Nakatishwa tamaa sana ninapoona hoja dhaifu kutoka kwa wasomi kama nyinyi,sasa hao wasiobahatika kwenda shule sijui wako ktk hali gani kiupeo?Dr Magufuli yupo sahihi kabisa kuusimamisha mradi wa bandari ya Bagamoyo,bandari ya Bagamoyo ikikamilika itakuwa chini ya China kwa miaka 40,ndani ya muda huu bandari zetu zitaathirika sana kimapato kwasababu nina uhakika wateja karibu wote wa bandari ya Dar watahamia Bagamoyo kwasababu ya ukubwa wake,mbaya zaidi mapato yote ya bandari ya Bagamoyo yataenda China, Sisi tutaambulia vijikodi tu, wakati bandari zetu wenyewe zinazotuingizia mapato kwa 100% zikijifia,huo mkataba wa ujenzi ya bandari ya Bagamoyo ni bomu linalosubiri kutulipukia,bora Magufuli