Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Unihurumie nini ?!!Imebidi nikuhurumie sana. Mungu akuongoze upate utashi wa kutambua mema na mabaya
Wewe hutaki ,wenzako wanaweza kutaka...Kama anaupiga kwako usishirikishe wengine wacha aupige kwako huo mwingi nyie mshalamba pipi kijiti ya mwarabu uchawa haki yenu mtuache kila mtu na maoni yake
Wewe ni miongoni mwa wajinga mnaorudia hayo maneno ?!!!Ila Ni kwa Nini bandari za Zanzibar hazimo.halafu mawaziri wengi wa zenji wapo kwenye ishu nyeti
Jibu hoja swala la bandari ni la muungano au si la muungano?Wewe ni miongoni mwa wajinga mnaorudia hayo maneno ?!!!
Endeleeni kuyarudia mpaka mwaka 3000[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mh.Rais Kagame alitaka apewe bandari ya Dar....hujiulizi kwa nini hakutaka apewe za Zanzibar?!!!
Sijui huwa mnaendeshwa kuyatoa majibu ya hisia katika mitihani ya HESABU ?!!![emoji1787][emoji1787]
#SiempreSSH[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingi[emoji2956][emoji7][emoji7][emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kuwa na Akili ndogo ni tatizo nalo.uwazi uko wapi hapo.Mambo yanazidi kuwekwa wazi ifike muda tupunguze hofu.
Nilitaka nikuelimishe kitu ila baada ya kuangalia aina ya simu ulitumia, nikaona nisipoteze mda kabisaEti waarabu wa DP WORLD watawanyima ajira watanzania na kuwaajiri ndugu zao waarabu kumbe uongo bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
#MamaHuyoooo[emoji7]
#MamaAnaupigaMwingiMnooo[emoji7][emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ability yako ya uelewa ipo chini mmno.Unihurumie nini ?!!
Sitaki kuhurumiwa kwa sababu ya udhaifu wa nafsi wa mtu mwenye kuongozwa na HISIA tu badala ya UHALISIA......[emoji1787][emoji1787]
Berth 1-7-DP WORLD....
Berth 8-11-TPA.....
TPA bado wapo mkuu.....[emoji1787][emoji1787]
#SiempreJMT[emoji120]
#SiempreSSH[emoji120]
#MamaAnaupigaMwingiiii[emoji7][emoji2956][emoji2956]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ubwabwaji huo....Ability yako ya uelewa ipo chini mmno.
Argumentum ad hominem.....Nilitaka nikuelimishe kitu ila baada ya kuangalia aina ya simu ulitumia, nikaona nisipoteze mda kabisa
Hao wenye "reaction" walitaka kula kabla ya chakula kuiva....Kwa nini wasingesema hayo toka mwanzo? Sasa inaonekana kama wanaokoteza utetezi baada ya kuona reaction ya watu!
Bado umjinga?!!!Jibu hoja swala la bandari ni la muungano au si la muungano?
Nguvu kubwa ipi ?!!!!Wanatumia nguvu kubwa sana kutuaminisha kuwa kila kitu kipo sawa.
Usikimbie.....inawezekana kweli unasukumwa na huo UDINI ulioutaja mwenyewe...moyo wako ni shuhuda.....Waziri Ni mbunge wa kuteuliwa na Ni mzanzibari.
Katibu mkuu wizara husika Ni mzanzibari .....
Ngoja niishie hapa msije mkasema naleta udini kwenye Mambo ya muziki wa dance.
Mshenzi mkubwa huyuSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa imesema katika kuhakikisha maslahi ya watanzania yanalindwa katika mkataba umeweka vifungu muhimu vinavyolinda ajira za watanzania, Haki za ardhi ya raia, ukomo wa mkataba mahsusi pamoja na masuala yote ya ulinzi na usalama.
Aidha serikali imeweka bayana kuwa wakati wa utekelezaji wa mikataba hiyo ambayo ni;
1. Mikataba itakayoandaliwa itawekwa bayana kipindi cha utekelezaji wake na ukomo wake.
2. Muda wa marejeo ya mikataba hiyo itakua kati ya mwaka mmoja, miwili, mitatu hadi mitano kutegemea na ukubwa wa mikataba hiyo.
3. Viashiria muhimu vya utendaji yaan "Key Performance Indicator" vitaainishwa kwa kila mkataba
4. Uandaaji wa mikataba utafanyika chini ya ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali
5.Mikataba itakayoandaliwa italinda ajira za wafanyakazi wazawa pamoja na kuwajengea uwezo
6. Mifumo yote ya TEHAMA itakayosimikwa itasomana na mifumo ya serikali
7. Taasisi mahsusi za serikali zitaendelea na utendaji wake katika maeneo ya bandari.
8.Muwekezaji kuchukua hatua stahiki za masuala ya utafiti wa masoko ya bandari ya Dar es Salaam.
View attachment 2655103
Na kumkumbuka SlowslowImefika mahali watanzania tukiona neno "serikali" na "8" tunawaza V8 znazomwagwa kama njugu kwa watu wa system