Serikali yasitisha Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo. Kuimarisha Bandari za Mtwara, Dar

Status
Not open for further replies.
seems to be a very smart guy. .nakubaliana na suggestions zako 100 percent..reli ujenge ya standard gauge from Tanga ipite arusha mpaka singida I kutana na reli ya dar -mwanza-kigoma same as ile bandari ya Mtwara
True bro. He is a smart guy.
 
Well said.
 
Lakini tutake tusitake kama nchi tunakabiliana na ushindani wa kibiashara ktk ukanda wetu tunahitaji bandari mpya na ya kisasa ili tuweze kushindana kibiashara na nchi jirani. Swali je bandari mpya itajengwa wapi kwa maoni yangu sijali itajengwa wapi kama ni Mtwara Tanga Bagamoyo yote ni Tanzania je kama ni kweli ujenzi wa bandari ya Bagamoyo imesitishwa ni kwasababi ipi? Gharama au sisi kama nchi tulikuwa hatupati faida kwa miaka hamsini serikali ikaona huo mradi hauna tija kwa masirahi ya Taifa? Tunataka maelezo ambayo wananchi yatatupa mwanga kwanino serikali imesimamisha ujenzi huo na plab B ni ipi? sio kwenda kukarabati bandari ya mtwara na tanga bora liende huku tunapigwa bao na wakenya.
 
Ninadhani ni muhimu hiyo bandari iwe mtwara...sio bagamoyo.....Mtwara narurally ina kina kirefu...Pia kwa maana ya Location imekaa strategically zaidi

Bagamoyo was a waste...watu walikuwa wanajali kwao

Kweli usemacho lakini mtwara kwa kuhudumia nchi zipi mkuu
 
This mh.lowasa aliwaambia watu wa tanga kutojengwa kwa Bandar ya bgmoyo wakamuona mbaya haya sasa
 
Tena hawa Citizen na Mwananchi ni wataalam wa habari za kuwekea maneno mdomoni

Ni kwa maslahi ya Kenya waliko wamiliki wao huo ni mpango madhubuti umepangwa na kwa sababu wengi kwao ni kushabikia kila kitu wanadhani anakomolewa JK, kama kweli JP atakubali upumbavu huu basi atakua mbumbumbu kuwahi kutokea .
 
Sisi/watanzania kinachotufanya tusiendelee kwa sababu ni waoga, na hatupendi ushindani, Bandari ya bagamoyo ni wahisani wanajenga ,na baadae watasimamia huo mradi hadi kipindi watakaporudisha pesa zao, hilo ni wazo zuri, cha msingi serikali ikae na hao wawekezaji waangalie jinsi ya kuendesha mradi huo na kwa kipindi gani, pili serikali awe ni player katika mradi huo, Yaani awe na hisa za kutosha katika mradi huo. Kingine serikali itenge pesa za kujenga bandari za mtwara na Tanga, pia to upgrade dar port, ili watu wawe na options nyingi, na itakusanya mapato na yakutosha na pia kuzalisha ajira za kutosha. tunaweza tukawa na hata bandari kumi, reli za kutosha na 5 airports za maana, lengo ni kuwa na revenue of 5 billions USD per month, hapo ndo tutapata maendeleo.
 
Nakumbuka Lowassa alisema kuwa atasitisha huu ujenzi ili aimarishe bandari ya tanga Magufuli akasema hakiahirishiki kitu hapa bandari itajengwa. Magufuli hongera kwa kuliona hili na kulifanya kwa manufaa ya TZ.
 
One of Blind Decision Made by 4th Admin; The 5th Admin has shown Wise decision; Yes there We Go

President JPM.Mr. Dr. Prof. Ret President, J.K Hapo Ameisoma Number bila Chenga..
 
Kuna kinga ya rais kutoshtakiwa, bila hivyo Kwa hali jinsi ilivyokuwa wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi Mzee wa msoga angeng'ang'ania madarakani
JK asingeweza kung'ang'ania madaraka alishachoka ubongo!
 
Mnajaribu kila njia ku attack character lakini ikija kwenye issues za ukweli hamumuwezi.

Kikwete anadunda na ana rikodi ambayo mpaka sasa hakuna wa kabla yake aliyeifikia. Na ikitokea wa sasa akiifikia basi hilo pia ni chaguo lake, au mmesahau?
 



Msome meningitis utaelewa
 
sasa wale waliolipwa fidia kupisha mradi inakuaje? au ndo tushaliwa ivyo na watu kuendelea na makazi yao!!!!
 
Sasa ile mikataba 19 aliyosign mkwere pale ikulu akiwa na Rais wa china itakuwaje?

Msaada wa magari ya police tuliyopewa kipindi cha uchaguzi tutawalipa nini wachina?

Nilishawahi kuuliza kama kina cha bandari ya bwagamoyo nichakuongeza wakati bandari ya Mtwara na Tanga zinakina kirefu kinachofanya zikwepwe ni nini?

Je siri ya bagamoyo kufanywa Bandari kubwa na ya kisasa unaijua?
 
Tatizo ni mkataba uliongiwa ambao ungeuwa bandari ya DSM, pia mkataba unapoisha tungepewa bandari kama chuma chakavu, so hili ni tatizo sana....kungekuwa na goodwill isingevunjwa lakini 10% ndo imesumbua, Magu sio Kwamba anakurupuka Bali amekuwa well informed, ukiiboresha bandari ya Mtwara hicho unachosema kitatokea, haiwezekani ndani ya wizara moja kuwe na competition yani ndani ya 130km uwe na bandari wakati hii iliyopo haijaboreshwa, only MP Lusinde can prove this project
 
HI kitu nilijua tu kama ingetokea hivyo; niliwahi pia ku- comment kama sio humu basi kwenye mitandao mingine ya kijamii! Kiuhalisia ule mradi ulikua hauna TIJA yoyote kwa nchi. Thanks Magufuli, kwa hili nakuunga mkono pia.
Kwa nini hauna tija mkuu?
 


Huwezi kueleweka, wengi humu hupinga kwa misingi ya chuki. JK wengi walimpinga kwa chuki, na sio kumpinga pale alipokosea. Kwa Bagamoyo hakukosea kikubwa, zaidi ya kuifanya iwe karibu na alikozaliwa. hii bandari ingekuwa Mkuranga sidhani kama ingepokea hizi shutuma zote. tunakataa investment ya $10B wakati tunalilia wawekezaji wa $500M kina dangote na ardhi tunawapa BURE wajenge bandari za kusafirisha smenti yao, sasa kama sio utaahira ni kitu gani????

huyu waziri mwenye dhamana, kwa hili atajuta milele, hii ni blunder katika world level. YOU DO NOT divert a $10B investment wakati bajeti yako nzima kwa mwaka makusanyo hufikii hiyo hela.

kama kuna bad terms walitakiwa kukaa na wawekezaji kistaarabu na kusahihisha makosa, sio kukurupuka na kuchukua knee jerk reaction.

Kwa hili Nairobi leo kutakuwa na sherehe kubwa. kwani wakati wao wanajenga SGR na wanahaha kutwa kucha kupata investors wa LAPSET sisi tunaleta wivu kwa JK kisa bandari kaipeleka kwao. SO WHAT? JK mwenyewe hadi 2050 hatakuwepo, na bandari itakuwa mali ya nchi na watakaofaidika ni wananchi wote, regardless of where they come from.

Huyu MAGUFULI atafeli hadi atajishangaa, kama maamuzi yenyewe yatakuwa ya sampuli hii. Sasa akimaliza hii witch hunt, atajikuta yuko isolated na hana mtu wa kufanya naye kazi kukuza uchumi.

Hao wanaomshangilia wanamfanyia makusudi, kwani wanajua atawatengezea mazingira rafiki ya kuchukua nchi pindi UKATA ukizidi kwa sera za hovyo hovyo.

Patriotism -YES, but common sense is very important. Tanzania sio Kisiwa, tulijaribu hivyo for 30 years chini ya Nyerere tukashindwa, Magufuli can not revisit that period in wholesale. he needs to be careful what to implement. Dunia imebadilika, this is not 1970
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…