Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli tumeshapakwa.....maumivu ya kuingizwa yatawaletea FAIDA KUBWA na ninyi ambao ni "wakavu" [emoji1787][emoji1787]
#MamaAnaupigaMwingiiii[emoji7][emoji7][emoji2956][emoji2956]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hii ni sawa na mzazi aliyekwisha pokea mahali halafu binti azingue kwenda alikoolewa, lazima moto uwake.Wamekwisha pokea advance, lazima wanafanye kazi ya uwakala.
Kwa hiyo wamepata faida gani baada ya serikali, mawaziri na rais kutukanwa?Hao wenye "reaction" walitaka kula kabla ya chakula kuiva....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unashindwa kujibu ulichoulizwa, kichwa cha panzi kweli aisee. Utindiyo wa ubongo shida sanaBado umjinga?!!!
Kwani bandari za Tanga na Mtwara ni za msumbiji?!!![emoji15][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tutawaona pale watakapotuingizia nusu ya bajeti ya nchi ya nchi kila "fiscal year"[emoji7]Naona mambo yameanza kuwa mengi sasa,wacha tuone
Unahamisha magoli ?!!!Unashindwa kujibu ulichoulizwa, kichwa cha panzi kweli aisee. Utindiyo wa ubongo shida sana
Jitoe tu "kimbango"[emoji1787]Sio sisi ni nyinyi
Sasa km unatumia kamasi km ubongo, ngoja niachane na wwUnahamisha magoli ?!!!
Swali lilikuwa ni KWANINI bandari za Zanzibar hazipo katika huu uwekezaji...nikajibu kama tu zimeonewa bandari za bara mbona bandari ya Tanga na Mtwara "haikuonewa"?!!!
Mnakwenda shule kusomea "upumbavu"?!![emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nilikuoa lini ?Sasa km unatumia kamasi km ubongo, ngoja niachane na ww
Kwa hizi akili zenu ndio maana mapadri wanawapaka mafuta kila siku na vitoto vyenu.Waislam wakishakutana na waarabu Yani wanalegea sana maana wanahisi watakosa Jana firidausi