Hiyo bandari wachina wanaiendeaha kwa miaka 50 ndo Tanzania mrudishiwe bandari yenu. Pamoja na kuwapa hiyo bandari unayosema ni kubwa maana yake ni kuua bandari zetu zilizopo sasa maana ni kama tutakuwa hatupati kitu lutoka kwenye bandari mpya kwa muda wote huo na wakati bandari zetu zitapumguzwa nguvu.Kujengwa banadari mpya na ya kisasa kupisha bandari ya dar ambayo haina nafasi ni uharibifu?
Hakika shule mlienda kusomea ujinga.
Kumbe hadi leo ni TIMU JMK (a.k.a Membe)Magufuli kapotoshwa na wenye wivu
Vipi Msoga imeridhia usitishaji huu?Hapo wawekezaji walioingia mikataba watakula fedha ya bure kama hii habari ni ya ukweli.
Mkuu nadhani hapa watu wanajadili mada kitaalamu.. Kila mtu anatoa wazo lake, faida na hasara za huo mradi lakini wewe umekomalia mambo ya Magufuli kuwemo kwenye Cabinet, Hivi una uhakika gani JPM aliukubali huu mradi kwenye cabinet?? Je kama walizozana na mwisho zikapigwa kura??Hapa tunaimba nyimbo tu wenzetu wanachanja mbuga. JK ana la kusema kuwa mradi huo ulikuwa na faida
Magufuli alikuwemo, sasa anasema hapana. Huyu ndiye wa kutueleza nini kimebadilika alichokuwa hakioni wakati huo?
Kila siku tunalishwa 'kashata' mpya, tunaimba tu hatufikirii. Hatuna maono na nchi yetu
Tusubiri tangazo siku moja, mtu ataamka asubuhi na kusema akina baba wahasiwe, population imekuwa kubwa!
Mungu pishilia mbali , twaweza fyekwa tu.
Jaribu kutetea vitu unavyovifahamu. Ujenzi unafanywa na wachina na manamiliki bandari kwa miaka 50 ili kurudisha pesa walizojengea. Huoni hii itaua bandari za Dar , Tanga na Mtwara ? Huu mradi haukuwa na maslahi ya taifa na nadhani hii kitu iko Tanzania tu.Bandari ya Dar itakuwa supplementary.
JPM si mjinga. Kuna vitu haviwekwi wazi kwenye mikataba na matokeo yake ni watu kuja kuanza kulalamika. We tulia tu utakuka kujua kwa nini huu mradi si priority kama mlivyo aminishwa!Huu mkataba basi utakuwa na walakini mkubwa! Sisi tuliambiwa kuwa tutoe tu ardhi maana wachina wataugharamia 100% kwenye ishu ya funds!
Sasa wakati wakiusitisha Pia waweke wazi vigezo walivyotumia kuuvunja!
Pia ni bora wakafikiria kwenda kujenga bandari mpya ya Tanga kuliko kufikiria kuiboresha bandari ya Dar yenye makosa mengi kiufundi!
Ni vigumu sana Bandari ya Dar kwa hali ilivyo sasa kuweza kuleta ufanisi! Ni lazima kujenga bandari mpya!!!
Kama serikali ya Magufuli ndiyo imewaza huu ujinga wa kuiboresha 'vijibandari' vya Dar Na Mtwara Na kupiga teke wazo la kujenga bandari mpya basi nazidi kuwapa "zero" kwenye falsafa yao ya utendaji! UJENZI WA BANDARI MPYA KUBWA NA YA KISASA haukwepeki!! Hii nchi mbona tunaifanyia majaribio sana?????
Wazo la ujenzi wa Bandari ya Tanga na iwe connected Na reli ya kisasa pamoja na usafiri wa uhakika uwe palepale!!!
Na ile plan ya mji wa kisasa wa Bagamoyo vepee??
Labda ni mgeni kidogo. Kuhusu Bandari tumejadili sana wakati mradi huo ukianzaMkuu nadhani hapa watu wanajadili mada kitaalamu.. Kila mtu anatoa wazo lake, faida na hasara za huo mradi lakini wewe umekomalia mambo ya Magufuli kuwemo kwenye Cabinet, Hivi una uhakika gani JPM aliukubali huu mradi kwenye cabinet?? Je kama walizozana na mwisho zikapigwa kura??
Ni sawasawa leo tuseme Ukawa walishiriki kuupitisha ule mswada wa mafuta na gesi wakati tuliona wazi waliukataa... Wewe ni mtu mzima, tujadili Je, imefaa kuupiga chini mradi au wamechemsaha, na zitolewe sababu... Wakati wa siasa umeisha tusubiri tu 2020, hata sisi tuna hasira kama wewe...
Yawezekana, lakini sidhani kama JPM atamwangusha JK. Labda!!!Jiongeze ndugu hiyo ni Lugha ya Dipromasia kutuliza mihemko ya mkwere na Genge lake....unadhani ikikaa miaka zaidi ya 50 bila kujengwa utasema haijawa Cancelled au Wameandika na muda
Wanasheria naombeni ufsfanuzi hapo, hivi hao wachina wamesitishiwa mkataba kweli? kwahiyo tz itaadhibiwa kwa kubreach contract?The Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports.
The Minister for Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa, confirmed yesterday that the construction of what would be the largest port in Africa has been suspended, not shelved to pave way for upgrading berths 13 and 14 as well as developing the Mtwara Port depending on the availability of Funds. The activities would take years to complete, the minister said because the process has to start from finding funding.
Source: THE CITIZEN
View attachment 315504
Tulia wewe unyolewe maana mlijidai sana.Hapo wawekezaji walioingia mikataba watakula fedha ya bure kama hii habari ni ya ukweli.
Yawezekana, lakini sidhani kama JPM atamwangusha JK. Labda!!!
Tatizo lako hutaki kuelewa! Kwahiyo unataka kusema efficiency ya bandari ya Dar ikifikia 100% ndo cargo storage haitakuwa tatizo?Kwa kuwa Kenya wanajenga Bandari kubwa Lamu haimanishi kwambo wako sawa, isitoshe sielewi mambo ya Kenya, lkn kwa hapa kwetu huu mradi wa Bandari ya B'moyo ni white elephant na haumake economic sense Serikali ya Magufuli siyo wajinga kuupiga stop na kuhamishia nguvu kule ambako tayari kumeshajengwa na kunahitaji kuboreshwa tu!
Unajua nini? Mimi angalau ningewaelewa watu mnaong'ang'ania huu mradi kama kwa mfano Bandari za Dar, Tanga, na Mtwara zote zingekuwa zinaeffieciency ya mpaka 95% hapo sasa ndiyo mngesema Bandari zetu zimezidiwa tumefanya kila kitu na sasa tunahitaji Bandari kubwa zaidi lkn siyo kweli Bandari ya Dar yenyewe siyo kwa sababu wala ni ndogo bali ni inafanya kazi below its capacity by far , mpka leo hii hata kuhakikisha tu mzigo wa mteja haubiwi na unafika salama bado hatuwezi, ni juzi hapa Rwanda wamelalamika kuibiwa makontena yao na kupata hasara na siyo Rwanda tu Kongo hata Malawi ni kwamba hawana jinsi lkn wameshachoka sasa hapo wala bado sijaongelea mambo ya effieciency ya upakuaji mizigo, uhifadhi, n.k na hiyo ni Dar ,Tanga wala sijagusia MT sasa kama hizi Bandari zilizojengwa na Wakoloni miaka 100 iliyopita tunashindwa kuzifanya ziwe na effiecincy ya angalau 85% tunataka kujenga Bandari yaDola Bilioni 10 hiyo miuijiza itatoka wapi?
Ni sawa una nyumba ya vyumba viwili unashindwa kuisafisha na kukata majani vyoo vinanuka halafu unasema unataka kujenga nyumba mpya ya vyumba 7 ili uishi vizuri na kwa usafi zaidi hakuna atakaye kuamini!
Kwahiyo hapa Wachina hawana akili, Kenya hawana akili, US Companies nao maboya tu lakini nyinyi tena ambao hata shipping business yenyewe hamuifahamu lakini ndo mna uwezo mkubwa wa kufahamu viable and white elephant project kwenye ports investments!!!! Sasa ikiwa $ 10 Billion mnaona ni li-project likubwa kwelikweli; what abaout hao ambao target yao ni $26 Billion?Kenya, U.S. firms in talks on mega $26 billion Lamu Port Southern Sudan-Ethiopia deal
KENYA and U.S. companies are negotiating a potential multibillion-dollar agreement with the Kenyan government to help develop the East African country’s biggest infrastructure project.
The U.S. companies want to take part in the Lamu Port Southern Sudan-Ethiopia Transport Corridor, which envisages the construction of a port, power plant, railway and other facilities, according to Issa Timamy, governor of Lamu county in southeastern Kenya. Source, Bloomberg
Kupanga ni kuchagua. Uchumi mkubwa katika nchi hii kwa sasa uko kusini hususani mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Njombe. Bandari kubwa Bagamoyo ya nini wakati umbali kutoka bandari kubwa iliyopo Dar es Salaam kwenda Bagamoyo ni kilomita 40 tu. Pure wastage of public resouces.Hapa sawa. Na aliyetoa amri ya kujengwa bandari hiyo ashitakiwe kwa matumizi mabaya ya ofisi na ubadhirifu wa mali ya umma. fedha nyingi sana ya walipa kodi imeshapotea kwenye ujinga huo.
Naanza kuona sababu za wageni wanafiki kutokukauka kwa Magufuli.