Serikali yasitisha leseni ya kuchapisha na kusambaza Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020

Serikali yasitisha leseni ya kuchapisha na kusambaza Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020

The Citizen na Mwananchi ndio wanatakiwa kuyaangalia vizuri hata kwa figisu...
 
Hassa Abbas amejaa mambo ya kipuuzi kweli kweli. Magazeti ya Musiba yanayoandika uongo hayaoni. Kisa Tanzania daima limeandika habari za Membe ndiyo iwe nongwa. Mpuuzi huyu!
 
Hassa Abbas amejaa mambo ya kipuuzi kweli kweli. Magazeti ya Musiba yanayoandika uongo hayaoni. Kisa Tanzania daima limeandika habari za Membe ndiyo iwe nongwa. Mpuuzi huyu!
Hakuna aliyewahi mgusa msemaji wa lumumba akabaki salama anaogopa yakumkuta
 
Hili gazeti lilijaa habari za uwongo na uzushi
Chadema poleni!
.
JamiiForums140089583.jpg
 
Ingekuwa hatua nzuri sana kama isingebagua baadhi ya magazeti.Magazeti Ya Musiba yanaandika yatakacho lakini hatua hakuna.Sidhani kama ni jambo lenye afya kwa Taifa letu na sielewi ni nini hasa wanaotoa maamuzi haya wanakifikiria.Kuna jambo moja watawala wetu wamekosa kuligundua mpaka sasa labda tuwasaidie kidogo.Baada ya 2015 mwanadada aishie Marekani alitingisha kupitia Instagram,kila njia ikatumika kumnyamazisha na kweli amenyamaza lakini ghafla kaibuka Kigogo huyu ndio anachanganya mno na huyu akitulia inawezekana akatokea mwingine mbaya zaidi.Hebu tujifunze kuvumilia na kama kuna mtu kakwaza na gazeti aende mahakamani wachapishaji wakipigwa fidia ya kutosha watakaa katika mstari bila hata kuonyesha dunia kuwa "wanaonewa"
 
Hili gazeti huru kwanini wanalifungia pia barua haielezi kwa kina angalau kinachoitwa 'uongo' , hii idara ya Maelezo inajigeuza kuwa Wizara ya ' Ukweli'
https://www.nytimes.com › books
The Making of '1984,' George Orwell's Nightmare Vision of a World Without Truth ...

ministry of truth 1984 george orwell from www.nytimes.com

5 Jun 2019 · THE MINISTRY OF TRUTH The Biography of George Orwell's “1984” By Dorian Lynskey. Shortly after the presidential inauguration ...

June 23, 2020
PIGO, GAZETI LA TANZANIA DAIMA LAFUTIWA LESENI
Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo idara ya Habari Maelezo imelifungia Gazeti la Tanzania Daima, ambapo kuanzia juni 24, 2020 gazeti hilo halitaruhusiwa kuchapishwa wala kusambazwa popote nchini au nje ya nchi kufuatia uamuzi wa kusitisha leseni uendeshaji na usambazaji wa Gazeti hilo.



Source : Global TV online
 
Huyo dikteta uchwara amebugi step sana. Siku hizi watu hawashughuliki kusoma makaratasi. Mambo yote yako kwenye mtandao ambako hana uwezo wa kufanya lolote bali kuvizia wachache awateke au awaue na mara nyingine kuomba malaika wafunge mitandao.
knee-on-neck.jpeg

Sifa kuu ya dikteta uchwara ni uzoefu katika vya kunyonga...
 
Sasa unalalamika nini?
Nyerere peke yake ndio rais aliyefaidi kuongoza taifa la makondoo, na watu wote kulishwa habari azitakazo kupitia vyombo vya habari. Kwa hii dunia ya technologia, watu wote waelewa hupata taarafi za kweli kupitia mitandaoni. Hivyo kufungia magazeti yasiyomnyenyekea dictator yoyote, wala sio tatizo kubwa kihivyo.
 
Back
Top Bottom