tuu unakuta huezi kukwepa kwa baadhi ya Mambo yanayotusubri Ila sio nzuri kabisaa.....
Bora ata sis Dar Moshi chapu tuu tukivuka apo wami bas tena njia haina maporii na kdg imenyooka lkn usiku siwez kuapia Ila sipend kusafr kwa kutumia malori na usku [emoji16]