Serikali yasitisha leseni ya kuchapisha na kusambaza Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020

Serikali yasitisha leseni ya kuchapisha na kusambaza Gazeti la Tanzania Daima kuanzia Juni 24, 2020

Huu ujinga ndio unatia madoa makubwa utawala wa mjomba. .. it shouldn't be this way..
Wafunge na twitter sasa
 
SEE U AGAIN
9.jpg
10.jpg
 
Kwa mtazamo wangu,serikali ingekuwa inawaacha tu hao watu wa vyombo vya habari maana unakuta watu hawana hata mda nao lakini mkiwafungia ndo mnawatengenezea attention ya kufuatiliwa na watu huku nyie mnajijengea sifa mbaya.!
 
Hahaha...Safi sana, wanakiuka sheria, kanuni na taratibu makusudi ili wafungiwe then walalamike eti "wamefungiwa sababu ya uchaguzi", upuuzi mtupu.
 
Huna la kufanya! Kama vipi furukuta basi tuone
 
Hili gazeti lilijaa habari za uwongo na uzushi

Nyerere peke yake ndio rais aliyefaidi kuongoza taifa la makondoo, na watu wote kulishwa habari azitakazo kupitia vyombo vya habari. Kwa hii dunia ya technologia, watu wote waelewa hupata taarafi za kweli kupitia mitandaoni. Hivyo kufungia magazeti yasiyomnyenyekea dictator yoyote, wala sio tatizo kubwa kihivyo.
 
Back
Top Bottom