Serikali yataja vipengele 8 muhimu mkataba wa Bandari

Serikali yataja vipengele 8 muhimu mkataba wa Bandari

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa imesema katika kuhakikisha maslahi ya watanzania yanalindwa katika mkataba umeweka vifungu muhimu vinavyolinda ajira za watanzania, Haki za ardhi ya raia, ukomo wa mkataba mahsusi pamoja na masuala yote ya ulinzi na usalama.

Aidha serikali imeweka bayana kuwa wakati wa utekelezaji wa mikataba hiyo ambayo ni;

1. Mikataba itakayoandaliwa itawekwa bayana kipindi cha utekelezaji wake na ukomo wake.

2. Muda wa marejeo ya mikataba hiyo itakua kati ya mwaka mmoja, miwili, mitatu hadi mitano kutegemea na ukubwa wa mikataba hiyo.

3. Viashiria muhimu vya utendaji yaan "Key Performance Indicator" vitaainishwa kwa kila mkataba

4. Uandaaji wa mikataba utafanyika chini ya ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

5.Mikataba itakayoandaliwa italinda ajira za wafanyakazi wazawa pamoja na kuwajengea uwezo

6. Mifumo yote ya TEHAMA itakayosimikwa itasomana na mifumo ya serikali

7. Taasisi mahsusi za serikali zitaendelea na utendaji wake katika maeneo ya bandari.

8.Muwekezaji kuchukua hatua stahiki za masuala ya utafiti wa masoko ya bandari ya Dar es Salaam.

 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa imesema katika kuhakikisha maslahi ya watanzania yanalindwa katika mkataba umeweka vifungu muhimu vinavyolinda ajira za watanzania, Haki za ardhi ya raia, ukomo wa mkataba mahsusi pamoja na masuala yote ya ulinzi na usalama.

Aidha serikali imeweka bayana kuwa wakati wa utekelezaji wa mikataba hiyo ambayo ni;

1. Mikataba itakayoandaliwa itawekwa bayana kipindi cha utekelezaji wake na ukomo wake.

2. Muda wa marejeo ya mikataba hiyo itakua kati ya mwaka mmoja, miwili, mitatu hadi mitano kutegemea na ukubwa wa mikataba hiyo.

3. Viashiria muhimu vya utendaji yaan "Key Performance Indicator" vitaainishwa kwa kila mkataba

4. Uandaaji wa mikataba utafanyika chini ya ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

5.Mikataba itakayoandaliwa italinda ajira za wafanyakazi wazawa pamoja na kuwajengea uwezo

6. Mifumo yote ya TEHAMA itakayosimikwa itasomana na mifumo ya serikali

7. Taasisi mahsusi za serikali zitaendelea na utendaji wake katika maeneo ya bandari.

8.Muwekezaji kuchukua hatua stahiki za masuala ya utafiti wa masoko ya bandari ya Dar es Salaam.

View attachment 2655103
Mbona vitu vya msingi sna tu hvyo hapo awali TICS. walipewaje mkataba kuendesha gati na 8 had 11 ? ILIKUWAJE
 
1. Mikataba itakayoandaliwa itawekwa bayana kipindi cha utekelezaji wake na ukomo wake.
Kwa nini kwenye mkataba mama (ambao umeshasainiwa na kuridhiwa) wasiweke provision inayozungumzia ukomo kuwa utawekwa katika mkataba specific?
Kama walikuwa wanamaanisha hiki ulichokieleza hapa kuanzia point ya kwanza hadi ya mwisho, kwa nini huo mkataba ni legally binding agreement badala ya memorandum of understanding ili kutoa nafasi ya hiyo mikataba specific iwe legally binding.
Naona Mhe. Waziri anatafuta chaka la kuhalalisha makosa yaliyotendeka.
 
Waislam wakishakutana na waarabu Yani wanalegea sana maana wanahisi watakosa Jana firidausi
 
Back
Top Bottom