Bandari ya Bagamoyo ni muhimu sana, kama ikijengwa itakuwa ya kisasa zaidi na ambayo ingewezeka kushindana na bandari za dubai na SA-Durban na zinginezo. Kwa kifupi hata nchi hizo zinatolea macho bandari hii ya Bagamoyo kujengwa Tanzania. Kwa mazingira na mahali/location ilipo bandari ya Dar es salaam hata wakijaribu kuupgrade li kuongeza capacity bado haiwezi kutoa ushindani mzuri. Bandari ya dar es salaam haina eneo kubwa, imejibana mahali ilipo, hakuna nafasi ya kutosha, haina hat auwezo wa meli kubwa kutua pale, kama mizigo ikiongezeka jam ni kubwa sana pale na kuathiri wakazi wa mji wa dar. Magufuli kuachana na mradi bandari ya Bagamoyo sio busara, tusifanye vitu kwa kuangalia nchi jirani za kenya, eti kwa kuwa wao wana upgrade sijui mombasa au lamu basi nasisi just to upgrade bandari yetu, ngoja niwaambieni nchi hiyo jirani kama ingelipata bahati ya mradi huo kuwa kwenye nchi yao wasingeaacha, halafu kwa nini tunacompare na nchi masikini kama sisi? kama tunataka tuendelee kwa nini tusiangalie wenzetu dubai au SA bandari zao ziko vipi? ,kuna ubaya gani tukiwa na largest port in Africa? tuache issue za kuwa za kuwa inajengwa wapi, Bagamoyo ni Tanzania, tatizo liko wapi? ,tunaweza tukajenga bandari ya Bagamoyo na tuka upgrade ya dar es salaam, pia zikajengwa hizo bandari za mtwara na tanga, kuna ubaya gani tukiwa na bandari hata kumi? , nchi ya china ina zaidi ya badnari 1000 na zote zinafanya kazi vizuri, leo hii tanzania tunalzimisha miaka zaidi ya 50 kuwa na bandari zile zile, zenye uwezo ulele mbovu na hazina tija, na wakati huo tunalalamikia maendeleo , maendeleo gani hayo? tupende kuwa na largest projects tanzania, mabazo zitatuingizia mapato kwa kasi na haraka. If u want to be the best u must beat the bests, sasa kama tunataka tuwe economic imara nashauri tanzania /watanzania kuacha kujilinganisha na chi kama kenya, uganda, burundi sijui rwanda,..........., tutabaki pale pale, let us beat SA, tutakuwa tumeipiga Africa yote, haya mawazo ya kukataa projects kubwa na nzuri tanzania yanatoka wapi?