Serikali yataja vipengele 8 muhimu mkataba wa Bandari

Serikali yataja vipengele 8 muhimu mkataba wa Bandari

Imebidi nikuhurumie sana. Mungu akuongoze upate utashi wa kutambua mema na mabaya
Unihurumie nini ?!!

Sitaki kuhurumiwa kwa sababu ya udhaifu wa nafsi wa mtu mwenye kuongozwa na HISIA tu badala ya UHALISIA......[emoji1787][emoji1787]

Berth 1-7-DP WORLD....

Berth 8-11-TPA.....

TPA bado wapo mkuu.....[emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
#SiempreSSH[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingiiii[emoji7][emoji2956][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kama anaupiga kwako usishirikishe wengine wacha aupige kwako huo mwingi nyie mshalamba pipi kijiti ya mwarabu uchawa haki yenu mtuache kila mtu na maoni yake
Wewe hutaki ,wenzako wanaweza kutaka...

Umechukua takwimu ya wangapi hawataki kusikia mh.Rais SSH anaupiga mwingi ?!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Uchawa gani ?!!!

Katika mikataba yote duniani hao chawa hawakosekani ?!!!

Wewe na wakili Bashir Yakub mnaweza kututajia ni "chawa" wangapi walikwenda safari "uturuki" kwa Yerpi Merkez kabla ya taifa kuingia mkataba wa ujenzi wa SGR ambao hatukuuona pale BUNGENI ?!!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ila Ni kwa Nini bandari za Zanzibar hazimo.halafu mawaziri wengi wa zenji wapo kwenye ishu nyeti
Wewe ni miongoni mwa wajinga mnaorudia hayo maneno ?!!!

Endeleeni kuyarudia mpaka mwaka 3000[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mh.Rais Kagame alitaka apewe bandari ya Dar....hujiulizi kwa nini hakutaka apewe za Zanzibar?!!!

Sijui huwa mnaendeshwa kuyatoa majibu ya hisia katika mitihani ya HESABU ?!!![emoji1787][emoji1787]

#SiempreSSH[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji2956][emoji7][emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni miongoni mwa wajinga mnaorudia hayo maneno ?!!!

Endeleeni kuyarudia mpaka mwaka 3000[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mh.Rais Kagame alitaka apewe bandari ya Dar....hujiulizi kwa nini hakutaka apewe za Zanzibar?!!!

Sijui huwa mnaendeshwa kuyatoa majibu ya hisia katika mitihani ya HESABU ?!!![emoji1787][emoji1787]

#SiempreSSH[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji2956][emoji7][emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Jibu hoja swala la bandari ni la muungano au si la muungano?
 
Eti waarabu wa DP WORLD watawanyima ajira watanzania na kuwaajiri ndugu zao waarabu kumbe uongo bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#MamaHuyoooo[emoji7]

#MamaAnaupigaMwingiMnooo[emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nilitaka nikuelimishe kitu ila baada ya kuangalia aina ya simu ulitumia, nikaona nisipoteze mda kabisa
 
Unihurumie nini ?!!

Sitaki kuhurumiwa kwa sababu ya udhaifu wa nafsi wa mtu mwenye kuongozwa na HISIA tu badala ya UHALISIA......[emoji1787][emoji1787]

Berth 1-7-DP WORLD....

Berth 8-11-TPA.....

TPA bado wapo mkuu.....[emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
#SiempreSSH[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingiiii[emoji7][emoji2956][emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ability yako ya uelewa ipo chini mmno.
 
Imefika mahali watanzania tukiona neno "serikali" na "8" tunawaza V8 znazomwagwa kama njugu kwa watu wa system
 
Waziri Ni mbunge wa kuteuliwa na Ni mzanzibari.
Katibu mkuu wizara husika Ni mzanzibari .....
Ngoja niishie hapa msije mkasema naleta udini kwenye Mambo ya muziki wa dance.
Usikimbie.....inawezekana kweli unasukumwa na huo UDINI ulioutaja mwenyewe...moyo wako ni shuhuda.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa imesema katika kuhakikisha maslahi ya watanzania yanalindwa katika mkataba umeweka vifungu muhimu vinavyolinda ajira za watanzania, Haki za ardhi ya raia, ukomo wa mkataba mahsusi pamoja na masuala yote ya ulinzi na usalama.

Aidha serikali imeweka bayana kuwa wakati wa utekelezaji wa mikataba hiyo ambayo ni;

1. Mikataba itakayoandaliwa itawekwa bayana kipindi cha utekelezaji wake na ukomo wake.

2. Muda wa marejeo ya mikataba hiyo itakua kati ya mwaka mmoja, miwili, mitatu hadi mitano kutegemea na ukubwa wa mikataba hiyo.

3. Viashiria muhimu vya utendaji yaan "Key Performance Indicator" vitaainishwa kwa kila mkataba

4. Uandaaji wa mikataba utafanyika chini ya ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali

5.Mikataba itakayoandaliwa italinda ajira za wafanyakazi wazawa pamoja na kuwajengea uwezo

6. Mifumo yote ya TEHAMA itakayosimikwa itasomana na mifumo ya serikali

7. Taasisi mahsusi za serikali zitaendelea na utendaji wake katika maeneo ya bandari.

8.Muwekezaji kuchukua hatua stahiki za masuala ya utafiti wa masoko ya bandari ya Dar es Salaam.

View attachment 2655103
Mshenzi mkubwa huyu
 
Back
Top Bottom