The Construction of the 10 billion (about Sh22 trillion) Bagamoyo Port has been suspended, The Citizen has learnt. The government wants to focus instead, on improving the capacity, performance and efficiency of the Mtwara and Dar es Salaam ports.
The Minister for Works, Transport and Communications, Prof. Makame Mbarawa, confirmed yesterday that the construction of what would be the largest port in Africa has been suspended, not shelved to pave way for upgrading berths 13 and 14 as well as developing the Mtwara Port depending on the availability of Funds. The activities would take years to complete, the minister said because the process has to start from finding funding.
Hii yote inatokana na mtu mmoja kutopenda kusugua kichwa chake kwa faida ya watu wake badala yake anawaamini zaidi wapiga deal ndiyo waamue kila jambo kwa manufaa yao binafsi, ni dhahiri kuna mambo mengi sana yanatakiwa kuwa reviewed, na pia matokeo yake yawekwe wazi ili wananchi wote wajue mbinu chafu zinazotumiwa na watu wasio waadilifu katika kulihujumu taifa lao, vinginevyo watanzania na vizazi vyao watakuja umia sana mbele ya safari